FT: Tanzania 0-2 Morocco Kufuzu Kombe la Dunia, Novemba 21, 2023
Bwana mdogo kababatiza goli la kimazabe juzi tayari kapewa u captain na wakongwe wapo nje? Naogopa kitakachotokea kipindi Cha kwanza , Hawa madude sio ya kuwafanyia majaribio. Ndio mabingwa watetezi wa Kombe la dunia ukanfa wa Africa kwa fainali zilizofanyika Qatar
 
DP world wameanza kutoa fungu la 10
IMG_8766.jpeg
 
wakikuona unashabikia moroco hawakawii kutuma policcm kutupga virungu humu uwanjan
 
Back
Top Bottom