Yeahmbon upo nyuma unachekia online nn
ahaaa apo nimekupataYeah
Kwa nani?Wakuu Tuliombee Taifa
Kuwafunga haiwezekaniUzalendo sio kujidanganya tutawafunga Morocco na wachezaji wetu wa aina hii
Thubutuuuu 😂😂😂Kabisa mwarabu kwa mkapa hatoki anakufa
Tuwafunge kwa kikosi hiki?Uzalendo sio kujidanganya tutawafunga Morocco na wachezaji wetu wa aina hii
Naona golikipa wa burundi akidaka mpira analala kabisa as if tunaongoza 3:0 Bure kabisa hili timu la HangayaYangu ni hayo tu.vijana wajikaze wasifungwe goli za kutosha Bali wajilinde na kupunguza idadi ya magoli .tusitake kushindana na moroco hatuwawezi.
Taifa gani ambalo kila kitu wanatanguliza siasa hata pasipotakiwa?.Wakuu Tuliombee Taifa
Kwani mkeo asipoliwa kiboga, wewe unafaidika nini? Au utapewa gari?Kwani wakikukubali utapewa ugari kwenu
Samantha na msuva tunawashukuru msiache kujifunza
Samantha na msuva tunawashukuru msiache kujifunza
Yaani wamepewa penalty?!Kapaisha penalt