Fundi mahiri wa ujenzi
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 4,159
- 2,844
Hili goli kaahhhh
Bado haujasemaTushafungwa
πππ Kwa Bora ifungwe tu π€ͺlitimu limekuwa la wana siasa,eti ikishinda sifa anapewa mama wa kinzanzibar
Kwa Pazia ilo lililopo apo giliniUzalendo muhimu jamani msiende kulala.
Aingie Manura apigwe nyingi π€ͺGolini kuna
Pazia hapo
Hamna kipa
Umetiki??
Ewaaaaaa.Umetiki??
Tayari huko wameshalowaπππ
ila kweli mkuu yaani kila mtu anaangalia maslahi yake na kweli mpira wetu umeingia siasa sana.Hili lingeweza kufanyika Kama tungekuwa kwelii sisi ni taifa la mpira(footballing nation), ila sasa hivi kamwe haliwezi kufanya... Maana hata hao viongozi tu ambao ndio wangeweza kulifanya hili wapenda kuutumia mpira kisiasa tu na hata mapenzi na mpira hawana.
Mmeanza tayari π€ͺUkuta wa Yanga umefungwa