Ukuta wa Yanga umefanikiwa kumzuia Hakimi
 
Morocco nahisi bado hawajashtukia kuhusu huyu kipa wa CCM, endeleeni kuomba iwe hivyo hivyo maana wakija kushtukia zitakuwa zinapigwa ndefu tu.
 
Kuuliza si ujinga. Hivi huyu golikipa wamemtoa wapi? Mbona naona kama anafanya mchezo mchezo pale langoni?
 
Hamna kipa pale
Watanzania tuna tabia ya kudharauliana yaani mtu akicheza nje hata kama anakaa benchi as long as anatoka nje basi tunamshobokea ila yule kipa anazidiwa na makocha wetu wa Tanzania pakubwa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…