Kuna links nyingine ni za kiwaki sana yaani Kila baada ya dk 5 wananiletea picha za ngono ukisema uondoe ndio inafunguka full screen Niko na wife pembeni mpaka anahisi naangalia pirau badala ya mechi nimeamua kuzima laptop mazima.
Polee sana
 
kuna yule mlevi flani wa bungeni na mzee wa tozo wanajifanyanya wanaujua sana
mpira..............kumbe hata kupiga danadana nne hawawezi

🀭🀭🀭🀭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…