FT: Tanzania 0-2 Morocco Kufuzu Kombe la Dunia, Novemba 21, 2023
Kuna links nyingine ni za kiwaki sana yaani Kila baada ya dk 5 wananiletea picha za ngono ukisema uondoe ndio inafunguka full screen Niko na wife pembeni mpaka anahisi naangalia pirau badala ya mechi nimeamua kuzima laptop mazima.
Polee sana
 
si hata kwa yanga ilikuwa hivo walipopata bahati ya kuuona mwezi
kuna yule mlevi flani wa bungeni na mzee wa tozo wanajifanyanya wanaujua sana
mpira..............kumbe hata kupiga danadana nne hawawezi
ccm kila eneo ni maslahi kwao........dp world wachukue hii timu kama bonus ya bandari
kuna yule mlevi flani wa bungeni na mzee wa tozo wanajifanyanya wanaujua sana
mpira..............kumbe hata kupiga danadana nne hawawezi

🤭🤭🤭🤭
 
Back
Top Bottom