Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Alipaisha juuWakuu niliangalia live online wakati wa penati internet ilistuck,hivi ile penati kipa alitoa au ilipigwa nje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alipaisha juuWakuu niliangalia live online wakati wa penati internet ilistuck,hivi ile penati kipa alitoa au ilipigwa nje
mpira umeokotwa bagamoyoWakuu niliangalia live online wakati wa penati internet ilistuck,hivi ile penati kipa alitoa au ilipigwa nje
Polee sanaKuna links nyingine ni za kiwaki sana yaani Kila baada ya dk 5 wananiletea picha za ngono ukisema uondoe ndio inafunguka full screen Niko na wife pembeni mpaka anahisi naangalia pirau badala ya mechi nimeamua kuzima laptop mazima.
Ilipingwa nje juu ya mwamba! Hapo hakuna kipa!!Wakuu niliangalia live online wakati wa penati internet ilistuck,hivi ile penati kipa alitoa au ilipigwa nje
Duh,nikashangaa kipa wetu angedaka kwelimpira umeokotwa bagamoyo
braza tunaweza tukaogelea mvua ya magoli hadi tuchanganyikiweKipindi cha pili namfunga huyu mwarabu
Luka tutamtwangia kwenye nyuzi zake, hawezi kuja hapa 😂😂😂😂😂 Muiteni na kaka Luka
Ningeshangaa angedaka penati wakati shuti ya mita 40 imemponyoka kama anakamata kuku kwenye tengaIlipingwa nje juu ya mwamba! Hapo hakuna kipa!!
kuna yule mlevi flani wa bungeni na mzee wa tozo wanajifanyanya wanaujua sanasi hata kwa yanga ilikuwa hivo walipopata bahati ya kuuona mwezi
kuna yule mlevi flani wa bungeni na mzee wa tozo wanajifanyanya wanaujua sana
mpira..............kumbe hata kupiga danadana nne hawawezi
ccm kila eneo ni maslahi kwao........dp world wachukue hii timu kama bonus ya bandari
Kwa taarifa niliyoipata hivi punde, huyu kipa ni mwenyekiti wa uvccm mkoa wa Iringa
Hakutegemea.Kipa ni kiazi sana
JingaKila la kheri Morocco nipigie hao sisiemu stars kichapo cha mbwa koko
🤣🤣🤣🤣Kwa taarifa niliyoipata hivi punde, huyu kipa ni mwenyekiti wa uvccm mkoa wa Iringa
Kawaida sana kwenye mchezo kipa bado yupo vizuriKipa ni kiazi sana
Nilishapata wasiwasi!!Tuko hapa uwanjani, ila tumeanza kuogopa.
Kipindi cha pili namfunga huyu mwarabu