Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani. Mechi anakufa au akijitahidi suluhu japo naona dakika si rafiki kwakeZambia watafanya comeback ya nguvu usishangae wakashinda,hata kwa congo walifanya comeback
Ngoja tusubiri nyuzi zake za kupamba pamba maza akee keshoHuyo sasa hivi anaangalia mpira kwa jicho moja
Na wanajitahidi kweli kweli...Kwahiyo umebaki ukuta wa yanga pale nyuma?
Uyo anajua bhanaHuyu mwaikenda mnyakusa wa wapi kiazi hivi?[emoji23]
Ila sub ya samatta na msuva imechangamsha timNa wanajitahidi kweli kweli...
wangekuwa wale wetu, sijui ingekuwaje!!
[emoji23][emoji23][emoji23] leo Mamnyeto anamkaba Ziyech
Leo basi game imemkataaUyo anajua bhana
Ukuta wa Yanga ndio tegemeo starsHuyu Baka nae kutudhalilisha tu!
Jumuiya ya wazazi imeingia sasaIla sub ya samatta na msuva imechangamsha tim
Mkuu sio kila kitu kukosoa ila kiasi chake tim imeamka .Jumuiya ya wazazi imeingia sasa
Wazalendo leo wameonekana wamebeba mabango ya mama wakinadi sera zakeTuwe wazalendo.
Yanga sio timu ya taifa
Hamna sehemu nimekosoaMkuu sio kila kitu kukosoa ila kiasi chake tim imeamka .
Cha muhim kipigo hakikwepeki