Ituzaingo Argentina
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 1,868
- 2,191
Hakim Ziyech anaachwa sana azunguke na mpira na ni hatari sana kwasbb ndiye anayesupply mipira ya mwisho inayotengeneza magoli
Morocco 🇲🇦 hawakuamua tu, huo sio mchezo wao tuliouzoea😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakim Ziyech anaachwa sana azunguke na mpira na ni hatari sana kwasbb ndiye anayesupply mipira ya mwisho inayotengeneza magoli
Huna akiliMie kwa Mawazo Yangu timamu...
Naomba hicho Chama Cha historia kinachosema Yanga kamzidi Simba na Mamelodi Kimataifa kifutwe Ulimwenguni....
Hicho Chama Ndio Sababu Ya Kujaza Wachezaji Wa Utopolo Kwenye timu ya Taifa...
Ona Sasa Kinachotokea...!
Zile Ranking za CAF,Wenye Mpira Wao barani Afrika tu ndio ziheshimiwe...!
Huu Utopolo Wa Leo hauvumiliki...
Hata sasa nipo burundi.Tafuta nchi yako unayoipenda kaishi huko!
CCMTumecheza bila mfumo wa kueleweka tunataka nn tumefungwa kihalali bado tuna safari ndefu kocha afukuzwe
Siyo weupe mkuu, wanapiga mpira balaa,hawana vurugu ni mpira unapigwa
Hata sasa nipo burundi.
Apewe nyeto kwa kufunga bao zuriMorocco wapewe Pesa za Goli la Mama
Kumbe hunipendi mshikaji wangu, tusi liko wapi hapo.. 😂🤣Nakureport umetukana 😂😂😂
Kuna watu mlikaa mkaamini Stars anashinda hii mechi?
Mnachekesha ,hata kama ni uzalendo Moroco is far better than Stars.
Hapa tunacheza,na timu iliyofika nusu fainali World Cup sio mchezo mchezo.
Ccm in laana kwa taifa hili
Mkuu, una hasira sana 😁Shida CCM wamezoea dhulumati, wakadhani mambo ya goli la mkono yapo mpaka huku. Morocco uwa hao CCM wawe na adabu.