FT: Tanzania 0-2 Morocco Kufuzu Kombe la Dunia, Novemba 21, 2023
Mie kwa Mawazo Yangu timamu...

Naomba hicho Chama Cha historia kinachosema Yanga kamzidi Simba na Mamelodi Kimataifa kifutwe Ulimwenguni....

Hicho Chama Ndio Sababu Ya Kujaza Wachezaji Wa Utopolo Kwenye timu ya Taifa...

Ona Sasa Kinachotokea...!

Zile Ranking za CAF,Wenye Mpira Wao barani Afrika tu ndio ziheshimiwe...!

Huu Utopolo Wa Leo hauvumiliki...
Huna akili
 
Kwa kifupi nilikuwa nasapoti Morocco mwanzo mwisho na sababu kubwa ni upumbavu wa hii nchi kila kitu kufanywa cha siasa.

Rwanda kashinda leo ,huwezi ona Mabango ya Kagame wala timu inaitwa ni ya Kagame,the sama Kenya kule, kwa kifuoini Tanzania pekeee ndii kila kitu ni siasa.

Simba na Yanga the same wanashindana kumfurahisha Malikia.

Kwa kifupi sina Uzalendo pale ambapo siasa za CCM zinapo tangulizwa mbele,piga hao Taifa CCM stars.
 
Roma haikujengwa siku Moja, tumecheza na timu iliyotuzidi ubora sana, Morocco ni timu namba Moja kwa ubora Africa na ya 13 Duniani

Hawa wamemfunga portugal,Spain and the like mpaka kufika nusu fainali kombe la Dunia,... Unafungwa na Morocco yenye wachezaji Bayern Munich, psg, Galatasaray, man UTD eti unataka kosa afukuzwe??
 
Back
Top Bottom