chilonge
JF-Expert Member
- Dec 23, 2014
- 1,531
- 2,912
Wanamlindia heshima kocha wa Stars Adel Amrouche.Morocco wameamua kutuacha na hizo goli mbili,
hawataki kujichosha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanamlindia heshima kocha wa Stars Adel Amrouche.Morocco wameamua kutuacha na hizo goli mbili,
hawataki kujichosha.
Milioni ngapi zinatoka Leo?Heshimu daraja la Morocco mkuu. Tupo kwenye uzani tofauti sana sana. Hapo tulipo mpaka dakika hizi tumejitahidi sana.
Zitatoka milioni 10!! Kila goli linalofungwa na mchezaji wa Taifa stars linanunuliwa na mama sh M10!! Mwaikenda amefunga goli moja!!Milioni ngapi zinatoka Leo?
Kwa timu iliyopata mshindi wa nne kombe la dunia na kufungwa 2 unasema hatukujitahidi?!Tumejitahidi kitu gani?
Ujinga tu. Asante Mama mnadhani Mpira ni urojo? TaifastarCCM Wapigwe tuHawa ni moroko ujue
eboo sasa kama ndo tumeweka keka letu tumempa mooccoLeo watanzania mpo upande wa Sofian
Kweli watz wanafiki sana😁
Hakika [emoji1787]Naomba idadi ya magoli wapeleke bango Magogoni kama zawadi ya mama kwa kuupiga mwingi.
Polepole utawaudhi wale jamaa😁Huyu Baka nae kutudhalilisha tu!
Wamekandwaaa🤣🤣🤣🤣Vipi huko mechi ya cc vs Morocco mkuu?