Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rushia linkMi natumia Yaccine app
😂😂😂 CCM leo wanafungwaUmenifurahisha sana
HaikusaidiiZambia kapigwa la pili huko
Dakika 5 za Kwanza tu zilitosha kujua hapa hamna kipa. Anapoteza Muda Kwa kulala kabisa dakika ya 3?Yupo trial
Anatumia nguvu kubwa kwenye mambo madogoKibu anatumia nguvu hakili kisoda
Aririririiiiiiiiiiiiii bibi harusi safiii!! 😂😂😂Tayari huko wameshalowa
Ngoja niagize supu ya mkia.Ondoa shaka mzee unatiki mkeka huo
Tuko hapa uwanjani, ila tumeanza kuogopa.Ntarudi baada ya 90'🙌
Hawa waarabu watatuadhibu..Shuti limepigwa hapa na kisemvule afu kimo cha mbuzi lakini kipa umempita
Mama kamtoa wapi huyo kipa?Uzalendo muhimu jamani msiende kulala.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alhamdulillah Mungu Mkubwa. Historia hii Achraf Hakimi kukosa penalt BWM