FT: Tanzania 0-2 Morocco Kufuzu Kombe la Dunia, Novemba 21, 2023
Hapo beki utamlaumu vipi mpira umepikiwa katikati ya uwanja?
leo hakuna cha mchezaji wa yanga wala simba
tunachojua ni stars inacheza.......aibu kwa taifa kusubiri vilabu
vifanye uwekezaji kwa wachezaji afu wao wapate kamserereko
 
Hii timu ya Samia inachojua ni kugusa gusa mpira tu hata hawajui wanagusa mpira kwa malengo Gani, alafu mna uhakika huyu aliyekaa golini ni kipa kweli jamani?
 
Tukiingia kwenye mfumo wao tutakula zakutosha hapa.

Kwa kifupi, Sisi Mashabiki tumeplay part yetu.

Namwona Kipa wa Morocco amerelax sasa.
 
Mnawaonea tu wachezaji [emoji2][emoji2][emoji2] ivi yani mnataka imid mau acheze na Amrabat katikat alafu ang'ae [emoji2][emoji2] achen utan basi...yan apa stars wanacheza na team yenye quality prayers waliwatoa ad Portugal World Cup... ebu tuwen serious basi
 
hii mechi ikiingia inauma ikitoka inauma pira taabu na mahangaiko hii mech nngekua mfanyakaz ningechukua mkopo nmb milion 20 naibetia yote kwa moroco kisha nakojoa nalala asbh nawalipa nmb ela yao yote
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah
 
Ukiwa unaendelea kujichekesha kaunta unakuja kushtuka ubao unasoma 1-1 FT 🤪 alafu pongezi zote kwa Mama Asante Mama
Mpira unadunda Hila sio kwenye maji Tanzania ni kichwa Cha mwendawazimu muulize mkubwa mwinyi
 
Mh! Hapa nikalale tu! Stars hata kusogelea lango la mpinzani ni kazi sioni plan za wachezaji na wakiendelea hivi kipindi chapili TZ watafungwa nyingi zaidi
 
Back
Top Bottom