FT: Tanzania 0-2 Morocco Kufuzu Kombe la Dunia, Novemba 21, 2023
Dakika 5 za Kwanza tu zilitosha kujua hapa hamna kipa. Anapoteza Muda Kwa kulala kabisa dakika ya 3?
Sijajua kocha aliona nini kwa huyu kipa

Kafanya rotation kwenye eneo la mwisho ambalo makosa yakifanyika basi possibility ya kuzaa goli ni kubwa.

Huku kwenye eneo la washambuliaji makosa yakifanyika yanaweza kuwa fixed na viungo au mabeki.

Eneo la kipa yakifanyika makosa mara nyingi huwa ni goli itokee tu iende off target.
 
Kimeshawaka huko [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hali ya group mpaka sasa
1700595649656.png
 
kocha wa taifa stars ccm kabet sio bure sio kwa kikosi hiki cha mataputapu nawaambia kocha kachukua mkopo kabeti hii mech kawapa morocco
 
Back
Top Bottom