REAL Comrade Kipepe
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 2,293
- 8,231
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijajua kocha aliona nini kwa huyu kipaDakika 5 za Kwanza tu zilitosha kujua hapa hamna kipa. Anapoteza Muda Kwa kulala kabisa dakika ya 3?
Tena tumemtafuta Kwa gharama kubwa.Huyo kipa katoka ulaya?
Naam.Pasi na shaka agiza mkuu hiyo pesa hipo kabisa asaivi naiyona imesogea mfuko wa shati
Acha tuwashangilie Morocco ili masisiem yazidi kupanic na ma polisi yao 😁😁😂😂😂 CCM leo wanafungwa
Watumie polisi ili wasifungwe
Ukuta wa Yanga ndio utao adhibiwa.Hawa waarabu watatuadhibu..
Mjukuu wa kawawa uyoHakuna kipa hapa msitutanie. Yaani mchezaji hamjawahi kumuona kisa yuko Ulaya ndo mumuanzishe?
kocha wa taifa stars ccm kabet sio bure sio kwa kikosi hiki cha mataputapu nawaambia kocha kachukua mkopo kabeti hii mech kawapa morocco
Hivi jamani mna uhakika huyu alokaa golini kwa Stars Ni kipa kweli
Anacheza timu gani?Hamna kipa pale