Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bahati tu.Hili Goli La Pili, Limekataliwaje? Mbona mi Naona ni Halali tu
Mzee! Hii Morocco Ni Ulaya Iliyo Africa [emoji288] , Tumejitahidi Mno !Mi naona wamecheza tu vizuri siyo kama ile mechi ya Niger, ila Morocco ni wazuri aise mtu akipata tu mpira unakuta karibia wote wameshatafuta nafasi na wapo wenyewe
DahMorroco 5+ CCM na nyumbu wake 0
Oyoooooooooo👏👏👏😅
Kweli BahatiBahati tu.
Kipa ni kiazi sanaMnamlalamikia kipa kufungwa mbona hamshangai hakimi kutungua mnazi?
Nawaza tu tungetangulia kuwafunga wangechezaje maana wametangulia wao lakini kama hawataki ila wanaupiga mwingiMzee! Hii Morocco Ni Ulaya Iliyo Africa [emoji288] , Tumejitahidi Mno !
Kwakweli hapa panahoja. Nani muamuzi kulingana na mazingira yetu? Why saa 4 usikuHakika watanzania ni wanyonge/watumwa.
Tupo home pira linapigwa saa 4, watapata washabiki gani hapo uwanjani?🤣🤣
Au ndo tunakubaliana na kila kitu lengo ni kujitangaza?
Yaani wamepigwa halafu unasema wamejitahidi??Stars wamejitahid san bhn ni tofaut na tulivyotarajia.
Mkeka umetiki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ccm sio starGooooooooo, safiiiii Morocco, piga hawa Stars hadi akili ziwakae sawa
Mpira umedunda ule hapo kosa la kipa nini?Kipa ni kiazi sana