FT: Tanzania 0-2 Morocco Kufuzu Kombe la Dunia, Novemba 21, 2023
Nyie mlioko Uwanjani ndo watu pekee mnaotegemewa na Ccm kuiokoa Timu yenu ya Tanzania isifungwe Goli Tano, cha kufanya ni Kuleta vurugu tu hapo ili Mechi iahirishwe Morocco wapewe Goli 3 basi,

au mnafikiri mmelipiwa ticket za buree ??? Jiongezeni 😁😂🤣
 
Kuna mtu anashangiliwa jukwaa la kulia huku, sijui ni nani ameingia hapa
 
Kama kawaida yetu, tunaendelea kushangilia matukio, ukifanikiwa kupiga chenga moja, tunatoa shangwe la kutosha
 
Nimeangalia commentts JF watu wanafuarahia na kuiita team ya CCM

Nikachungulia na page ya Millard Ayo sijaona comment ya kuiita Stars CCM ila tu watu hawakutegemea stars kutoboa kwa waarabu

Itoshe kusema raia wa JF wana mtazamo tofauti na majority ya raia wengine
 
Nyie mlioko Uwanjani ndo watu pekee mnaotegemewa na Ccm kuiokoa Timu yenu ya Tanzania isifungwe Goli Tano, cha kufanya ni Kuleta vurugu tu hapo ili Mechi iahirishwe Morocco wapewe Goli 3 basi,

au mnafikiri mmelipiwa ticket za buree ??? Jiongezeni [emoji16][emoji23][emoji1787]
Au walete nyuki,kama walivyofanyaga arusha kwenye mkutano wa chadema, waliweka nyuki kwenye mfuko wa nylon ule mwepesi wakaurusha kwenye mkutano,watu walitawanyika kama upepo
 
Back
Top Bottom