ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
So what?Yanga Ni Amateur
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So what?Yanga Ni Amateur
Aah! atawadhalilisha mbayaa [emoji1787][emoji1787], wanaeza kumuumiza kwa namna atakavyo wafanya [emoji23]Niliondoka kidogo nasikia watu wanashangilia.
Itabidi Skudu acheze next match awalambishe nyasi Inonga, Zimbwe na Malone. Lol
Singida hakazi kwa Yanga hata Azam isingefungwa. Angalia historia, chukua mechi 10 tu.Lakini mkuu, kama kafungwa Azam ulitegemea Singida atakaza?
Ni mambo ya vilelee...Tukishapanda huwa hatushuki, bado tuwapige makolo tuzidi kujidhatiti kileleni.
Well done team.
Sikuangalia game hivyo sina cha kuongea.Pale mmepigwa
Bila Tatu Malogo story zingekua zingineHizi timu zisiwe zinacheza Yanga awe anapewa tu point 3 maana sioni cha maana hapa
SISI NDO YANGA💚💛
Tayari leo yamekataa goli la Aziz Ki! Pumbavu kabisa!TFF watuletee waamuzi makini sio waamuzi ambao wanakubali magoli ya offside kama mechi iliyopita dhidi ya azam!,azam walifunga goli la offside yenye kuonekana kabisa!.
Kama mwataka waamuzi wetu wafike mbele Kuna haja yakufanya jambo, alasivyo Kila siku wataishia humuhumu.
Kupiga mtu chengaSikuangalia game hivyo sina cha kuongea.
Ila kwa mujibu wa wadau jamaa kakichafua kinoma.
ulisema haupotezi mda wako kuangalia mechi kimekuleta niniHizi timu zisiwe zinacheza Yanga awe anapewa tu point 3 maana sioni cha maana hapa
Niambie kafanya kipi kipyaHujui ball nenda ukalale tu
Ndio ilikuwa kiu ya muda mrefu na safari hii mambo yameshatimia. Sasa kazi ni kwake, wachezaji na benchi la ufundi kwa ujumla kuamua kama watakoleza zaidi furaha ya mashabiki zaidi ya hapo ama vipi.Bila shaka Bwana Hersi naye hamumdai maana malengo yenu ya kuingia makundi klabu bingwa msimu huu yameshatimia
Muhimu point tatu😂😂😂😂Mnajiita young huku mnacheza pira la kizee zee, bora mjiite tu wazee African
Namsapoti Mwasibu leo.Mwasibu yupo sahihi. [emoji23]
Nyie mkiwafunga Singida kwa msaada wa refa ni sahihi, wakifungwa na Yanga inakua nongwaYule kocha aliyetoka South Africa alikuwa sahihi kabisa kukacha kibarua cha kukinoa kikosi cha ajabu.
Timu ina professional players kibao lkn ajabu timu inashindwa hata kufanya shambuliZi ...
Jifunze matumizi ya herufi kubwa na ndogo .Yanga Ni Amateur
Hizo ni hisia zako tu, lakini naziheshimu pia.Singida hakazi kwa Yanga hata Azam isingefungwa. Angalia historia, chukua mechi 10 tu.
Tuleteeni huyo mtu halafu tuwatie nyingi hadi mtafutane.Niliondoka kidogo nasikia watu wanashangilia.
Itabidi Skudu acheze next match awalambishe nyasi Inonga, Zimbwe na Malone. Lol