ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ndio maana nasema mapinduzi Huwa ni mbwembwe,hakuna Cha maana utafanya Kwa hiyo wanaoshangilia ni wapumbavu maana huo mkate hawatakaa waupate isipokuwa familia za waliopindua.Kwani hata hao wanaoingia mbele ya mabeberu wana jipya gani?huyo mbambe wa Niger tayari ameshaanza kuwa mpole baada ya kuomba kipindi cha mpito cha miaka 3!!kukataliwa na ECOWAS!!mikataba yote ya rasilimali za nchi walishagawa,sasa hata ukiingia sio suala la muda mfupi kuirekebisha!!Nao wanavuna tu kipindi cha mpito kikiisha wanawaachia wengine.
Sasa kama umekata tamaa ni wewe Kwa sababu huna maisha usituharibie,utangulizwe mapema huko shimoniI have nothing to fear. I have nothing to lose. Anayeweza kunisulubu mimi ni Mungu tu na sio binadamu mwenzangu.
We ni tasa,sisi wenye wajukuu washapata ajira chini ya Samia na mishahara wamepata incrementBora ugali ukosekane, wote tufe kisha nchi ienze upya kuliko kukaa na kuona watoto wa vigogo wakiendelea kuneemeka tu na rasilimali za taifa.
Watanzania wa 2023 sio kama wale wa 1983 mliokuwa mnawatishia nyau. Watu sasa wana exposure. Watu wana uwezo mkubwa wa kuchambua masuala ya uchumi na kimataifa. Hakuna tena wa kulishwa propaganda chafu huku nyie na watoto wenu mnajazana kula mema ya nchi. Muda utafika na wote tutaimba wimbo mmoja. It's a matter of time.Bora waneemeke kuliko Vita,hakuna Mtanzania anapenda huo ujinga kama wewe unapenda kufa mapema kabla ya kutuletea shida sie wengine na Watoto Wetu.
Watu waliokata tamaa Kama huyo.jamaa ni WA kuwa identify na kuwasaga mapema wapotee kabisa kabla ya kuleta shida Kwa wengine.We ni tasa,sisi wenye wajukuu washapata ajira chini ya Samia na mishahara wamepata increment
I have nothing to fear. Alikufa shujaa Patrice Lumumba akipigania wananchi wenzake. Mimi siogopi kitu wewe.Sasa kama umekata tamaa ni wewe Kwa sababu huna maisha usituharibie,utangulizwe mapema huko shimoni
Huna akili weweI have nothing to fear. Alikufa shujaa Patrice Lumumba akipigania wananchi wenzake. Mimi siogopi kitu wewe.
Swala sio exposure swala ni kusagwa Kwa chuma,Putin na genge lake wanakula Rushwa na kunemeeka huko Russia ukiletwa dogo unaswagwa.Watanzania wa 2023 sio kama wale wa 1983 mliokuwa mnawatishia nyau. Watu sasa wana exposure. Watu wana uwezo mkubwa wa kuchambua masuala ya uchumi na kimataifa. Hakuna tena wa kulishwa propaganda chafu huku nyie na watoto wenu mnajazana kula mema ya nchi. Muda utafika na wote tutaimba wimbo mmoja. It's a matter of time.
Shujaa Huwa anakufa au ni digidigi tuu huyo Lumumba? Kama huna Cha kuogopa itisha press au fanya hamasa yeyote ya kwenye mtandao inayoashiria uhaini tuone ulivyo mwamba.I have nothing to fear. Alikufa shujaa Patrice Lumumba akipigania wananchi wenzake. Mimi siogopi kitu wewe.
Wazalendo ππππ ona haya mapumbavu,linaangushwa genge Moja kwenda.kwa genge jingine unaita Wazalendo.Safi sana.
Nchi imechukuliwa na Wazalendo.
Bila Afrika kupitia changamoto za kuwafuta kazi Wezi na kuwakabidhi Wazalendo , maendeleo watayapata kwenye makatatasi na vikao na makongamano yanayohusomisha Wadau Wa ufisadi.
Mfano nchi kama Tanzania haiwezi kupata maendeleo bila kutumia ubabe kwenye usimamizi Wa Mali za umma.
CCM ni Chama Cha Mapinduzi kilichopinduliwa na Mafisadi.
Wazalendo wakatupwa nje.
Nchi ya Tanzania Kwa Mfano Wafanyakazi karibu wote wamepita JKT. Wote ni majasiri na watiifu endapo wataongizwa na kusimamiwa kijeshi Lakini pakitokea Kiongozi akawaongoza kilegelege wote wanageuka na kukosa nidhamu na kuanza kutegea na kuiba Mali za umma .
Ukiwakabidhi Wafanyakazi Wa Tanzania kazi ujue umewakabidhi askari mana wote wamepita JKT.
Hakuna mtumishi Wa umma aliyepita JKT Atakua mtiifu bila Amri. Askari Siku ZOTE Wana nidhamu ya woga. Hivyo serikali ikiwalegezea mawaziri,wabunge , wakurugenzi, walimu ,madaktari, wafanyakazi Wa Bandari n.k. basi ni wazi Kuwa watageuka Kuwa wategaji ,wababaishaji na watafuta maslahi Binafsi. Hawa wanasimamiwa Kwa mkono Wa chuma.
Ndio maana mashirika Binafsi yanafanya Vizuri kuliko ya umma Kwa sababu mashirika Binafsi yanaendeshwa na Wasomi ambao WENGI wao hawakuwahi kupita JKT. Ni waoga na wananidhamu halisi.
Hongera sana Kwa Nchi ambazo Wazalendo Wa kweli wameanza Kuamka na kuwafukuza Wezi Wa Mali za umma Ili kujenga Kesho ya Vizazi vya wengi.
Bila hivyo Dunia itamilikiwa na Wahalifu huku waliowengi WAKIWA wanateseka chini Yao.
Hauijui Libya ya Gadafi weweShida ya Africa hatujawahi kujiuliza kwanini hatupigi hatua mbele, ni kweli mfumo wetu wa utawala ni shida sana maana hata hili la majeshi tunayofurahia lakini tujiulize kwani haya ndio mara ya kwanza kutokea? jibu hapana. Hakuna nchi yoyote iliwahi kupinduliwa na ikaleta mageuzi ya kiuchumi ay kuboresha maisha ya watu. Najuwa kuna watu watesema nchi za Africa tunautajiri sana, yes ni kweli lakini tunarudi pale pale kwanini sisi tu hatuendelei. Tuchukulie mfano wa mafuta tu, nchi nyingi zinamafuta. Saudia, Kuwait, UAE, Qatar, Nigeria, Venezuela, Iraq, Iran, Gabon sijui Angola lakini je maisha ya wananchi hizi wanafanana? Hapana nchi zote ukiondoa Saudia, UAE, Kuwait na Qatar wananchi wao wanaishi vizuri na wanazidi kuendelea, kwanini hawa wengine wamebaki na matatizo tu? jibu rahisi watawala, wenzetu wana watawala wanaojali maendeleo ya watu wao na nchi sio utajiri wa rasilimali tu, haitoshi. Na hili la Gabon nakuhakikishia hakuna lolote jipya watafurahia tu siku chache tutarudi kulekule.
Mimi ni mwamba kweli kweli. Mtaishia kuwatisha hao hao wasiojielewa.Shujaa Huwa anakufa au ni digidigi tuu huyo Lumumba? Kama huna Cha kuogopa itisha press au fanya hamasa yeyote ya kwenye mtandao inayoashiria uhaini tuone ulivyo mwamba.
Acha kutukana fake IDsWazalendo ππππ ona haya mapumbavu,linaangushwa genge Moja kwenda.kwa genge jingine unaita Wazalendo.
Wajinga ndio mliwao,wakati kina Jiwe na genge lake wanajinufaisha na utajiri wa kutisha mlikuwa mnaambuliankuitwa Wazalendo ππ
Akili unazo wewe, lakini chama chenu na watoto wenu mnaotafuna nchi raia wamewachoka.Huna akili wewe
Nathani kutakuwa na mafunzo maalumu, kama mtu anavyosoma bachelor ya education n.kHili swali najiulizaga na sijawahi pata jibu, kwa mfano nchi nzima inaweza kuwa na wanajeshi 400k lkn utasikia wanajeshi kumi au kumi na mbili ndo wameipindua nchi nzima hii imekaaje? Je ni kweli kwamba wanajeshi wote nchi nzima nakuwa wanaunga hayo mapenduzi? Sidhani!
Je kwa hao wanajeshi wanaokuwa hawaungi mkono mapenduzi huchukua hatua Gani?? Msaada jamani kwa wajuvi
Najuwa sana kuhusu Libya na kwa ufupi Libya wana reserve kubwa ya Oil lakini usitake kufananisha maendeleo ya Gulf states na Libya. Libya wana poor infrastructure na tunaona Libya ya leo.Hauijui Libya ya Gadafi wewe
1. Gabon ina watu milioni 2Shida ya Africa hatujawahi kujiuliza kwanini hatupigi hatua mbele, ni kweli mfumo wetu wa utawala ni shida sana maana hata hili la majeshi tunayofurahia lakini tujiulize kwani haya ndio mara ya kwanza kutokea? jibu hapana. Hakuna nchi yoyote iliwahi kupinduliwa na ikaleta mageuzi ya kiuchumi ay kuboresha maisha ya watu. Najuwa kuna watu watesema nchi za Africa tunautajiri sana, yes ni kweli lakini tunarudi pale pale kwanini sisi tu hatuendelei. Tuchukulie mfano wa mafuta tu, nchi nyingi zinamafuta. Saudia, Kuwait, UAE, Qatar, Nigeria, Venezuela, Iraq, Iran, Gabon sijui Angola lakini je maisha ya wananchi hizi wanafanana? Hapana nchi zote ukiondoa Saudia, UAE, Kuwait na Qatar wananchi wao wanaishi vizuri na wanazidi kuendelea, kwanini hawa wengine wamebaki na matatizo tu? jibu rahisi watawala, wenzetu wana watawala wanaojali maendeleo ya watu wao na nchi sio utajiri wa rasilimali tu, haitoshi. Na hili la Gabon nakuhakikishia hakuna lolote jipya watafurahia tu siku chache tutarudi kulekule.