Naughty by nature
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 2,123
- 2,359
Simpaka upate iyo nafasi ya kufurahiMimi siku ikitokea huku kwa na nchi ya ninihili nitafurahi mno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simpaka upate iyo nafasi ya kufurahiMimi siku ikitokea huku kwa na nchi ya ninihili nitafurahi mno
Ni bora kubadirisha kuliko kukaa nao muda mrefu hadi wanajiona km wanamiliki hadi pumzi zetu.Hii sio kweli, hata hao waliopindua nao wanakua vibaraka wa wengine. Labda useme wametofautishiwa master tu ila Kwa Dunia ya Sasa ni lazma uwe eastern bloc au western bloc otherwise utapotezwa kwenye ramani.
....na hiki ndicho alichokosea JPM. Yeye akawaona wazungu wote kama maadui zake.Hii sio kweli, hata hao waliopindua nao wanakua vibaraka wa wengine. Labda useme wametofautishiwa master tu ila Kwa Dunia ya Sasa ni lazma uwe eastern bloc au western bloc otherwise utapotezwa kwenye ramani.
Kabisa mkuu, demokrasia za maigizo hizo ni upuuzi tu na matumizi mabaya ya fedha.Tume ya uchaguzi ilikuwa tayari imeshamtangaza Ally Bongo kuwa mshindi. Watu wamechoka na demokrasia za mchongo
JKT ipo ndani ya JWTZ😂😂😂😂 Watu wanaonyesha mapenzi na Jeshi lao Jeshi linawakataa vueni magwanda hayo hatutaki mapenzi na nyinyi
Jeshi la POLISI
Jeshi la Ulinzi wa Raia na Mali Zao
Jeshi la Wananchi
Jeshi la Kujenga Taifa
Unazungumzia Jeshi lipi?
Huyu Ali bongo si anatembea na wheelchair mpaka kushikiliwa mkonoPundua vichaa wote wanaofanya nchi za familia
Usijali MKUU ndio kituo kinacho fuata hapoPale kwao Etoo sijui wanasubiri nini wale wajeda!!
Au wanakula pamoja na yule mtawala wao
Nigeria kama hajashtukia haya mapinduzi basi hana akili.Kuna rasilimali nyingi ambazo hawajaweza kuzitumia na huyu naye ni kibaraka wa UK mrusi hana haja nae. Jeshi lenyewe halijielewi.Anafata NIGERIA [emoji1184] akijaribu tu kuongoza jeshi dhidi ya Niger [emoji1183] shughuli ya Nigeria [emoji1184] itakua Imeishia hapo
PMC wargner.......
Mapinduzi sio suluhisho la kudumu, isitoshe hata hao wanajeshi hukataa kutoka madarakani mfano ni huko Sudan, Mali hata uchaguzi wameuhairisha.Majeshi ya wananchi ndiyo demokrasia ya Kweli ndani ya Africa
Mapinduzi sio suluhisho la kudumu, isitoshe hata hao wanajeshi hukataa kutoka madarakani mfano ni huko Sudan, Mali hata uchaguzi wameuhairisha.
Acha tu kila mtu ale kekiMapinduzi sio suluhisho la kudumu, isitoshe hata hao wanajeshi hukataa kutoka madarakani mfano ni huko Sudan, Mali hata uchaguzi wameuhairisha.
hivi ngoma alikuwa raia wagabon ? Mwamba alikuwa na nyimbo classic sanaJUSTICE FOR OLIVER NGOMA ipatikane.
hao bongos wanajua walichomfanyia
Huko ni kutesa raia na kuharibu nchi....hakuna keki hapo.Acha tu kila mtu ale keki
Ova
Safi sana. Huku Tanzania kuna familia na zenyewe zinataka kujimilikisha nchiKikundi cha Wanajeshi 12 kimechukua uamuzi huo ikiwa ni siku chache tangu Tume ya Uchaguzi kutangaza kuwa Rais Ali Bongo ameshinda tena Kiti cha Urais
Wanajeshi hao wametangaza kupitia Televisheni ya Taifa kuwa wanafuta matokeo yaliyoyangazwa na kuzifuta Taasisi zote za Umma pamoja na kulinda amani, kuondoa utawala usiowajibika uliochangia kuvuruga umoja katika jamii
Mapinduzi haya yatakuwa yanamaliza Utawala wa familia ya Bongo iliyotawala Nchi hiyo kwa takriban miaka 53.
==========
Jeshi la nchi hiyo limesema limechukua madaraka baada ya tume ya uchaguzi kumtangaza Ali Bongo kama mshindi kwa kipindi cha tatu.
Katika tangazo hilo maafisa wa jeshi waliojitokeza kwenye televisheni ya taifa walisema wamefuta uchaguzi uliofanyika Jumamosi ambao ulizusha malalamiko na wamefunga mipaka yote ya nchi hiyo pamoja na kusimamisha utendaji wa kazi wa taasisi zote za kiserikali.
--
Television announcement came shortly after state election body announced incumbent Ali Bongo had won a third term as president.
A group of senior military officers have gone on national television in Gabon saying they have seized power because elections held over the weekend were not credible.
The officers, appearing on Gabon24 in the early hours of Wednesday morning, said they had cancelled the elections, dissolved all state institutions and closed the country’s borders.
They said they represented all security and defence forces of Gabon.
The announcement came shortly after the state election body said President Ali Bongo Ondimba had won a third term in office in Saturday’s disputed elections.
“In the name of the Gabonese people … we have decided to defend the peace by putting an end to the current regime,” the officers said.
The Gabonese Election Centre said Bongo had secured 64.27 percent of the vote compared with 30.77 percent for his main challenger Albert Ondo Ossa, after a process beset by delays.
On Saturday, the opposition camp said the election was a “fraud orchestrated by Ali Bongo and his supporters” after the internet was cut and a curfew imposed. French media outlets France 24, RFI and TV5 Monde were also banned, accused of “a lack of objectivity and balance … in connection with the current general elections”, the government said.
Bongo was the candidate for the Gabonese Democratic Party (PDG), the party founded by his father, Omar Bongo, who ruled Gabon with an iron fist from 1967 to 2009. After his death, his son, then the defence minister, took his place as president and has been in power ever since.
Tensions had been running high amid Saturday’s vote with the opposition pushing for change and an end to the Bongo family’s dominance of Gabon.
Following the military announcement, the Reuters and AFP news agencies reported the sound of gunfire in the Gabonese capital, Libreville.
Source: Gabon military officers claim power, say election lacked credibility
Nyie kumbatieni matutusa ya CCM.Lloyd Munroe naona mnafokoa mze.Ali