Habari za Kiuchunguzi kuhusu Maelfu ya Askari wa Rwanda waliouawa katika mapigano ya DRC

Itakuwa bora, mmoja afe mamilioni waishi.
Mnasingizia asiyehusika na shida zenu, acheni ukabila na kuchukua haki za wengine and everything will be fine, mnaishi legacy ya Mobutu wapuuzi wakubwa nyie, hope mtashindwa vita
 
Upo sahihi sana
 
Wamejitakia wenyewe, wizi haulipi. Kagame is just using them for his own prosperity.
 
Mnasingizia asiyehusika na shida zenu, acheni ukabila na kuchukua haki za wengine and everything will be fine, mnaishi legacy ya Mobutu wapuuzi wakubwa nyie, hope mtashindwa vita
Hiyo ni faida. Mmoja afe mamilioni waishi kwa amani period
 
Yaani hii EAC ni vichekesho vitupu,eti Somalia 🇸🇴 & DRC ni wanachama.
 
Waliokuwa wanamuona Kagame kama wbattle-hardened cookie, waanze kufikiri upya. Niliwahi kuhoji kuwa kama alimshindwa Habyarimana hadi akamtungua, tukitia buti si atakiona alichokiona mwenzake Amin.
Alafu kale ka nch ni kadogo sana tunaweza fanya mkoa wa Rwanda tukishinda "alisikika mlevi mmoja akilopoka.
 
Rwanda nao wameua mercenaries wengi sana
 
Sidhani kama ni sahihi. Maana habari zilizopo ni kwamba waasi wamekuwa na nguvu sana, na wanazidi kuteka miji mingine mikubwa
 
Duuh Hatari!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…