Haji Manara popote ulipo au ukisaidiwa na Yanga SC Wenzako mkinijibu haya Maswali yangu Muhimu nitashukuru

Amani gani ivunjike kwa huyo mpuuzi mmoja anayeendekezwa tu.
Akae na hiyo ban akimaliza kama hajatafuta deal zingine wamwongeze mpk tumsahau.
Soka ziima la Tanzania haliwezi kuendeshwa na kiroboto mmoja,
Hana elimu,exposure,hajui lolote zaidi yakuongea uchafu na lile domo chafuu.
 
Hapa alipofikia Haji ni hatari kwa usalama wa Taifa,uchochezi anaofanya na kwa vile idadi kubwa ya wanayanga ni hamnazo inaweza kusababisha uvunjifu wa amani. Anafikia kumtolea kejeli waziri Mchengerwa kwa vile ni mndengereko mwenzake anataka ampe upendeleo. Huyu afinywe korodani kwanza kisha afichwe store. Naona Mzee Sunday Manara amempa malezi mabaya huyu albino wake.
 
 

Attachments

  • 20220726_140633.jpg
    35.8 KB · Views: 5

[emoji14][emoji1787][emoji1787][emoji12]
 
Alohojiwa na salama kwenye salama na..ndo akasema hivyo japo najua aliongea kiutani tuuu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…