Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LabdaYupo humu huyo Haji?
Mbona kama kocha wao Lucy akiongea ukweli,na Manara pia alisema hivo hivo wenye akili mle ni wawiliBrand au alikuwa mwizi na tapeli kabla ya Mo kumuibua na kumleta msimbazi
Usifananishe Chadema na Yanagonga na kurudi fcManara Hana tofauti na CHADEMA [emoji23][emoji23] kulia kwingi
Kiongozi relax,manara ni mtu mdogo sana tena sana kama punje ya mtama ,naamini hatutafikia huko unapofikiriaDuh.......!
Sikujua Manara ni maarufu kiasi hiki!!
Anajadiliwa kuliko mishahara
Pale Saigon anaheshimikaKiongozi relax,manara ni mtu mdogo sana tena sana kama punje ya mtama ,naamini hatutafikia huko unapofikiria
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Uwe makini sana kijana1. Rais Mstaafu Jakaya Kikwete
2. Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba
3. Waziri 'yupo yupo' Mzee George Huruma Mkuchika
4. Naibu Waziri wa Kilimo Antony Mavunde
5. Naibu Waziri wa Ardhi Ridhiwani Kikwete
6. Waziri wa TAMISEMI Bashungwa
7. Rtd. CDF Gen. Mabeyo
GENTAMYCINE nalisema hili mapema hivi na kwa nia njema tu kwani tayari kama Kawaida na Maono niliyobarikiwa nayo na Mwenyezi Mungu naona kuna HATARI Kubwa inakuja mbeleni kama Watajwa hawa hawatokaa pembeni ya hizi Jeuri zote za Mfungwa na Mdaiwa Haji Manara.
Msije kulaumu tu sikuwashauri sawa?
Haji manara ni maarufu toka anazaliwa,Haji alipozaliwa magazeti yaliandika kuhusu Sunday Manara kupata mtoto,
Nacomment kama mwana JF na sio kwa kushabikia team yeyote au mtu yeyote.
Naona anajaribu kukipaka mafuta kiswahili mlichotukaniwa.Umeandika matapu tapu
1. Haji hakusema hivyo akihojiwa na Efm alisema hivyo akihojiwa na salama.
2. Kuhusu hoja mfu yako kusema Haji kasema Yanga hawana akili alimaanisha Yanga wanaipenda sana timu yao.
Hata mwanaume akimpenda sana mwanamke kupita kiasi anaonekana hana akili.
Bushman kama wewe huwezi kuelewa kiswahili cha watoto wa mjini.
Wasalimie Bunda vijijini
Achana na hilo fitini na chochezi nr 01GENTAMYCINE chuki zako binafsi kwa huyo mropokaji zisikufanye uvuke mstari mwekundu.
Huu ni ushauri tu mimi nakupa.
si angeenda kwenye press kama akaulize maswali yakeAmesmea "na wana yanga wengine humu Jamii forums" unaweza ukamjibia hata wewe mwana Yanga mwenzake
Kwakuwa anafanyiwa kale Kamchezo?Pale Saigon anaheshimika
Kua na akili ya uelewa basi,kuna sehemu nimesema kua hivyo vilabu viwili havijamuongezea umaarufu Haji? Ni kweli umaarufu wa Haji umeongezeka sio kama alivyokua mwanzo,Hahahahahaha kuwa serious ni jambo ambalo watu wengi linawashinda. Kwamba hivi vilabu viwili havihusiani na umaarufu alioupata Manara, na kwamba yeye ndiye alieenda kuvikuza?[emoji23]
Unataka sasa kusema Alimaanisha Sunday na Kikwete hawaipendi Yanga Kwa kuwa wao Wana akili.Umeandika matapu tapu
1. Haji hakusema hivyo akihojiwa na Efm alisema hivyo akihojiwa na salama.
2. Kuhusu hoja mfu yako kusema Haji kasema Yanga hawana akili alimaanisha Yanga wanaipenda sana timu yao.
Hata mwanaume akimpenda sana mwanamke kupita kiasi anaonekana hana akili.
Bushman kama wewe huwezi kuelewa kiswahili cha watoto wa mjini.
Wasalimie Bunda vijijini
1. Rais Mstaafu Jakaya Kikwete
2. Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba
3. Waziri 'yupo yupo' Mzee George Huruma Mkuchika
4. Naibu Waziri wa Kilimo Antony Mavunde
5. Naibu Waziri wa Ardhi Ridhiwani Kikwete
6. Waziri wa TAMISEMI Bashungwa
7. Rtd. CDF Gen. Mabeyo
GENTAMYCINE nalisema hili mapema hivi na kwa nia njema tu kwani tayari kama Kawaida na Maono niliyobarikiwa nayo na Mwenyezi Mungu naona kuna HATARI Kubwa inakuja mbeleni kama Watajwa hawa hawatokaa pembeni ya hizi Jeuri zote za Mfungwa na Mdaiwa Haji Manara.
Msije kulaumu tu sikuwashauri sawa?
Koma kuilinganisha Chadema na huo mzoga wa kitimotoManara Hana tofauti na CHADEMA [emoji23][emoji23] kulia kwingi