Manara ni lazima aondoke mapema,kumtoa barbara maana yake mo nae atasambaa

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Wanaotaka manara afe njaa kisa mkataba ambao hajaingia yeye ndio wapumbavu .

Otherwise mo na kampuni zake wangeweka Ofa Nene mezani inatakayo muhusisha manara moja kwa moja sio Simba .
Hpa solution iliyopo ni Manara aache kazi simba ili awe huru kufanya kazi na kampuni anayotaka.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Kwa sasa Simba ni Mali ya mtu binafsi sio Kikundi mpaka mkae vikao sasa hv Bosi akiamua uondoke hakuna atakae pinga kwahiyo Manara hana chake Simba
 
Kumbe mlikuwa mmeroga? Yanga haturogeki pussi wewe
 
Inategemea matokeo ya Kigoma. Simba ikifungwa Haji ataibuka kidedea na Barbara na genge lake watakaa mkao wa kuondoka.

Simba ikishinda, Manara hana chake tena pale Simba!

Ni bora Manara atoe ushirikiano kwa Yanga ishinde!!
 
manara ndio ataanza kuondoka .
Ila na wengine wote watakuja kuondoka na kuiacha timu ya simba .
Timu ya simba itaendelea kuwepo akina mo, babra,zacharia nao watakuja kuondoka na kuiacha simba
 
Moo aondoke ili Simba wafurugane wenyewe hapo lzm yanga atakah kileleni ...ila naona kwa jicho lingine kuwa marana anatumika kiakili Sana kudhoofisha Simba ili Azam na yanga waje ije kuwa tisho mbeleni ..mnk moo akiondoka tu yangaa iyoo kwa kas ya ajabu . .manara atakuja kuuvuruga mpira wa tz tusubiri tuone
 
Kabla ya uzi wako kuwasilisha hapa jukwaani tayari Manara keshajipiga chini yeye mwenyewe.
 
yani Mo akiambiwa achague kati ya pisi kali na Manara unadhani atachagua nini?
 
Wapumbavu humu wengi..

Kocha wa Liverpool ana Mkataba na Adidas
Licha ya Liverpool kuwa na Mkataba na Nike

Kuna mipumbavu humu mingi haijui kazi kuongea utumbo
Uwezi kuchangia bila kutukana watu,unafikili mawazo yako wewe ni sahihi,kama ingekuwa mawazo yako ni sahihi, usingekuwa unafungua nyuzi hapa ili watu wachangie mawazo Yao,ungebaki na mawazo yako na kile unachokiamini full stop,jifunze kueshimu watu hata kama ukubaliani na mawazo yako,uenda hujui lolote pia.
 
Heheheh ndio biashara za kibongo! Boss anataka anaowanunia na wewe uwanunie [emoji23][emoji23][emoji23]
ila mzee soka la ulaya sio kama la bongo..Soka la ulaya Ni uwanjani while Soka la bongo Ni Hujuma,Visanga,uchawi,fiigisu nk.
Kwahyo mtu akiwa ndumila kuwili lazima awaharibie tu Na lazima mmshtukie
 
Ugomvi ubakie kwa Manara na hao wahindi, wasiwaingize mashabiki na wanachama wa Simba.
 
Kwahio una amini maneno ya Manara ndio yameijenga Simba?
 
Manara amejivua nguo kirahisi sana, nilishangaa tukielekea game ya Simba na Yanga jpili Manara anakuja na madai ya kijinga tena kupitia Kitenge Tv kumlaumu Barbara kwanini asingepeleka madai yake kwa uongozi?

Jamaa ni msaliti afukuzwe Simba, ameahajiona yuko sawa na klabu ya Simba, wakati Simba ndio ilimuokota akiwa amepauka vumbi kariakoo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…