Hans Pope: Manara hataki kusaini mkataba ambao atalipwa milioni 4
Hivi msemaji wa timu ya Brazili ya River Plate, aonekana anatangaza biashara za Boca junior, unachinjwa siku hiyohiyo.
Kama angechinjwa msemaji wa Yanga, angethubutu kutangaza biashara za MO Dewji. Angeshazikwa.
Tatizo vichwa vyenu ni vigumu sana.

Gsm wanaimiliki yanga ?, Big No, GSM na Yanga ni separate entities , ukiishtaki Yanga umeishtaki Yanga na ukiishtaki GSM umeishtaki GSM.

METL na Simba ni kitu kimoja ?, BiG No, METL na Simba ni separate entities kama GSM na Yanga.

Haji ni mfanyakazi/muajiriwa wa entity gani ? , SIMBA, sasa kama ni hivyo ni kwanini muajiriwa wa Simba ashindwe kufanya kazi na GSM ?, Jibu, Hakuna sababu yeyote ile ya msingi zaidi ya ujinga au chuki.

Je, kwanini hamlalamiki kuhusu Azam? utasikia kuna utofauti wa Azam timu na Azam Kampuni , sasa kama kwa Azam ni tofauti kwanini kwa GSM hamuoni huo utofauti!!!

Superstar wa Barcelona Lionel Messi ana mkataba na Adidas , timu anayovaa jezi yake na kuiwakilisha kila leo, wakati huo huo Barcelona ina mkataba na Nike, Mbona hatujawahi kusikia Nike wanasema Messi anawahujumu !!

Ni ushamba, ujinga na roho mbaya tu kwa manara
 
Kwa muda mrefu Haji amekuwa akijihusisha na GSM kama one of the brand ambassador na pia amekuwa brand ambassador wa wafadhili wa azam. Tatizo ni kwamba kuwa ambassador huko kwingine kunamnyima yeye nafasi ya kutangaza bidhaa za mtu ambaye amewekeza pesa nyingi pale Simba kwa sababu za kimikataba na hao wengine.

Sasa haiingii akilini, muajiriwa wasimba anashindwa kutangaza bidhaa za mdhamini wa Simba, ila anaenda kutangaza bidhaa za madhamini wa Yanga!

Hivi ishawahi kufikiria leo Hasan bumbuli awe na mkataba wa kibiashara na Mo dewji kutangaza bidhaa zake na mashabiki wa yanga wamuangalie tu?

Linapokuja swala la mshahara, Simba wanampa laki Saba huku hao wengine wanampa wakimpa zaidi ya million 5 Sasa unafikiri huyo anayempa million 5 akija kumuomba taarifa za huyu anayetoa laki 7 atakataa?? Ni halali viongozi wa Simba kuwa na mashaka na haji manara.
Mkataba wake na simba unasemaje?

Job description yake inasemaje?
 
Mkuu All- Rounder, hii si ni timu yako, na Haji ulikuwa ukimsapoti sana?
Unafiki haujawahi kumuacha mtu salama, leo POPOMA kamgeuka Haji!!. Juzi katoka kumtetea na kuwaponda Shafii, Prisca na Waandishi waliotukanwa na haji
 
Tatizo vichwa vyenu ni vigumu sana.

Gsm wanaimiliki yanga ?, Big No, GSM na Yanga ni separate entities , ukiishtaki Yanga umeishtaki Yanga na ukiishtaki GSM umeishtaki GSM.

METL na Simba ni kitu kimoja ?, BiG No, METL na Simba ni separate entities kama GSM na Yanga.

Haji ni mfanyakazi/muajiriwa wa entity gani ? , SIMBA, sasa kama ni hivyo ni kwanini muajiriwa wa Simba ashindwe kufanya kazi na GSM ?, Jibu, Hakuna sababu yeyote ile ya msingi zaidi ya ujinga au chuki.

Je, kwanini hamlalamiki kuhusu Azam? utasikia kuna utofauti wa Azam timu na Azam Kampuni , sasa kama kwa Azam ni tofauti kwanini kwa GSM hamuoni huo utofauti!!!

Superstar wa Barcelona Lionel Messi ana mkataba na Adidas , timu anayovaa jezi yake na kuiwakilisha kila leo, wakati huo huo Barcelona ina mkataba na Nike, Mbona hatujawahi kusikia Nike wanasema Messi anawahujumu !!

Ni ushamba, ujinga na roho mbaya tu kwa manara
Unaweza tofautisha GSM na yanga saiv?
Yaani GSM hao wanaosajili wachezaji wa Yanga, wanaolipa mishahara yanga unawatenganisha vipi na yanga?
Unaweza tenganisha MO na simba, mtu anayemiliki hisa nyingi simba mpaka sasa ( anasubiriwa FCC tu)?
Asa wewe huwezi ukawa unawatumikia wote wawili kwa pamoja.
 
Tatizo vichwa vyenu ni vigumu sana.

Gsm wanaimiliki yanga ?, Big No, GSM na Yanga ni separate entities , ukiishtaki Yanga umeishtaki Yanga na ukiishtaki GSM umeishtaki GSM.

METL na Simba ni kitu kimoja ?, BiG No, METL na Simba ni separate entities kama GSM na Yanga.

Haji ni mfanyakazi/muajiriwa wa entity gani ? , SIMBA, sasa kama ni hivyo ni kwanini muajiriwa wa Simba ashindwe kufanya kazi na GSM ?, Jibu, Hakuna sababu yeyote ile ya msingi zaidi ya ujinga au chuki.

Je, kwanini hamlalamiki kuhusu Azam? utasikia kuna utofauti wa Azam timu na Azam Kampuni , sasa kama kwa Azam ni tofauti kwanini kwa GSM hamuoni huo utofauti!!!

Superstar wa Barcelona Lionel Messi ana mkataba na Adidas , timu anayovaa jezi yake na kuiwakilisha kila leo, wakati huo huo Barcelona ina mkataba na Nike, Mbona hatujawahi kusikia Nike wanasema Messi anawahujumu !!

Ni ushamba, ujinga na roho mbaya tu kwa manara
Nenda kafanye kazi Cocacola na Pepsi halafu wakigundua subiri matokeo yake.
Mpira na kampuni za Nike au Puma hakuna shida kwakuwa sio washindani wa bidhaa moja.
Manara angetangaza tu bidhaa za Asas au Nike, au Buggatti haingekuwa shida. Kwakuwa hawagombei wateja wamoja.

Upo Simba halafu ni muajiriwa wa mdhamini wa Yanga.
Au hujui kuwa Simba akiwa Bingwa Yanga inashuka kimapato. Hivi GSM atafurahia hiyo ?

Waulize wachumi watakufafanulia.
 
Kwa upande wangu regardless na tuhuma za Manara kwa Barbara, Manara njia aliyoitumia amekosea sana. It is very unprofessional kuleta mambo kama yale public halafu unarecord na voice note kabisa, kwa mtu wa caliber kama yake ule ni utoto na uswahili.
Manara Professionalism ya kufanya mambo ki professional anaipata wapi?
 
mkimaliza kumbukeni goli ni moja tuu mengine ni kulinda sifa yako mtaani
 
Wapumbavu humu wengi..

Kocha wa Liverpool ana Mkataba na Adidas
Licha ya Liverpool kuwa na Mkataba na Nike

Kuna mipumbavu humu mingi haijui kazi kuongea utumbo

Umetumia lugha kali sana ingawa ndo ukweli wenyewe.
 
Nasema na sifuti
Mo ni bahili mno (nakubali mbinu ya utajiri ni ubahili)
Narudia Mo ni nahili mno.
Angalia television yoyote huoni matangazo ya bidhaa za metel, lakini utaona ya azam (bakhresa) na ya gsm (iwe ni maduka yao nguo au kampuni zao za usafirishaji).
Sasa wewe mo haumpi uambassador manara atangaze bidhaa zako unaona gere akitangaza za watu.

Manara nenda baba, watakukumbuka though jua umekua maarufu kwaajili ya simba hence unachangamoto za kukua nje ya simba.
Prove them it was your own effort na sio upepo wa simba uliokuwa unakubeba.
 
Kwa upande wangu regardless na tuhuma za Manara kwa Barbara, Manara njia aliyoitumia amekosea sana. It is very unprofessional kuleta mambo kama yale public halafu unarecord na voice note kabisa, kwa mtu wa caliber kama yake ule ni utoto na uswahili.
Nadhani shule yake pia ni ndogo sana! Hebu mtu anayemfahamu Manara atupie cv yake hapa!!
 
Kinachoonekana wazi ni kuwa, viongozi wa Simba wakiongozwa na MO na bodi nzima, hawapendezwi na Manara kufanya kazi na GSM pamoja na Azam Ltd.

Na hicho ndicho kimemponza.

Manara alichokosea tu ni kuwa kamkaripia CEO wake. Na kumtishia kuwa atamuondoa Simba. Sawa, ataondoka lakini si kwa matakwa ya Manara.

Ngoja tuone, how will the sagga end!.

Simba tukifungwa, ndo zogo litakuwa tamu balaa.
Sio hawapendi. Kila taasisi ina misingi na taratibu zake. Uswahili sio mzuri tunataka mabadiliko afu hatufuati taratibu za kusimamia taasisi kwenye njia tunayoitaka. Yaan anataka kuitumia simba kama chanzo cha kupata umaarufu zaidi ili apige dili zake afu ndani ya club hataki.mkataba..? Aibu gani hiyo. Tufikirie kwa mapana
 
Kwa muda mrefu Haji amekuwa akijihusisha na GSM kama one of the brand ambassador na pia amekuwa brand ambassador wa wafadhili wa azam. Tatizo ni kwamba kuwa ambassador huko kwingine kunamnyima yeye nafasi ya kutangaza bidhaa za mtu ambaye amewekeza pesa nyingi pale Simba kwa sababu za kimikataba na hao wengine.

Sasa haiingii akilini, muajiriwa wasimba anashindwa kutangaza bidhaa za mdhamini wa Simba, ila anaenda kutangaza bidhaa za madhamini wa Yanga!

Hivi ishawahi kufikiria leo Hasan bumbuli awe na mkataba wa kibiashara na Mo dewji kutangaza bidhaa zake na mashabiki wa yanga wamuangalie tu?

Linapokuja swala la mshahara, Simba wanampa laki Saba huku hao wengine wanampa wakimpa zaidi ya million 5 Sasa unafikiri huyo anayempa million 5 akija kumuomba taarifa za huyu anayetoa laki 7 atakataa?? Ni halali viongozi wa Simba kuwa na mashaka na haji manara.
Uajiriwe na coca cola afu hapo hapo uwe unatangaza Pepsi aisee huyu wamfute kibarua na aisikae karibu na benchi la ufundi.
 
Back
Top Bottom