Mvimbisheni kichwa huyo ndezi, siku akitimuliwa Simba akakosa support ya mashabiki wa Simba kwenye aacount zake za mitandao ndio atafurahi, anajidai mjanja wakati ujanja alionao ameupata toka kwa mashabiki wa Simba, hao followers wake watasambaratika abaki na utopolo peke yao.
 
ila mzee soka la playa sulaya bongoio kama la bongo..Soka la ulaya Ni uwanjani while Soka la bongo Ni Hujuma,Visanga,uchawi,fiigisu nk.
Kwahyo mtu akiwa ndumila kuwili lazima awaharibie tu Na lazima mmshtukie
Ni balaa mala mzee mpili anahusika vitimbi kibao
 
kila siku unakumbushwa kuchunga domo lako unajifanya kichwa ngumu

Ban zitakukimbiza jf mwaka huu
 
Simba ni genge la wezi wenye uzoefu
 
Haji anatumia Media za club kutangaza bidhaa za wateja wake??

MO amesema mauzo ya bidhaa zake yameshuka kutokana na hili??

Muda umefika wa MO na genge lake kutuachia timu yetu.
 
Hivi msemaji wa timu ya Brazili ya River Plate, aonekana anatangaza biashara za Boca junior, unachinjwa siku hiyohiyo.
Kama angechinjwa msemaji wa Yanga, angethubutu kutangaza biashara za MO Dewji. Angeshazikwa.
 
Wapumbavu humu wengi..

Kocha wa Liverpool ana Mkataba na Adidas
Licha ya Liverpool kuwa na Mkataba na Nike

Kuna mipumbavu humu mingi haijui kazi kuongea utumbo
Haji anaweza jitofautisha kiasi hicho?

kibongobongo wangapi really respect mikataba kiasi hicho?..
 
Haji niwakupiga makofi na bora hajaenda kigoma tungepiga sana,, ngoja tumalize hili la kigoma ili tumsaidie kubeba mizingo vizuri kuelekea GSM sehem ambayo atakua huru sana kufanya mambo Yake sisi simba hatumtaki kabsa
Hakuna wakumtisha Haji
 
Sasa kama anapata hela zote hizo nje ya Simba analialia nini si aondoke..aende uko anakolipwa vizuri aendeleze mapambano
 
Hizi ni propaganda za kutaka kututoa wana jangwani mchezoni wanajifanya wanalumbana kumbe ni trik tu ya kutufanya tuwe overconfidence hiyo j2 halafu tupotee nasema kwa hili HAMTOBOI
 
Ndugu Simba au Yanga si baba sio mama yako linapokuja swala la pesa piga pesa kwani pilika za ujana ndizo zitakazochagua uzeeke kama Kikwete au Mzee Mpili..mwana FA,Ommy dimpoz wanafanya kazi na GSM na mashabiki wa kutupwa wa mnyama...Manara ni kweli anakera kushirikiana na GSM lkn bado itabaki kuwa MoneyIsOverEverything.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…