Hans Pope: Manara hataki kusaini mkataba ambao atalipwa milioni 4
Amnaaa haji manara

Amnaaaa haji manara so m2 mwnye makosa 7bu Simba anfnya kaz bila mkataba n kuus kuwa ambassador kW GSM n azam haifanyii manara atoe sir z simbaa....
Hakuna mwenye ushahidi, ila wanamshuku kwamba anauza Siri zaa club. Hivi wewe mtu anakulipa laki 7 na mwingine anampa million 4,. Huyu wa million 4 akiombwa Siri zaa club hawezi kumpa kweli? Then watu wanaunganisha na mienendo ya Haji na hao GSM then Wana conclude kuwa anaweza kuwa anawasaliti.
Lakini pia wewe unauhakika gani kama anasaliti au hasaliti club wakiwa kwenye mahusiano ya kimikataba na GSM?
Ili kulisolve Hilo haji achague upande mmoja.
 
Wapumbavu humu wengi..

Kocha wa Liverpool ana Mkataba na Adidas
Licha ya Liverpool kuwa na Mkataba na Nike

Kuna mipumbavu humu mingi haijui kazi kuongea utumbo
Muone huyu, punguza povu we babu, unajigeuza msemaji wa Manara sio?!
 
Mzee punguza povu, eleza huo mkataba wa jurgen klopp unavyompa mipaka. Ndiyo maana haji mwenyewe amegoma kusaini kandarasi ya milioni 4 kwa mwezi, kwa sababu kandarasi hiyo itampa mipaka. Ndiyo maana yupo hapo Simba na ameridhika na laki 7 lkn anapiga mpuga wa zaidi ya milioni 5 huko kwenye hizo kampuni zingine. Kumbuka haji anapata hizo kandarasi zingine kwa sababu yupo Simba, nje ya simba hawezi kupata! Na Simba hatuhitaji tena kuibeba hii takataka..haji alibaki Simba kwa sababu huruma, lkn siyo kwa umuhimu. Haji ni mlemavu wa ngozi, ukimchukulia hatua bila tahadhari, watu watasema ulemavu wake ndo sababu. Hilo ndo limefanya tubaki naye pamoja na makosa yake. Haji ana barua za kuonywa hata 16 zinafika. Lkn bado anajiona yy ni mkubwa kuliko hata Simba!
Huyo babu hajielewi ni mkurupakaji sana.
 
---- Mechi yetu na Yanga SC hii ya Juzi tu Wewe ndiyo uliuza Ramani ya Vita kwa Yanga SC na ukalipwa na GSM kwa Kuwatahadharisha Yanga SC wasipitie Mageti yale makubwa Mawili ambayo Simba SC tulikuwa tayari tumeshafanya Unyangindo (tumeroga mno) na wakapita Kwingineko

---- Najua unayopanga Kuyaongea hiyo Jumatatu ijayo ni yafuatayo.....

1. Uhusiano wa CEO na Mwekezaji

2. Suala la Mchezaji Jonas Mkude

3. Kuondoka kwa aliyekuwa CEO Simba SC Senzo Mazingiza

4. Sakata la Bernard Morrison

5. Hanspoppe na Usajili wa Wachezaji

6. Siri za Ushindi wa Simba SC ndani na nje ya Uwanja

7. Uwekezaji wa Mohammed 'Mo' Dewji ndani ya Klabu ya Simba.

Cc: billduke
Kwa ulichokiandika hapa, ni heri hata huyo Manara. We' ndiye unayeidharirisha Simba! Na hizo namba zako, ni kama unamuandaa atafute UONGO wa kuja kuumwaga hadharani, Ili tu, KUIFARAKANISHA SSC.
Wakati mwingine, uwe unauficha UPOPOMA wako!
 
Manara Hana heshima kwa viongozi wake umaarufu unamzuzua.

Pia kama.vipi aachane na hao Simba Kuna maisha nje ya Simba a stick with his mission sio organization.

Kama GSM wanampa pesa ndefu kuliko Simba achana na Simba maana mwisho wa siku Ni pesa .
 
Hata kama hana madhara technically, bado huo ni uhaini. Haipo ktk maadili ya kazi.
Upi ni uhaini?
Kwa hiyo Mzee Try again hawezi ku-clear mizigo ya GSM bandarini?
Wakawa Bussiness partners na GSM?
Mwisho wake nini? Wewe huwezi kununua Taifa Gas? Utafukuzwa tawini hapo Mburahati?
 
Ugomvi wa haji manara na barbara gonzalez ni wa wazungu sisi waafrika tukae pembeni tuwaachie wenyw..
 
Haji achague tu upande either Simba au GSM kwa mwendo huu mgogoro utaendelea..Ni rahisi kutoa Siri na mipango upande wapili ambako ndio wanakulipa vizuri... Barbara Yuko sahihi kabisa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mimi nimesoma hilo bandiko. Napenda kumpongeza muandishi kuwa anajua kuandika mno. Ila kuhusu manara kuihujumu simba hilo haliingii akilini kabisa ni uzushi tu wa mjini mjini ili kumuharibia.
 
Yale yale ya mtoto wako anaenda huko anaanza kutakana watoto wa jirani ukiletewa mashataka kimya, mara anaanza kutukana majirani watu wazima ukiletewa mashtaka kimya tena mnaona anasingiziwa badala ya kumkanya na kumlamba fimbo. Ghafla bin vuu mtoto kakomaa kwa matusi anaanza kuwatukana nyie wazazi wake ndio mnaanza kushtuka sasa. Huyo Manara kashawatukana waandishi wa habari wengi tu, watangazaji wa redio karibu zote Radio One, Clouds, EFM, Wasafi achilia mbali ugomvi kati yake na wakina Kitenge, Bumbuli, Nugaz na Shafii Dauda na kuwadhalilisha Tshishimbi na Prisca Kishamba na wengineo wengi tu lakini Simba haijawahi kutokana hadharani na kumkemea. Sasa safari hii Simba wanalo maana mtoto kawa nunda anaanza kuwatukana wenyewe tena hadharani.
 
Haji ni MSANII wa mjini kama wasanii wangine nani asiye mjua HAJI kakika utawala wa JK miaka 2008 huko siwalimpromote hadi kufika KATIBU WA CCM mkoa wa DAR ES SALAAM lkn matokeo yake watu siwanajua alivyo haribu .

Yule tapeli tu sema utapeli wake wakijinga ndio maana hata CCM hawampe cheo chochote sababu anavyo fanya USANII wake atumie akili sababu anacho jua ni wakati ule apate unacho kihitaji.
 
Back
Top Bottom