Hans Pope: Manara hataki kusaini mkataba ambao atalipwa milioni 4
Ukiwa shabiki wa Simba lazima ukubali kunyofolewa ubongo ubaki TABULALASA.
 
Kama ilivyo kawaida ya JF kuweka rekodi sawa. Tarehe 22.07.2021 Haji Manara amedai huku akilia kama mtoto mdogo huku akitokwa hadi mafua kuwa kati yake na Barbara basi Barbara ataondoka na kumuacha yeye Smba.

Manara kadai kuwe iwe isiwe lazima mwanadada Barbara aondoke Simba na lazima kumkomesha.

Huu uzi utakuwa kama kumbukumbu kuona nani atakuwa wa kwanza kuondoka Simba
 
kabla ya mudi kuja simba na bidhaa zake hajji alikuwa yupo tyr na azam kwenye matangazo
Kipindi hicho simba haikuwa na mdhamini mwenye bidhaa zinazofanana na azam, mo alipoanza kuidhamini Simba Mambo yalitakiwa kubadilika. Kwani haji anapotangaza bidhaa ambazo hazihusiani na mdhamini wa Simba ushawahi kusikia mtu akilalamika.
Pia mkataba alionao Sasa na azam kausaini wakati akiwa Simba.
 
Kwa hiyo kukiwa na ukaribu ndio atangaze biashara zao bila makubaliano,na pia aache kufanya kazi zenye maslahi kutoka kwa watu wengine?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni lazma kiukwel achague moja anapoona kuna maslai zaid lkn si kufanya kaz sehem zaid ya moja alaf ikizingatiwa izo sehem ni kama vile wapinzan kibiashara ata kimichezo kama anataka maslai zaid achague sehem moja au afanye kaz zaid ya moja ambazo haziingilian
 
Nilipoona haji anatangaza kwenye page yake kuhusu matamasha ya mitume wa kikristu wakati yeye ni muislamu nilishagundua kuwa hapo simba tumepigwa
 
Amnaaa haji manara
Kwa muda mrefu Haji amekuwa akijihusisha na GSM kama one of the brand ambassador na pia amekuwa brand ambassador wa wafadhili wa azam. Tatizo ni kwamba kuwa ambassador huko kwingine kunamnyima yeye nafasi ya kutangaza bidhaa za mtu ambaye amewekeza pesa nyingi pale Simba kwa sababu za kimikataba na hao wengine.

Sasa haiingii akilini, muajiriwa wasimba anashindwa kutangaza bidhaa za mdhamini wa Simba, ila anaenda kutangaza bidhaa za madhamini wa Yanga!

Hivi ishawahi kufikiria leo Hasan bumbuli awe na mkataba wa kibiashara na Mo dewji kutangaza bidhaa zake na mashabiki wa yanga wamuangalie tu?

Linapokuja swala la mshahara, Simba wanampa laki Saba huku hao wengine wanampa wakimpa zaidi ya million 5 Sasa unafikiri huyo anayempa million 5 akija kumuomba taarifa za huyu anayetoa laki 7 atakataa?? Ni halali viongozi wa Simba kuwa na mashaka na haji manara.
Amnaaaa haji manara so m2 mwnye makosa 7bu Simba anfnya kaz bila mkataba n kuus kuwa ambassador kW GSM n azam haifanyii manara atoe sir z simbaa....
 
Haji niwakupiga makofi na bora hajaenda kigoma tungepiga sana,, ngoja tumalize hili la kigoma ili tumsaidie kubeba mizingo vizuri kuelekea GSM sehem ambayo atakua huru sana kufanya mambo Yake sisi simba hatumtaki kabsa
 
haji ndio amesababisha mashabiki wanajaa viwanjani na kununua jezi za simba
Si kwel ,ukwel ni kwamba tokea mo ajiingize ktk simba ndio apo mafanikio ya jez na mengine yamekuja kiufup club ikifanya vzur ni lazma mashanik waongezeke mapato yaongezeka brand inakua na mafanikio meng yanakuja kwa sababu ya matokeo mazur uwanjan,ebu angalia mfano wa mbal kidogo timu kama man u ,ilipata mafanikio mpaka kufikia timu inayosadikika kuwa na mashabk weng kwan walikua na mtu anawaita watu uwanjan au kuongea mafanikio yao yalitokana na matokeo angalia leo man u ilipo ,na ata simba kama wataendelea kufanya vzur kuanzia usajil viongoz matokea yakawa mazur uwanjan bas ata kama wakiwa na msemaj gan watu wataenda uwanjan na jez zitanunulika ma mashabik watajaa uwanjan na ktk tv haji alionekana anafanya vzur ni kwa sababu timu ilimbeba ,kama unakumbuka mwanzo haji alipata shida sana na jerry muro ni kwa sababu yanga ilikua na manji muro alitamba sana baada ya apo mo nae kuanza kuisapot simba ndio haji na yeye akawa juu ni kwa sababu ya matokeo ya timu yake yeye angekua anaongea sana alaf timu haifany vzur nan angemuelewa ,ukitaka kuamin ilo angalia ata mech za simba na yanga ni weng wameshaanza kuamin kaur zake za kuizalau sana yanga ndio zinaleta ugum simba kushinda
 
Amnaaa haji manara

Amnaaaa haji manara so m2 mwnye makosa 7bu Simba anfnya kaz bila mkataba n kuus kuwa ambassador kW GSM n azam haifanyii manara atoe sir z simbaa....
Hakuna mwenye ushahidi, ila wanamshuku kwamba anauza Siri zaa club. Hivi wewe mtu anakulipa laki 7 na mwingine anampa million 4,. Huyu wa million 4 akiombwa Siri zaa club hawezi kumpa kweli? Then watu wanaunganisha na mienendo ya Haji na hao GSM then Wana conclude kuwa anaweza kuwa anawasaliti.
Lakini pia wewe unauhakika gani kama anasaliti au hasaliti club wakiwa kwenye mahusiano ya kimikataba na GSM?
Ili kulisolve Hilo haji achague upande mmoja.
 
hata mimi siwez kutangaza kitiu ambacho hakinipi maslahi mapana...kuwa simba haina maana kuwa nitangaze biddhaa za mudi

Ila mkuu kinachompa umaarufu manara ujue ni simba na yanga sasa leo mzee mpili ameongelea yanga imekamfanya leo ni mkubwa sana hadi anapata deal za matangazo za gsm bila hivyo asingepata hizo deal sasa kama manara anaona gsm ndo imemfanya awe mkubwa kuliko simba ajitadhimini akitoka atapotea kwenye game mana gsm imeangalia nafasi kimatangazo zaid kwa sasa akipoteza hiyo sifa watachukua mtu mwingine asijisaau kesi yake ni yakuongeleka wasi wasi ni kule jamaa ame panic sana akumbuke anadosali ya ugomvi na watoto wa kike sana jamaa asije akaaribu upande wake na wa simba pia mana manara natambua uwezo wake amefanya mazuri sana kwa simba lkn isimpe kiburi ye ni binadamu ajifunze watu ukosea angekaa chini na uongozi na kuongea nao yangekaa sawa kwa hoja ila kujirekodi na kupost kwa ya watu wengine ili aonekane barbara na kupost ni utoto sana anafanya mana amejirekodi mwenyewe na ye ndo ameruhusu clip zitembee
 
Back
Top Bottom