Hans Pope: Manara hataki kusaini mkataba ambao atalipwa milioni 4
Manara ana mchango mkubwa kwenye hamasa ...ila siku za karibuni simuelewi bora achague moja
 
  • Thanks
Reactions: mmh
acha wivu wa kikuda mkuu, hii simba sio yako wala ya babu yako, shabiki yoyote anaweza kuitumia kujitengenezea jina na hata kigonga madili wewe inakuuma nini kama sio chuki hizi
Mbona hawakupi LIKE hata hao akina Mo wanaitumia kupiga mahela sio wapenzi wakupoteza hela zao
 
Ushamtoa damu tayar maan sio kwa hizi kunguni ulizosaga
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Alichonikera ni kwenda kwenye mitandao ya kijamii yakati sisi mashabiki wala hatujui kama kuna ugomvi kati yake na bosi zake. Kwa ukweli hakukua na haja angemalizana huko huko tu. Nadhani timu ya simba inawafundisha ethics wachezaji tu bila ya kuwafundisha na hawa watendaje. Alichokifanya sio sahihi wala hakifuati misingi ya kisheria za kazi kwakweli. Sio mtu mzuri wa kufanya nae kazi au biashara ya aina yoyote kwakweli. Nna wasi wasi hata kuna siku atagombana na mkewe halafu aje huku mitandaoni kulalamika. Hata akiomba msamaha atafutiwe kazi nyengine ndogo ndogo afanye, zisizohusu moja kwa moja masuala ya uomgozi, amefeli sana
unauliza mara mbili uliza kule magomeni uswahilini yule mkewe wa kwanza alivyikuwa anadundwa kama kitenesi no wonder yule dada alimkimbia jamaa
 
Kwani zile shutuma za kigogo manara amezijibu?
 
Hii timu walituambia inaendeshwa kisasa, kumbe bado wanategemea uchawi ili washinde. Haji anapaswa kupongezwa kwa jitihada zake za "kutoambatana" na mambo ya uchawi wa Simba.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Hapa washapata cha kujitetea,wakifungwa zigo lote anabebeshwa Manara. Halafu nashangaa Mwamedi anatumia hela nyingi za usajili huku pia akitoa mamilioni ya kurogea,kuhonga marefa na timu pinzani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumia japo chembe ya akili,Manara kaajiriwa na Simba au na Mwamedi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nawewe tumia akili ya kuzaliwa pia, haji kaajiriwa na Simba siyo mo dewji ila kampuni ya mo dewji ni wadhamini wa Simba na ipo kwenye jezi yetu pia. Kampuni hiyo ya mo dewji inafanya biashara ya bidhaa zinazofanana na za azam so anapozitangaza za azam it means anapingana na mdhamini wetu. Pia kutokana na makubaliano yake na hizo kampuni zingine hawezi kutangaza bidhaa za mdhamini wetu Mo extra kwenye page yake.

Pia kutokana na kuwa na makubaliano ya kimikataba na GSM, amekukuwa akitangaza biashara ya jezi za yanga. Is he still rolay to Simba?
 
Nawewe tumia akili ya kuzaliwa pia, haji kaajiriwa na Simba siyo mo dewji ila kampuni ya mo dewji ni wadhamini wa Simba na ipo kwenye jezi yetu pia. Kampuni hiyo ya mo dewji inafanya biashara ya bidhaa zinazofanana na za azam so anapozitangaza za azam it means anapingana na mdhamini wetu. Pia kutokana na makubaliano yake na hizo kampuni zingine hawezi kutangaza bidhaa za mdhamini wetu Mo extra kwenye page yake.

Pia kutokana na kuwa na makubaliano ya kimikataba na GSM, amekukuwa akitangaza biashara ya jezi za yanga. Is he still rolay to Simba?
Kuna makubaliano kuwa Manara atangaze bidhaa za Mwamedi kisa tuu ni mdhamini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hanspope aache unafiki milioni4 pesa gani walau milioni8 tuwe wakweli Simba ya Manara ni Simba tofauti sana, thamini kazi ya Manara, mnaona wivu thamani anayopata huko nje ndio mnajenga hisia za kiutopolo. Manara hata Yanga itamfaa tu maana kaishi ndani ya Yanga maish yake yote.
 
Back
Top Bottom