Amnaaa haji manara

Amnaaaa haji manara so m2 mwnye makosa 7bu Simba anfnya kaz bila mkataba n kuus kuwa ambassador kW GSM n azam haifanyii manara atoe sir z simbaa....
Hakuna mwenye ushahidi, ila wanamshuku kwamba anauza Siri zaa club. Hivi wewe mtu anakulipa laki 7 na mwingine anampa million 4,. Huyu wa million 4 akiombwa Siri zaa club hawezi kumpa kweli? Then watu wanaunganisha na mienendo ya Haji na hao GSM then Wana conclude kuwa anaweza kuwa anawasaliti.
Lakini pia wewe unauhakika gani kama anasaliti au hasaliti club wakiwa kwenye mahusiano ya kimikataba na GSM?
Ili kulisolve Hilo haji achague upande mmoja.
 
Wapumbavu humu wengi..

Kocha wa Liverpool ana Mkataba na Adidas
Licha ya Liverpool kuwa na Mkataba na Nike

Kuna mipumbavu humu mingi haijui kazi kuongea utumbo
Muone huyu, punguza povu we babu, unajigeuza msemaji wa Manara sio?!
 
Huyo babu hajielewi ni mkurupakaji sana.
 
Kwa ulichokiandika hapa, ni heri hata huyo Manara. We' ndiye unayeidharirisha Simba! Na hizo namba zako, ni kama unamuandaa atafute UONGO wa kuja kuumwaga hadharani, Ili tu, KUIFARAKANISHA SSC.
Wakati mwingine, uwe unauficha UPOPOMA wako!
 
Manara Hana heshima kwa viongozi wake umaarufu unamzuzua.

Pia kama.vipi aachane na hao Simba Kuna maisha nje ya Simba a stick with his mission sio organization.

Kama GSM wanampa pesa ndefu kuliko Simba achana na Simba maana mwisho wa siku Ni pesa .
 
Hata kama hana madhara technically, bado huo ni uhaini. Haipo ktk maadili ya kazi.
Upi ni uhaini?
Kwa hiyo Mzee Try again hawezi ku-clear mizigo ya GSM bandarini?
Wakawa Bussiness partners na GSM?
Mwisho wake nini? Wewe huwezi kununua Taifa Gas? Utafukuzwa tawini hapo Mburahati?
 
Ugomvi wa haji manara na barbara gonzalez ni wa wazungu sisi waafrika tukae pembeni tuwaachie wenyw..
 
Haji achague tu upande either Simba au GSM kwa mwendo huu mgogoro utaendelea..Ni rahisi kutoa Siri na mipango upande wapili ambako ndio wanakulipa vizuri... Barbara Yuko sahihi kabisa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mimi nimesoma hilo bandiko. Napenda kumpongeza muandishi kuwa anajua kuandika mno. Ila kuhusu manara kuihujumu simba hilo haliingii akilini kabisa ni uzushi tu wa mjini mjini ili kumuharibia.
 
Yale yale ya mtoto wako anaenda huko anaanza kutakana watoto wa jirani ukiletewa mashataka kimya, mara anaanza kutukana majirani watu wazima ukiletewa mashtaka kimya tena mnaona anasingiziwa badala ya kumkanya na kumlamba fimbo. Ghafla bin vuu mtoto kakomaa kwa matusi anaanza kuwatukana nyie wazazi wake ndio mnaanza kushtuka sasa. Huyo Manara kashawatukana waandishi wa habari wengi tu, watangazaji wa redio karibu zote Radio One, Clouds, EFM, Wasafi achilia mbali ugomvi kati yake na wakina Kitenge, Bumbuli, Nugaz na Shafii Dauda na kuwadhalilisha Tshishimbi na Prisca Kishamba na wengineo wengi tu lakini Simba haijawahi kutokana hadharani na kumkemea. Sasa safari hii Simba wanalo maana mtoto kawa nunda anaanza kuwatukana wenyewe tena hadharani.
 
Haji ni MSANII wa mjini kama wasanii wangine nani asiye mjua HAJI kakika utawala wa JK miaka 2008 huko siwalimpromote hadi kufika KATIBU WA CCM mkoa wa DAR ES SALAAM lkn matokeo yake watu siwanajua alivyo haribu .

Yule tapeli tu sema utapeli wake wakijinga ndio maana hata CCM hawampe cheo chochote sababu anavyo fanya USANII wake atumie akili sababu anacho jua ni wakati ule apate unacho kihitaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…