Hans Pope: Manara hataki kusaini mkataba ambao atalipwa milioni 4
Kwa muda mrefu Haji amekuwa akijihusisha na GSM kama one of the brand ambassador na pia amekuwa brand ambassador wa wafadhili wa azam. Tatizo ni kwamba kuwa ambassador huko kwingine kunamnyima yeye nafasi ya kutangaza bidhaa za mtu ambaye amewekeza pesa nyingi pale Simba kwa sababu za kimikataba na hao wengine.

Sasa haiingii akilini, muajiriwa wasimba anashindwa kutangaza bidhaa za mdhamini wa Simba, ila anaenda kutangaza bidhaa za madhamini wa Yanga!

Hivi ishawahi kufikiria leo Hasan bumbuli awe na mkataba wa kibiashara na Mo dewji kutangaza bidhaa zake na mashabiki wa yanga wamuangalie tu?

Linapokuja swala la mshahara, Simba wanampa laki Saba huku hao wengine wanampa wakimpa zaidi ya million 5 Sasa unafikiri huyo anayempa million 5 akija kumuomba taarifa za huyu anayetoa laki 7 atakataa?? Ni halali viongozi wa Simba kuwa na mashaka na haji manara.
Ni kweli,kuna dosari kubwa kwenye utendaji au nkataba wa manara na simba

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Yote uliyoongea ni sawa na solution ni yeye kutoka Simba kwenda kuenjoy hio freedom ya kufanya kazi bila kuingiliana na maslahi ya Simba.

But the question is Haji Manara relevant kwa hayo mashirika without Simba?

Haji anaihitaji Simba kuliko Simba inavyomuhitaji hata hao GSM, Azam, Asas na wengineo wamewekeza kwa Haji sababu ya uwepo wa Simba fans behind Haji Manara Brand. Imagine leo Haji atoke Simba ile audience yake haitakua entertained na Haji tena.
Bado manara hata km atatoka simba.
Bado ataendelea kupata mikataba mingne mikubwa.Kwa sabab manara kaz yake ya afisa mahusiano anaiweza sana.
Hata yanga tulivyokuwa na msemaj jerry muro hauwez kufananisha uhamasishaj wake kuwa upo sawa na msemaj wet wa sasa.
Tegemea kumuona manara akizid kuwa juu.
 
Ila akiondoka Simba mjiandae kuoga shombo lake. Huyu jamaa kwa shombo hafai.
Hilo shombo nadhani limewashtua hata hao swahiba wake wa gsm! Kwa tabia hiyo hawawezi kumwamini kabisa!! Watu wazima wanajua kuwa nyoka ni nyoka tu, kazi yake ni kuuma! Kama leo kamuuma adui yako kuna siku ukiwa kwenye 18 zake atakuuma tu!! Hakuna atakayempa nafasi kwa axilimia 100!!
 
Manara masikini amesahau alikotoka na kujiona yeye ni kila kitu Simba kwa sasa, hafai kuwa muajiriwa popote pale hana ethics kabisa. Ila mwandishi umemchapa hasa. Big up.
 
Mpira wa bongo kweli kituko, kwahiyo mnataka kuniambia simba bila Manara itatetereka? Nchi haishi vituko hii no wander soka letu haliendelei mbele
Yaani wamesahau huko walikotoka. Manara kaanza lini kuibwabwajia simba jamani?. Si juzi tu hapo?. Lakini je kabla ya manara simba ilikuweje?.

Wanaompa kichwa manara ni hao watoto wa juzi wasiojua mpira umeanzia wapi
 
Manara Hana heshima kwa viongozi wake umaarufu unamzuzua.

Pia kama.vipi aachane na hao Simba Kuna maisha nje ya Simba a stick with his mission sio organization.

Kama GSM wanampa pesa ndefu kuliko Simba achana na Simba maana mwisho wa siku Ni pesa .
Na GSM wanampa pesa ndefu sababu yupo Simba,kwa nn wasingempa Tobias kifaru?
 
Yaani wamesahau huko walikotoka. Manara kaanza lini kuibwabwajia simba jamani?. Si juzi tu hapo?. Lakini je kabla ya manara simba ilikuweje?.

Wanaompa kichwa manara ni hao watoto wa juzi wasiojua mpira umeanzia wapi
Halafu hawashangaI kwanini hayo makampuni yanampa endorsement baada ya kuanza kufanya kazi simba hawakumpa enzi zile anagombea udiwqni CCM au alipokua mishen town Kariakoo?

Aondoke Simba halafu aone
 
Unajua kuwa mbumbumbu ni kitu kibaya sana.Haji ameajiriwa kuwa msemaj wa klab ya simba.Na kwa kaz hyo ya usemaj wa simba hakuna anaeweza kumlaum manara hata kdogo.Anaifanyakaz hyo kwa moyo wake wote na kwa mapenz yake yote.
Hili suala la ubaloz wa makampun mengne wao simba hauwahusu.Cha muhim waangalie je?Haji anatimiza majukum yake ipasavyo?
Mhind hapa anaumia na instagram ya manara tu anaona anapga hela.
KIKUBWA MANARA AONGEZEWE MSHAHARA ANAFANYAKAZ NGUM NA YA HATARI KWA USALAMA WAKE.
 
Mkataba huo wa milioni 4 ungempunguzia sana mapato Manara na kumfunga.

Manara alitaka kupewa mkataba wa kizamani na hovyo kabisa, yani hata account ya instagram ya manara ingekuwa chini ya kina Mo, kwa umaarufu wa Manara na watu wanavyomfatilia wangeigeuza account kuwa sehemu ya kujitangazia bure matangazo yao wakati mmiliki ni manara,

Mkataba pia ungemfunga manara kutoweza kusaini dili lolote nje ya usemaji wa club simba, yani awe i msemaji tu, pidi ikitokea dili basi wazee wa mgao inabidi wale jasho lake

Huu mkataba ni wa kizamani sana na umekaa kufungiana ridhiki tu, kwa wenzetu huko nje mtu anaweza kufanya kazi kampuni ya NIKE wakati mdhamini wa jezi ya timu anayofanyia kazi ni ADIDAS ambao ni wahasimu wakubwa wa Nike na wala hakuna migongano, hii yote ni kumfungulia mtu fursa za kimaendeleo na kiuchumi.

Tatzo wivu tu a roho za kwanini haji apate mafanikio nje ya kuisemea simba? Angalia mfano tu mdogo haji manara ana nyumba yake,magari yake, na mali nyingine, hii ni kutokana na mikataba minono kutoka kwa asas, gsm na azam ambao pasi na shaka wanampa pesa za kutosha manara, pengine hata ile faini ya milioni 5 aliyoambiwa aende kuilipa tff alipewa na hayo makkampuni mengine ili atunze brand yake, mfano mwengine angalia siku ya harusi ya haji wale GSM walifanya kufuru kumtunza haji.

Manara kauppiga mwingi hapa, kakataa kubanwa kweye mtego wa kuifanyia kazi simba pekee kitu ambacho kingembana awe anatangaza bidhaa za MO pekee ama ndugu zake, Manara ana familia na inamtegemea kuna kipindi atatoka simba ila maisha yake mke wake na wanae bado watabaki kumtegemea, kwahio ni haki yake kutafuta deals nje ya simba ili kuongeza kipato na kuweza kusimama hata pakle akiacha kuitegemea simba, so hongera kwake manara.

HITIMISHO: Simba wakae upya, utauzi wa hili jambo sio kumfukuza manara bali wanaweza kurekebisha kasoro za mkataba
Uliuona mkataba wa Simba na Manara ?
 
Ila mnamlaumu manara wakti anasema waliofujisha clipu Ni bvrbrbd
 
Ndio aache Simba aende huko wanakompa masilahi makubwa Simba existed since 1935 without him aisee, acheni kumpa huyo bichwa aisee, Tena kipindi team Ina mechi ngumu analeta shombo zake na kujiona mkubwa, Simba imemvumilia naomba imtoe kabisa ahamie huko GSM mfyuuu kweli huyu.
Simba was born 1936, Utopolo mdebwedo 1935.
 
Nishafanya yangu kweny page ya manara insta
Screenshot_20210724-004705.jpg
Screenshot_20210724-005314.jpg
Screenshot_20210724-004026.jpg
 
Huwez mlipa manara 4m halaf umzuie asifanye kaz na kampun zingne...manara ni brand sasa hiv..ukitaka umnunue manara kwa style hyo labda uumpe 10m monthly or more...

Manara anaijua thaman yake
Kama ni brand mwambie atoke Simba uone...
 
Back
Top Bottom