Hans Pope: Manara hataki kusaini mkataba ambao atalipwa milioni 4
Makampuni yaliyompa endorsement Manara yapo kwake kwasabau ya Simba na si vinginevyo, wanajua hawawezi kuwa mbele ila wanatumia mgongo wa Manara kufanya biashara na audiance ya Simba. Na Manara nje ya Simba hakuna matangazo atapata.
 
Mkataba huo wa milioni 4 ungempunguzia sana mapato Manara na kumfunga.

Manara alitaka kupewa mkataba wa kizamani na hovyo kabisa, yani hata account ya instagram ya manara ingekuwa chini ya kina Mo, kwa umaarufu wa Manara na watu wanavyomfatilia wangeigeuza account kuwa sehemu ya kujitangazia bure matangazo yao wakati mmiliki ni manara,

Mkataba pia ungemfunga manara kutoweza kusaini dili lolote nje ya usemaji wa club simba, yani awe i msemaji tu, pidi ikitokea dili basi wazee wa mgao inabidi wale jasho lake

Huu mkataba ni wa kizamani sana na umekaa kufungiana ridhiki tu, kwa wenzetu huko nje mtu anaweza kufanya kazi kampuni ya NIKE wakati mdhamini wa jezi ya timu anayofanyia kazi ni ADIDAS ambao ni wahasimu wakubwa wa Nike na wala hakuna migongano, hii yote ni kumfungulia mtu fursa za kimaendeleo na kiuchumi.

Tatzo wivu tu a roho za kwanini haji apate mafanikio nje ya kuisemea simba? Angalia mfano tu mdogo haji manara ana nyumba yake,magari yake, na mali nyingine, hii ni kutokana na mikataba minono kutoka kwa asas, gsm na azam ambao pasi na shaka wanampa pesa za kutosha manara, pengine hata ile faini ya milioni 5 aliyoambiwa aende kuilipa tff alipewa na hayo makkampuni mengine ili atunze brand yake, mfano mwengine angalia siku ya harusi ya haji wale GSM walifanya kufuru kumtunza haji.

Manara kauppiga mwingi hapa, kakataa kubanwa kweye mtego wa kuifanyia kazi simba pekee kitu ambacho kingembana awe anatangaza bidhaa za MO pekee ama ndugu zake, Manara ana familia na inamtegemea kuna kipindi atatoka simba ila maisha yake mke wake na wanae bado watabaki kumtegemea, kwahio ni haki yake kutafuta deals nje ya simba ili kuongeza kipato na kuweza kusimama hata pakle akiacha kuitegemea simba, so hongera kwake manara.

HITIMISHO: Simba wakae upya, utauzi wa hili jambo sio kumfukuza manara bali wanaweza kurekebisha kasoro za mkataba
Hawa Wekundu wako kama mk*n#u, wamejaa wivu, uswahili, roho mbaya na kutakiana mabaya, Manara yuko sawa kabisa, ila kakutana na mazezeta hapo..
 
Bado manara hata km atatoka simba.
Bado ataendelea kupata mikataba mingne mikubwa.Kwa sabab manara kaz yake ya afisa mahusiano anaiweza sana.
Hata yanga tulivyokuwa na msemaj jerry muro hauwez kufananisha uhamasishaj wake kuwa upo sawa na msemaj wet wa sasa.
Tegemea kumuona manara akizid kuwa juu.
Simba na yanga zilipofika sasa wala hazihitaji kelele za wasemaji ili zipate tension.Hizo club sio level za kua na wasemaji wabwatukaji ovyo bali zinachokiitaji kwa sasa ni pesa pesa pesa.Hizo kelele za wasemaji zinaweza zikafanywa na tangazo moja tu kwenye media na nchi nzima ikajua.Manara akitoka simba haizidi miezi 3 hutamsikia tena kama ambavyo yuko simba ila anasikikaga kabla ya mechi kwa tambo za hapa na pale za pira biriani na baada ya mechi simba ikiwa imeshinda ila ikifungwa nayeye ananywea.Uwezo wa simba uwanjani ndio unaomfanya manara aonekane mtu mkubwa tofauti na hapo hakuna kitu.Kwahiyo tuache kumkuza bila uhalisia.
 
Mkataba huo wa milioni 4 ungempunguzia sana mapato Manara na kumfunga.

Manara alitaka kupewa mkataba wa kizamani na hovyo kabisa, yani hata account ya instagram ya manara ingekuwa chini ya kina Mo, kwa umaarufu wa Manara na watu wanavyomfatilia wangeigeuza account kuwa sehemu ya kujitangazia bure matangazo yao wakati mmiliki ni manara,

Mkataba pia ungemfunga manara kutoweza kusaini dili lolote nje ya usemaji wa club simba, yani awe i msemaji tu, pidi ikitokea dili basi wazee wa mgao inabidi wale jasho lake

Huu mkataba ni wa kizamani sana na umekaa kufungiana ridhiki tu, kwa wenzetu huko nje mtu anaweza kufanya kazi kampuni ya NIKE wakati mdhamini wa jezi ya timu anayofanyia kazi ni ADIDAS ambao ni wahasimu wakubwa wa Nike na wala hakuna migongano, hii yote ni kumfungulia mtu fursa za kimaendeleo na kiuchumi.

Tatzo wivu tu a roho za kwanini haji apate mafanikio nje ya kuisemea simba? Angalia mfano tu mdogo haji manara ana nyumba yake,magari yake, na mali nyingine, hii ni kutokana na mikataba minono kutoka kwa asas, gsm na azam ambao pasi na shaka wanampa pesa za kutosha manara, pengine hata ile faini ya milioni 5 aliyoambiwa aende kuilipa tff alipewa na hayo makkampuni mengine ili atunze brand yake, mfano mwengine angalia siku ya harusi ya haji wale GSM walifanya kufuru kumtunza haji.

Manara kauppiga mwingi hapa, kakataa kubanwa kweye mtego wa kuifanyia kazi simba pekee kitu ambacho kingembana awe anatangaza bidhaa za MO pekee ama ndugu zake, Manara ana familia na inamtegemea kuna kipindi atatoka simba ila maisha yake mke wake na wanae bado watabaki kumtegemea, kwahio ni haki yake kutafuta deals nje ya simba ili kuongeza kipato na kuweza kusimama hata pakle akiacha kuitegemea simba, so hongera kwake manara.

HITIMISHO: Simba wakae upya, utauzi wa hili jambo sio kumfukuza manara bali wanaweza kurekebisha kasoro za mkataba
Manara bila simba hana umaarufu wowote zaidi ya jamaa fulani tu, aondoke simba aone nani ni maarufu. Simba imbeba vya kutosha ila habebeki kwa sasa anajiita LIDUDE fulani...
 
Haji ni mwajiriwa wa Simba so ni lazima atangaze bidhaa za wadhamini wetu kama mo extra, sportpesa na wengine hata kama Hana mkataba. Nenda kwenye page ya bumbuli ukaone anavyopost bidhaa za GSM ingawa Hana mkataba nao lakini ndiyo wadhamini wa club.
Huo ulazima unautoa wapi? Hata wachezaji wanatangaza hao sponsors wa club kupitia jezi zao tu full stop...page yake ni yake binafsi.
 
Tusijidanganye Haji anaweza kwenda azam na akaipaisha vilevile. Ni msemaji mwenye kipaji chake.



ni kweli ana kipaji cha kuwa mshereheshaji .. ila unasahau wapenz wa mpira hawamfat mtu... akienda Azam haiwez paa kwasababu haji ataipamba bali Azam itapaa ikianza kupata mafanikio uwanjani..

vinginevyo hata azikiri utupu haiwez kujaza uwanja kisa manara kaipamba . kuna wachezaj vipenz wa watu wameondoka team zao na bado team zipo na fanbase yake ile ile... Madrid na Man utd zishaondokewa na wachezaji vipenz vya watu.. but either hao wachezaj they are history now ama bado wapo lakin hawajaathir fanbase ya team

hao washabiki wa simba ambao pia ni fans wa manara walianza kuwa mashabiki wa simba kabla ya kuwa mashabiki wa manara
 
Kupanga ni kuchagua,angeacha kazi bila kelele akajiheshimisha hata huko kwingine. Hiki anachokifanya kinamvunjia heshima hata huko Azam na GSM
Kweli kabisa uropokaji kwenye sakata hili ndio unaweza kumponza. Ulimi ni kiungo kidogo sana, lakini ukiteleza kidogo tu kwenye kauli unaweza kuzua balaa kubwa sana.
 
Hanspope aache unafiki milioni4 pesa gani walau milioni8 tuwe wakweli Simba ya Manara ni Simba tofauti sana, thamini kazi ya Manara, mnaona wivu thamani anayopata huko nje ndio mnajenga hisia za kiutopolo. Manara hata Yanga itamfaa tu maana kaishi ndani ya Yanga maish yake yote.
Unasema milioni nane as if wewe ndiye unayelipa mishahara.

Hapo utopolo kuna mchezaji walau anayelipwa millioni moja tu ?
 
Huwez mlipa manara 4m halaf umzuie asifanye kaz na kampun zingne...manara ni brand sasa hiv..ukitaka umnunue manara kwa style hyo labda uumpe 10m monthly or more...

Manara anaijua thaman yake
Basi ngoja atoke Simba aendeleze brand yake
 
Back
Top Bottom