Naughty by nature
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 2,123
- 2,359
Doto jems Paymaster jeneroHata wale wanaosoma aliwatafutia kazi? Tumia basi akili yako japo kidogo.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Doto jems Paymaster jeneroHata wale wanaosoma aliwatafutia kazi? Tumia basi akili yako japo kidogo.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
KufaKura tumpe Samia, abdul ndio awe mwakiliahi wake, hii hapana aisee
Dotto James ni mtoto wa rafiki wa baba yake Magufuli wala si mtoto wa dada yake MagufuliUbishi wa kiha mi siuwezi
Sihitaji watoto wangu kuwa front ili wapige hela.
Naweza kumuweka mtu akaiba kwa niaba yao.
Aah apo sawa integemeana na aina ya mzaz ulienaeKuwajua siyo hoja sana mkuu, hoja ni wapi na lini walihudhuria hafla na ama kuwa wawakilishi wa Watanzania huko nje ya nchi
Hiii wewe mzee em sema TaratibuDotto James ni mtoto wa rafiki wa baba yake Magufuli wala si mtoto wa dada yake Magufuli
Waenda muuliza naniNgoja nikamuulize
Tuwaangalie Marais wote kuanzia Nyerere hadi huyu wa Sasa. Kuna la kujifunza. Tena JK yeye ndiyo kabisaa, Mwinyi kule Zanzibar, Wabunge wa majimbo kadhaa ni familia yake. Unaweza kusema kuwa Rais hakuzuhii mwanafamilia kugombea nafasi nyingine ya uongozi, lakini kwann hawakufanya hivyo kabla?Sasa si bora Magufuli Kuna watu watu wengine wanaamini The late Mkapa hana watoto kabisa.
Ungeeleza kidogo basi kuwa iliwezekanaje Le..Well said 👏🏾
Alikwenda kufanya kazi ya watanzania, afe kipa afe beki. Hawa wengine wanalazimisha watoto wao waimiliki Tanzania kama mali yao binafsi. Sio rahisiJiwe hakwenda ikulu kuuza sura
Waswahili wanapenda sana kujidanganya nafsi 😂 😂 😂 😂 😂 😂 . Mtuache na Kariakoo yetuShujaa Magufuli hakuwa mswahili
Watoto wa magu Wana umri gani!?..niliwaona siku za mwanzo ikulu,walikua wadogo,yaani wa o level,ukiacha huyo wa udomNampenda sana marehemu ila Kwa Hilo,hata Mimi nisingeweza niwe raisi wanangu wasienjoy ikulu watasimulia Nini baada ya miaka 10,weee😁
Abdul ana kampuni yake ya solar,hakwenda Uganda akiwakilisha nchi,alienda kwa niaba ya kampuni yake na akafanikisha kupata tenda ya kufua umeme,diplomasia ya uchumiAlikwenda kufanya kazi ya watanzania, afe kipa afe beki. Hawa wengine wanalazimisha watoto wao waimiliki Tanzania kama mali yao binafsi. Sio rahisi