Hezbollah yajeruhi zaidi ya wanajeshi 40 kwenye mesi nchini Israel wakati wanakula

Hezbollah yajeruhi zaidi ya wanajeshi 40 kwenye mesi nchini Israel wakati wanakula

Ulianza vizuri
Ingawaje siungi mkono vita hii ila umeandika kishabiki unadhani watu wote humu ni wajinga au hawafuatilii hii vita. Myahudi wala haui rai kwa makusudi na ndio maana kabla ya uvamizi waziri mkuu hua anatoa tangazo raia wahame waachane na hao wanamgambo sababu wamejenga kabi zao kwenye makazi ya raia wakiwatumia kama human shield sasa raia atakayegoma kujitenga na hao watu wewe unategemea asikumbwe na dhahama? Unaposema hawashambulii raia hao waliouwawa October 7 wakiwemo watanzania hawakuwa raia? Wao ikiwa wanawatumia raia kama ngao zao hili waendelee kuexist unategemea Israel watafanyaje ili kuwamaliza? Na Netanyahu kesha apa kuwa vita haitaisha hadi ahakikishe kawatokomeza au kawapunguza nguvu. Ukae ukijua vita haina dini ila kuna watu wanatumia dini kama ngao.
 
Ingawaje siungi mkono vita hii ila umeandika kishabiki unadhani watu wote humu ni wajinga au hawafuatilii hii vita. Myahudi wala haui rai kwa makusudi na ndio maana kabla ya uvamizi waziri mkuu hua anatoa tangazo raia wahame waachane na hao wanamgambo sababu wamejenga kabi zao kwenye makazi ya raia wakiwatumia kama human shield sasa raia atakayegoma kujitenga na hao watu wewe unategemea asikumbwe na dhahama? Unaposema hawashambulii raia hao waliouwawa October 7 wakiwemo watanzania hawakuwa raia? Wao ikiwa wanawatumia raia kama ngao zao hili waendelee kuexist unategemea Israel watafanyaje ili kuwamaliza? Na Netanyahu kesha apa kuwa vita haitaisha hadi ahakikishe kawatokomeza au kawapunguza nguvu. Ukae ukijua vita haina dini ila kuna watu wanatumia dini kama ngao.

Hata hawa hapo hawalengi kwa makusudi:

IMG_20241014_100834.jpg


Ila ni kupagawa tu.
 
Naona umeanzisha Uzi halafu ukapaste muda huo huo comment uliyoiandaa hongera .
Kabisa hapa Pana mchezo wa multiple 🆔

Uzi umepostiwa lakini ndani ya 1 minute ameshasoma ameshajua nini aandike na aandike kwa ukubwa gani maana hilo gazeti kama mimi ningetumia siyo chini ya dk 10 yeye kafanya yote kusoma na kuandika chini ya dk mbili.
 
Kitu kimoja ambacho hawakijui pro-Israel wa kiafrica,wanadhani hii vita inapigwana kati ya ukristo na uislam😀😃😄😆😅😅,MAJINGA NA MAPUMBAVU
Hii vita inapigwana kati ya east and west--------thus why Lebanon hawawezi shambulia raia hata iweje,why?,ingawa Wana huo uwezo------sababu kuna ndugu zao kule,Israel ina waislamu wengi mara 9 ya wakristo,............kwa nini Russia hawezi shambulia raia hata iweje,pale Ukraine,sababu Ukraine ni nchi imejitenga from Russia,Wana ndugu zao kule?
Ilichukua miaka 20,average kila mwezi Taliban waliua wanajeshi 10 wa U.S,.........iliwafanya vilema wanajeshi takriban 100 kila mwezi kwa miaka 20......gharama za vita sio mchezo,2010 Taliban iliua 14 SEAL TEAM at once,katika shambulio moja,inachukua $2 kutrain one SEAL SOLDIER,hapo unazungumzia Billion dollars of American Tax payerszinatembea fro no reasons,baada ya vita kuisha umeona Taliban imeenda shambulia nje ya Afghanistan?,kusambaza hio dini?😄😁,hakuna vita ya dini,Kuna vita ya rasilimali/ardhi.....watu wameona KAMIKAZE drones zinavoharibu vifaru kule Ukraine?,
----si tunaaminishwa waislamu mambumbumbu hawasomi?---iweje Iran irushe missiles thousands kilometers zihit target ndani ya Israel?,iweje Iran iisaidie Russia na shahed drones, ambapo 60% ya population yake ni orthodox Christians?😀😃,
---------Iweje Jana Hezbollah irushe drones,200Km ndani ya Israel hakuna technology iliyodetect hadi kuua wanajeshi ndani ya Kambi Yao?
Hii ni vita between U.S influences against non-U.S/non capitalists,ndio maana umeona U.S anaisaidia Israel the same as Ukraine,..kwa mwaka U.S anatoa $6 Billion kuiadia Israel kwenye military pekee,hapo unazungumzia trillion 15 Tsh,hio hela hasta wangepewa JWT,wangeacha kuvunjua matofali😀😁....,sasa lipambavu Limoja limetoka kuliwa sadaka na Nabii wake feki ,linakuja kusema mungu wa Israel ndio anafanya watu washinde vita😃
Kazi ya kutukana watu ni hulka ya uislam.
 
True hakuna vita ya dini hapo, kwanza Mungu wa watu wa hizo dini zote anachukia kuua/kuuana .

Cha ajabu sasa wanadini wakiafrika Wanaiombea Israeli 24/7 kwa kufunga na kulia kwa Mungu huyohuyo anaechukia Vita, kuuana na kisasi.

Anaesema hii vita ni ya dini alete Facts ni wapi kwenye vitabu vyao Mungu ameruhusu vita na kuuana .
Msukumo wa bandiko lako ni dini unayoiamini
 
True hakuna vita ya dini hapo, kwanza Mungu wa watu wa hizo dini zote anachukia kuua/kuuana .

Cha ajabu sasa wanadini wakiafrika Wanaiombea Israeli 24/7 kwa kufunga na kulia kwa Mungu huyohuyo anaechukia Vita, kuuana na kisasi.

Anaesema hii vita ni ya dini alete Facts ni wapi kwenye vitabu vyao Mungu ameruhusu vita na kuuana .

Wabeba bendera za taifa teule madhabahuni watapinga.
 
Uvumi kuhusu kifo cha Mkuu wa Majeshi wa IDF, Herzi Halevi, umeenea kwenye mitandao ya kijamii baada ya shambulio la drone la Hezbollah karibu na Binyamina siku ya Jumapili, ambalo lilisababisha majeruhi zaidi ya 60.

Ripoti hizo zilisambazwa kwa haraka, huku akaunti zenye wafuasi wengi zikidai kifo chake. Daktari Anastasia Maria Lopes, mwenye wafuasi zaidi ya milioni moja, alithibitisha kifo hicho, akionyesha picha ya Halevi, wakati mkommentari kutoka Mrekani, Jackson Hinkle, alidai kwamba mauaji hayo yalifanywa kwa drones za kisasa.

Aidha, akaunti ya SilencedSirs ilichapisha picha yenye alama ya X nyekundu juu ya uso wa Halevi, ikionyesha kwamba ameuawa.

Mtafiti na mwanahabari Suleiman Ahmed pia alizungumza kuhusu kifo cha Halevi ambapo alitaja ripoti zisizothibitishwa. Hali hii imeongeza mkanganyiko na wasiwasi kuhusu hali ya usalama nchini Israeli.

Source: Yemen Shabab

My take: Hadi sasa hakuna taarifa kamli lakini baadae ya kufanya tafiti katika vyanzo vyangu vya kuaminika hapo tel aviv ni takribani asilimia 90 kamanda hatunae, nahivo tutajiandaa na majibu ya kutosha kwa kitendo hiki cha kikatili alisikika myahudi mweusi kutoka ISENGO MBEYA.
 
Hadi sasa hakuna taarifa kamli lakini baadae ya kufanya tafiti katika vyanzo vyangu vya kuaminika hapo tel aviv ni takribani asilimia 90 kamanda hatunae, nahivo tutajiandaa na majibu ya kutosha kwa kitendo hiki cha kikatili alisikika myahudi mweusi kutoka ISENGO MBEYA.
Mbona aljazeera haijasema lolote
 
Jana Hezbollah walifanya shambulio la ndege isiyotumia rubani (drone) huko kwenye kambi ya jeshi la Israel (IDF) na kufanikiwa kuuwa askari kadhaa!

Tetesi zinasema walikuwemo watu wazito humo wakipanga mikakati! Jeshi la Israel limekiri askari wake kuuwa kwenye shambulio hilo! Swali: Hii drone ni ya aina gani mpaka imeweza kupenye mitambo yote ya kutungulia??

Drone attack kills four Israeli soldiers and injures 58​


Israel says 4 soldiers killed in Hezbollah drone attack​

1 hour ago1 hour ago

Four soldiers killed in Hezbollah drone attack on Israeli military site​


Israeli soldiers killed in drone strike on army base – IDF​



Majibu yameanza kupatikana!

Hezbollah was either lucky or knew how to inflict maximum damage - either way it's deeply worrying for Israel​


The drone strike deep into Israel marks a major security failure for Prime Minister Benjamin Netanyahu - and a sign of the enemy raising its game.

Somehow Hezbollah's drone penetrated Israel's defences without warning and hit the building when it would have been at its busiest. That will be deeply worrying for Israelis.


Monday 14 October 2024 07:08, UK


Nb: Muda utaamua!
Nyie kobazi mnakuja na stori za kinafiki mnakuja vistori eti mkuu wajeshi la israel Hervi Halev ameuawa mbona yupo hai kaonekana kutembelea kambi ya jeshi
 
Hadi sasa hakuna taarifa kamli lakini baadae ya kufanya tafiti katika vyanzo vyangu vya kuaminika hapo tel aviv ni takribani asilimia 90 kamanda hatunae, nahivo tutajiandaa na majibu ya kutosha kwa kitendo hiki cha kikatili alisikika myahudi mweusi kutoka ISENGO MBEYA.
WaIsrael wa buza wapo kwenye kikao muda huu kuamua jinsi ya kutangaza hizo taarifa za msiba lakini israel ni dhwaifu!
 

Attachments

  • 20241014_084119.jpg
    20241014_084119.jpg
    319.2 KB · Views: 1
Back
Top Bottom