Daah!! Kumbe?!! Ila wanasiasaHizo sio hela za umma tu ni pamoja na za sector bijafsi.
Stock ya dola ina maana wakichukua dola zote za serikali, na zile zinazomilikiwa na watu binafsi kwenye bank na bureau ndio unapata akiba ya fedha za kigeni. Kusema serikali ikazilipie deni sio sahihi maana sio hela zake
Hata Kama amekosea , watu Kama nyingi mnakisea zaidi kumdhalilisha! Kumbuka yule ni kiongozi wa taifa letu hata Kama hatumpendi.Kile kimama ni hovyo mnoo.
Kinapenda sana msesereko tu.
Hata kukariri hakiwezi sembuse kufikiri hivyo kinapewa kisome hotuba hivyo hivyo, na kutapika vitu vya ajabu.
Kama zuzu alipo soma alishindwa kutambua ilo kosa basi ni kwa sababu yeye ni zuzuMwandishi atakuwa Francophone. Wafaransa ndio wanatumia koma kwenye nukta. Yaani kwa Kifaransa bilioni 6,253 = bilioni 6.253. Lakini kusema ukweli Ikulu yetu ni jumba bovu. Nyaraka za Ikulu km vile press release za uteuzi zimejaa typos!!
Umakini nimuhimu sana. Kukosa umakini ni unyonge au udhaifu..... huo mlingano ulitakiwa automatically um-alert! Dola za kimarekani bilioni 6,253 (more than UK, Japan, France, or India GDP) inatosha kwa miezi saba tu kwa Tanzania?
Sahihi kabisa ila ameshaona hatari yakeHata Kama amekosea , watu Kama nyingi mnakisea zaidi kumdhalilisha! Kumbuka yule ni kiongozi wa taifa letu hata Kama hatumpendi.
Nivema tukawa na lugha za staha kumkosoa!
Hizo sio hela za umma tu ni pamoja na za sector bijafsi.
Stock ya dola ina maana wakichukua dol zote za serikali, na zile zinazomilikiwa na watu binafsi kwenye bank na bureau ndio unapata akiba ya fedha za kigeni. Kusema serikali ikazilipie deni sio sahihi maana sio hela zakeNa
ACHA HIYo,na zile za makabacholi zisizokuwa kwenye mfumo wa kibenki wamezijuaje ?Hizo sio hela za umma tu ni pamoja na za sector bijafsi.
Stock ya dola ina maana wakichukua dola zote za serikali, na zile zinazomilikiwa na watu binafsi kwenye bank na bureau ndio unapata akiba ya fedha za kigeni. Kusema serikali ikazilipie deni sio sahihi maana sio hela zake
Umakini nimuhimu sana. Kukosa umakini ni unyonge au udhaifu.
Nia njema, moyo mwema nk. Ongeza na umakini. Ona iliposemwa watu wamepata sentensi zao tayari... Bila umakini ghorofa laweza kusukumwa na upepo.
Wengi hawana uwezo wa kutamka namba baada ya nukta, alitakiwa asome billion sita nukta mbili tano tatu. Na hii shida kuwa mbali na hesabu!
... nakazia; zaidi ya GDP ya Japan, Germany, France, au India! Hii nchi ni tajiri sana!
Hizi hela ni zaidi ya trilioni 14,000 za kitanzania, yaani lile deni la trilioni 70 wanalogombania na Ndugai ingekuwa hela ya peremende na sio mboga.[emoji23]
Sijaelewa, unatamba vipi na hela ambazo sio zako tena unaita akiba.Hizo sio hela za umma tu ni pamoja na za sector bijafsi.
Stock ya dola ina maana wakichukua dola zote za serikali, na zile zinazomilikiwa na watu binafsi kwenye bank na bureau ndio unapata akiba ya fedha za kigeni. Kusema serikali ikazilipie deni sio sahihi maana sio hela zake
taratibu, hata kama jamaa awe ni mwenyekiti wa vilaza, atakuwa ameshaelewa.Narudia tena kukwambia wewe ni kiazi na mjinga wa mwisho.Ukite nyie ndio machadema eti mnataka kuongoza na Nchi πππ..
Kwa akili zako fupi hujawahi sikia lugha hiyo? Kwa hiyo mtu akitamka mia tano elfu au elfu miatano wewe huelewi?
Narudia tena upende kujifunza lugha za fedha na namba na aina kadhaa za matamshi.
Ili ujione ulivyo mjinga nakusaidia kwa figures hizi hapa chini zote zimetoka kwa serikali.Sasa niambie kama Hawa wamekosea π€π€
View attachment 2064705
View attachment 2064706
View attachment 2064707
View attachment 2064709
View attachment 2064710
View attachment 2064711
Kwa kuwa Idadi ya Watanzania wote pamoja na vichanga inakaribia 60,000,000kwa hesabu zaharaka ni kuwa nchi ina akiba ya tshs 1,426,934,600,000,000/=
Kwa kuwa Idadi ya Watanzania wote pamoja na vichanga inakaribia 60,000,000
Kwa hesabu za haraka hizo hela ukizigawa kwa Watanzania wote kila moja atapata 23,782,243
aisee, ni zaidi ya Noah tulitegemea kipindi ile.Kwa kuwa Idadi ya Watanzania wote pamoja na vichanga inakaribia 60,000,000
Kwa hesabu za haraka hizo hela ukizigawa kwa Watanzania wote kila moja atapata 23,782,243
Uwezi kujuwa kama mwandishi au msomaji, ila ngumu kutamka billion elfu sita badala ya billion sita, yaani ni ngumu, kutakuwa na shida fulani!Kwa hiyo unataka kusema kuwa Mama hakuona nukta?
Hata kama anahujumiwa.tuna rais ambae hajitambui.angelikuwa anajitambua angelikuwa anasoma kwanza ndio anakuja live.kwenye teuzi nyingi ameletewa watu ambao sio.je kwa nn hapendi kujilidhisha?.kama anawaamini hao watu wake akubali tuu awaachie na nchi waiendeshe.Hangaya anahujumiwa, ila yeye haelewi hilo.
Unaelimisha watu wenye ufahamu mdogo sana. Mtu anaacha kuenda chimbo ajifunze kwanza. Yeye anaongea kwa kejeli hata asiyoyajua. Sababu tu Kawa mpinzani wa rais.Narudia tena kukwambia wewe ni kiazi na mjinga wa mwisho.Ukite nyie ndio machadema eti mnataka kuongoza na Nchi [emoji38][emoji38][emoji38]..
Kwa akili zako fupi hujawahi sikia lugha hiyo? Kwa hiyo mtu akitamka mia tano elfu au elfu miatano wewe huelewi?
Narudia tena upende kujifunza lugha za fedha na namba na aina kadhaa za matamshi.
Ili ujione ulivyo mjinga nakusaidia kwa figures hizi hapa chini zote zimetoka kwa serikali.Sasa niambie kama Hawa wamekosea [emoji2960][emoji2960]
View attachment 2064705
View attachment 2064706
View attachment 2064707
View attachment 2064709
View attachment 2064710
View attachment 2064711
Bora usingechangia, unajiaibisha. $6,250B ($6,250,000,000,000) izidishe hiyo kwa pesa ya Tz (2,300) uone utapata tsh.ngapi?Ni sahihi kwani dola bil 6250 unajua ni shilingi ngapi? Si ni til.14 na huo ndio ukweli..
Acha ujinga mtoa mada ,forex reserves haitumiki kulipa madeni bali kuagiza bidhaa za nje na ku stabilize currency.Tatizo lenu ni mbumbumbu wa uchumi..
Ni mara kadhaa kama huwa mnasoma na kusikiliza bajeti utasikia lugha hiyo ya milioni 3467 nk nk ..
Mpende kujifunza sio kujaza ujinga vichwani