Hii ndio mikoa ambayo Rais Samia amewekeza nguvu kubwa kuiletea maendeleo

Bila kuainisha ni mambo gani yanafanyika katika hizo sehemu kuleta maendeleo utakuwa umepiga porojo za bar tu.
 

Vitu hiv wapinzani hawavioni hata kidogo mbaya zaid wamewapa wananchi sumu nao wanajifanya hawaoni
Rais huyu tukimpa support nchi hii itabdlika chap
 
Vitu hiv wapinzani hawavioni hata kidogo mbaya zaid wamewapa wananchi sumu nao wanajifanya hawaoni
Rais huyu tukimpa support nchi hii itabdlika chap
Ni vizuri waendelee kusambaza chuki Ili wampe Nguvu zaidi na Mungu awaaibishe siku alisema Sasa Samia inatosha
 
Umekijibu vizuri kweli hiko kiazi.
 
Bila kuainisha ni mambo gani yanafanyika katika hizo sehemu kuleta maendeleo utakuwa umepiga porojo za bar tu.
Kwani wewe kwenye Mkoa wako hujui mambo yanayofanyika kuleta maendeleo? Ila rangi ya Boxer ya Mbowe unaijua si ndio? 😁😁
 
😁😁😁😁 Wivu ,mama Yako hamfikii Samia Kwa Sura,cheo Wala pesa ndio maana umejaa chuki za kindezi View attachment 2758732
🀣🀣🀣🀣🀣🀣

We jamaa mi huwa unanifurahisha sana unavyowapiga na kuwachakaza hawa haters kwa vipigo takatifu vya mifano halisi
 
Kitakachofuata ni kukukimbia tu, hakika watakimbia
🀣🀣🀣🀣
Wananielewa vizuri wakitaka data hapa ndio mahala pake ,wakileta matusi nawajibu Kwa Kabali ya matusi 🀣🀣

Yaani uliweka gingi naweka Jiwe ukimwaga mboga namwaga ugali,yaani sicheki na kimaπŸƒπŸƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…