Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
-
- #101
Sio wengi mkuu, ni wachache tu wenye jilas mioyoni mwao πππHuu ni ushahidi mwingine wa kazi kubwa ya Samia na kwamba amewafunika watangulizi wake wote.
Huu ukweli ndio unawauma wengine ππ
Kitendo cha kutuletea Makongoro Nyerere(mkuu wa mkoa) na peter Lijualikali (mkuu wa wilaya Nkasi),ilikuwa dharau kwa wapenda maendeleo ya mkoa na wilaya.Huku rukwa kama kawaida yetu tulishazoea kutengwa na viongozi wa kitaifa.
Kufungua tu njia ya Namanyere-kirando kisha mizigo ivuke maji kwenda congo hawataki wanaishia kujenga bandari sehemu ambazo hazina uchangamfu walianza kipili pakafeli, saizi wako kabwe nayo itafeli.
Poor government support
Hadi hayo yanafanyika na pesa kupotea nyie mlikuwa wapi?Kitendo cha kutuletea Makongoro Nyerere(mkuu wa mkoa) na peter Lijualikali (mkuu wa wilaya Nkasi),ilikuwa dharau kwa wapenda maendeleo ya mkoa na wilaya.
Bandari ya Kipili ulikuwa ni ujinga kupeleka kule,eneo sahihi ilikuwa Mswa (Katete), maana mzigo mkubwa hupatikana Kirando sio Kipili.
Mwalo wa Kirando mpaka sasa hivi uko kwenye maji (upotevu wa pesa),na hakuna ambaye anashughulika na jambo hili.
Josho iliyupo kirando haifanyi Kazi tena,limebaki eneo chafu lisilo na msaada wowote kwa wafungaji wa Kirando.
Tuseme wakazi wa Kirando tunafanyiwa isolation kisa ndo ngome kuu ya upinzani ndani ya mkoa wa Rukwa?Rukwa haijatengwa sema Bado hajafika kufanya Ziara.
Hiyo miradi iliyofeli ni ya Mwendazake Mzee wa kukurupuka.
Hata hivyo Barabara uliyoitaja usanifu umekamilika ila haiwezi kujengwa miaka ya karibuni kwanza Kuna Chadema kule.Barabara ya Lyazumbi Kabwe itaanza kujengwa kwanza ndio itafuata hiyo ya Kirando.
Mwisho hakuna Mkoa Mama ameutenga na wewe unajua.Hapo Rukwa amekamilisha Stand kuu,amekamilisha Chuo Cha Walimu,amekamilosha Veta Mkoa.
Miradi aliyoianzisha ni ,ujenzi wa Sumbawanga Airport,ujenzi wa Barabara ya Ntendo-Muze- Kilyamatundu,ujenzi wa Matai-Kasesya,ujenzi wa Laela-Mwimbi-Kizombwe road baadae itaungana na ya kutoka Matai,amejenga Barabara za Mjini zaidi ya km 2 Sumbawanga,taa zinawaka na huko mawilayani mambo ni [emoji91][emoji91][emoji817][emoji817][emoji817][emoji817]
Narudia kukwambia kwamba nyie waambieni Chadema wawajengee.Tuseme wakazi wa Kirando tunafanyiwa isolation kisa ndo ngome kuu ya upinzani ndani ya mkoa wa Rukwa?
Barabara ya Nyamanyere-Kirando ni muhimu kuliko hiyo ya Lyazumbi -Kabwe,kirando ni kitovu muhimu sana katika wilaya ya Nkasi maana mwingiliano na mkubwa kuzidi maeneo mengine lakini huduma zake zipo nyuma sana.
Kirando ndo ilikuwa sehemu sahihi kuliko Kipili maana mpaka sasa hivi navyo andika mizigo ya kwenda Kongo,Zambia na Burundi mingi inapakiwa kirando na mingi inayo toka Dar kwenda nje tajwa inashushiwa kirando.Nadhani Kipili pamekaa vizuri na ni rahisi kujenga bandari kuliko Kirando na pia ni jirani sana kama kilomita 10 kutoka Kirando. Ujenzi wa bandari Kirando utaleta usumbufu mkubwa kwa wananchi kwani watabidi kuhamishwa ili kupisha bandari.
Kwa maoni yangu Kirando unapaswa kuwa mji wa kitalii kwa kujenga hoteli nzuri kwa sababu una fukwe nzuri sana.
Mbona makasiliko mkuu kwani CDM ndo wenye serikali kiasi kwamba uwepe majukumu ya kujenga miradi?Narudia kukwambia kwamba nyie waambieni Chadema wawajengee.
Pili Kabwe kuna Bandari,hakuna mjinga atajenga lami Namanyere -Kirando kabla ya Lyazumbi-Kabwe.
Mliwachagua wa nini kama hawana Serikali? Wala hakuna makasiriko hapoMbona makasiliko mkuu kwani CDM ndo wenye serikali kiasi kwamba uwepe majukumu ya kujenga miradi?
Mzee Ally Kessy (ex-mp wa nks-k) alipambana sana na wezi kwenye miradi mwisho waliokuwa wanatuhumiwa walihamishwa.Hadi hayo yanafanyika na pesa kupotea nyie mlikuwa wapi?
Mwisho usimbeze Makongolo Niliona aliibua upigaji wa Kituo Cha Afya Kate huko
Serikali ya kitapeli na wizi!Mliwachagua wa nini kama hawana Serikali? Wala hakuna makasiriko hapo
Watu wanachagua viongozi kwa sifa sio chama Cha siasa wanavyo toka,mkoa wa Rukwa kwa miaka mingi ni ngome ya ccm mbona hauna maendeleo makubwa mkuu ?Mliwachagua wa nini kama hawana Serikali? Wala hakuna makasiriko hapo
CCM ni janga la Taifa! Wanachowaza ni kuwakomoa wananchi na kuvimbisha matumbo yao! Serikali makini hutekeleza hoja za wapinzani wao kisiasa kwa umakini mkubwa na hasa zinapolenga maendeleo ya wananchi wengi!Watu wanachagua viongozi kwa sifa sio chama Cha siasa wanavyo toka,mkoa wa Rukwa kwa miaka mingi ni ngome ya ccm mbona hauna maendeleo makubwa mkuu ?
Leo hii unyimwe miradi ya kimkakati kisa huyu mama kuwa MP wa upinzani ? Au kirando na Itete kuwa na madiwani wapinzani?
Tena Ole wenu niwe raisi ntahakikisha ntangoa hadi mabati ya shule napeleka kigoma nynyi nawalerea nyasi .mmezidi kuwapa wapenzi wetu dawa za mapenzi hadi tunavunja ndoa kama Dr likwelileHuku rukwa kama kawaida yetu tulishazoea kutengwa na viongozi wa kitaifa.
Kufungua tu njia ya Namanyere-kirando kisha mizigo ivuke maji kwenda congo hawataki wanaishia kujenga bandari sehemu ambazo hazina uchangamfu walianza kipili pakafeli, saizi wako kabwe nayo itafeli.
Poor government support
Wakati huo Tanzania ukichagua upinzani basi ni fursa ya kunyimwa maendeleo,kwa sababu ya viongozi kuwa wapinzani,hakika uafrika ni laana.CCM ni janga la Taifa! Wanachowaza ni kuwakomoa wananchi na kuvimbisha matumbo yao! Serikali makini hutekeleza hoja za wapinzani wao kisiasa kwa umakini mkubwa na hasa zinapolenga maendeleo ya wananchi wengi!
Ndio maana maji na umeme vinasuasa hampati πππWatu wanachagua viongozi kwa sifa sio chama Cha siasa wanavyo toka,mkoa wa Rukwa kwa miaka mingi ni ngome ya ccm mbona hauna maendeleo makubwa mkuu ?
Leo hii unyimwe miradi ya kimkakati kisa huyu mama kuwa MP wa upinzani ? Au kirando na Itete kuwa na madiwani wapinzani?
Upinzani ni haramu π€£π€£Wakati huo Tanzania ukichagua upinzani basi ni fursa ya kunyimwa maendeleo,kwa sababu ya viongozi kuwa wapinzani,hakika uafrika ni laana.
Wivu ππRais wa Kizimkazi kamwe hawezi kutumikia Tanzania kwa usawa!
Sawa tuu ila wenzenu wanapata miradi wewe endelea kuomba hiyo korasi Yako ya kijinga.Serikali ya kitapeli na wizi!
Sawa tu lakini kumbuka parapanda limelia kuna watu watalia na kusaga meno!Sawa tuu ila wenzenu wanapata miradi wewe endelea kuomba hiyo korasi Yako ya kijinga.
Tactic π₯π₯View attachment 2759626View attachment 2759627View attachment 2759628
Ndio unavyojifariji au siyo? π€£π€£Sawa tu lakini kumbuka parapanda limelia kuna watu watalia na kusaga meno!