Na bado unakaa nae kama wife duhYani ni balaa kwakweli, wife unamwambia achana kuwasiliana na x wako, anakwambia na ww hujakatazwa kuongea na ma-x wako😭😭 unaangalia panga unalizoooom unaishia kusema Ee! Mungu niongoze🤣
afu unaonekana kajamaa fulani huna makuu😂😂😂Hizi ndoa hapana wakuu!
Niwaase tu wale ambao hawajaoa wawachunguze sana wachumba wao kila tukio baya kipindi Cha uchumba usilichukulie poa.
Mfano:-
NB: Naomba utaratibu wa kumpa mtu talaka.
- Umegundua mchumba wako bado anawasiliana na x wake ujue hiyo hali itaendelea mpaka ndoani na wanaweza wakazaa na mtoto na ukamsomesha kabisa.
- Umeona mchumba wako ana jazba ujue ukioa/olewa nae atakuwa anajaziba Mara kumi.
Sasa mapenzi gani ya kumshika mwenzako akili? Halafu unajisifia unapendwa ama unaishi na mtu uliyemtoa akili akawa kichaa?Mkuu nakushauri mroge yaani mpe dawa atatulia, atakuheshimu, atakutii na atakusikiliza. Najua comment hii watu wanaojifanya wasomi wasioamini mila z kiafirika watapuuza lkn ukweli ndio huo!! Zamani babu zetu ndio walikuwa wakiwawahi wake zao kuwatoa wenge, ila vijana wa sasa wanawahiwa na wake zao.
SHIDA NI IPI HASWA?? KWENYE NDOA YAKOHizi ndoa hapana wakuu!
Niwaase tu wale ambao hawajaoa wawachunguze sana wachumba wao kila tukio baya kipindi Cha uchumba usilichukulie poa.
Mfano:-
NB: Naomba utaratibu wa kumpa mtu talaka.
- Umegundua mchumba wako bado anawasiliana na x wake ujue hiyo hali itaendelea mpaka ndoani na wanaweza wakazaa na mtoto na ukamsomesha kabisa.
- Umeona mchumba wako ana jazba ujue ukioa/olewa nae atakuwa anajaziba Mara kumi.
huna akili kaa kwa kutuliaUnajua kutofautisha kati ya Mke na Mwanamke.. tuanzie hapo kwanza
Kweli kabisa kiongozi kwanza kabisa ukiona mwanamke wako anapenda sana mitandao ya kijamii ujue hapo hauna mke na ukiona mwanamke wako ana marafiki wengi haijarishi kama ni wakiume au wakike jua kua umepigwa hapoUkiwa na Mke Alafu Yeye Kutwa kucha TikTok Mara Istagramu Kujibinua Mknd ujue umepigwa za Uso na Lazima Udondoke Chini na Refa Anamaliza Mchezo
😂Ndoa yako na idumu milele na milele amina, mwanamke unajitambua sana.Aaah wewe ratiba ya nini? Mungu alijua kuumba hivyo vitu ndio maana hata viwete wanawekwa mgongoni na wenza wao. Yani hapo ni mpaka upate ugeni red 🧚♀️
Nakuelewa vizuri machungu yakeYani ni balaa kwakweli, wife unamwambia achana kuwasiliana na x wako, anakwambia na ww hujakatazwa kuongea na ma-x wako😭😭 unaangalia panga unalizoooom unaishia kusema Ee! Mungu niongoze🤣
Uko sahihi,ibilisi anaanzia hapaKwenye huu ulimwengu wa kidigitali na social media, ndoa nyingi zimekuwa uchi mnoo! Imagine mke wako anajirekodi kila tukio analofanya alafu anaposti tikitoko! Stupid kabisa.
Na hii ni sababu kubwa,wengi hawachunguzi tabia,tunaangalia Sura na body morphology kwanza 😀We si ulipenda Msambwanda na Sura? Washikaji walipokutonya ukasema bora Shape Tabia mtavumiliana? Sasa uvumilivu umekushinda?
ikizidi miezi 6 jamaa bado anapagawa na wewe inamaana gani?Kikwava Soma huu ujumbe kwa umakini nadhani utakuwa ulikuwa na Wenge wakati unaoa
Kwa sisi wazoefu wa haya mambo. Kama unatafuta mchumba au mke ambaye utataka umuone mzuri daily basi haishauriwi umtongoze vuupuu! Utakwama! Haina tija kwako. Labda awe demu wa eat and drink then pita hivi.
Demu ukimuona first day one time, unaweza ukapagawa kwa First impression. Kama unaushamba wa hizi ishu ndio ile unasema umekutana na Pisikali kumbe ni wenge lako tuu.
Mimi huwaga ili nithibitishe kuwa huyu demu ni mkali basi itanipasa nimuone kwa siku zisizopungua saba. Yaani mpaka macho yangu yamzoee na kumchoka.
Kama yatamuona mzuri kwa kiwango kilekile au pungufu kidogo basi nitakuwa huyo Mwanamke ni mzuri.
Ukimtongoza tuu utashangaa ndio mwanzo wa kuona wa kawaida au mbovu kabisa. Hapo hujafanya naye ngono. Ukifanya naye ngono ndio uzuri unapotea wote mpaka unajilaumu. Sio ajabu ukaanza kukumbuka maneno ya rafiki zako waliokuwa wakikucheka kuhusu huyo demu.
Ni mzuri kwa sababu hujamtongoza. Mtongoze uone kama utamuona hivyo. Au kuwa na mazoea naye uone. Au fanya ngono naye uone.
Mke au wachumba za Watu unawaona ni warembo kwa sababu hiyohiyo. Lakini nakuhakikishia kuwa asilimia 90% ya unaowaona wazuri sio hivyo uwaonavyo. Kinachokufanya uwaone hivyo ni wenge lako, tamaa ya ngono hivyo yaani.
Wadada muelewe kuwa wanaume ndio tupo hivyo. Ndio maana mnatakiwa mjitunze kwa sababu wanaume wote unaowaona wanaokutazama barabara ukipita ni kwa sababu hawajakuzoea sio kwamba wewe ni mzuri na unamaajabu. Ukitaka uthibitishe hilo. Subiri ukae mwezi uone kama hiyo barabara iliyokuwa ukipita huku Watu na bodaboda wanakutazama na kupagawa kama watakutazama tena au kupagawa.
Ikiwa wewe ni mke au mchumba wa mtu usijejidanganya ati wewe ni mzuri kisa unatongozwa tongozwa, hizo ni akili za kitoto na kutotujua wanaume.
Wenge likikata kwetu wanaume ndio mnatuita Mbwa sisi wenyewe tunashangaa tulikuwa tumefuata nini. Wenge ni baya.
Ndoa nyingi zimevunjika, mahusiano mengi yameharibiwa kwa wanawake kutoelewa hii kanuni.
Unakuta kabinti kisa kanatongozwa tongozwa basi kanaleta dharau kwa mpenzi wake au mume wake. Wakiachana na mchumba au mumewe akitegemea ile idadi ya wanaume wanaomtongoza itakuwa vilevile anashangaa inapungua maradufu. Hata yule aliyekuwa anamuona anafaa kuzidi mumewe naye anakimbia.
Hakuna anayekuona mzuri zaidi ya yule aliyekuweka ndani, aliyekuoa au anayetaka kukuoa.
Sisi wengine ni Wenge tuu linatusumbua.
Siku lilikata ndio yanatokea ya kutokea. Na raha ya wenge letu haliwezi dumu kwa miezi sita mfululizo lazima likate.
Chunga sana
Kwanini umdunde wakati akina Aisha, Glory, zaylisa, Lushayna, wamejaa tele huko nje? Tafuta mmoja ukirudi nyumbani akigeukia upande huu wewe unageukia kule maisha yanaendelea cha muhimu tu fumanizi lisitokee pande zote mbili.haya mambo ya kupangiwa ratiba ndio huvuruga ndoa, ngumi huweza kutokea kitandani mtu akadundwa kama ataleta ratiba hiyo
Asante sana, ndo hvo mkuu ishafika mahala Sasa haiwezekan kuishi pamoja ,Pole sanaa kakaa jamani hizi ndoa zina nn?me nionavyo n wanawake wachache sanaa wanakuwa wakaidi kwa waume zao wanaowapenda kweli na kuwajali.mmefikaje hapo?je ulkuwa mume mzuur kwa mkeo?jamani wanaume hakuna miujizaaa ww kama unamuendea mwenzio kinyume then utegemee yeye awe mwema kwako unaotaaa tena aamka kwenye huo usingizi.
Sema pm yangu inasumbua kufunguka ningekuelekeza ufanye mwenyewe ni simple tu na haina gharama kwamba kuna kitu utanunua au mitishamba utafute. Gharama yake ni kinywaji apendacho sana.
Nami sijamaanisha akili ya vitabu. Nimeuliza hawa wote hawatumii akili? Hio akili ua ndoa mnayoizungumzia. Skia ndoa ni proba tu ukiotea utajisifu ila usimcheke na kumuona hatumii akili yule anaeyumba.Hapa hapaongelewi akili ya kua na Masters Bro, Ndoa ni chuo kingine kabisa
Sioni kama kuna sehemu nimeandika kwamba wakati namtongoza nilijua ni mke wa mtu!Huu ni unafiki grade one broh.
Yani umetongoza demu ukijua ni mke wa mtu, mkapanga appointment kabisa, mmewasiliana mpaka akafika. Then unasema hukuwa na mzuka nae kwasababu wewe na wake za watu ni vitu viwili tofauti? Seriously? 😅😅