Hizi ni stori za kwenye Biblia ambazo zimeniacha na maswali sana

Usinilazimishe niamini, umburula wako. Hakuna kitu ndani ya Biblia kisicho na majibu. Ila kama huamini,, hata ukielezwa hutakubal, chochote. Maana tayari umejenga mashtaka na kukataa.
Kaa kimya
 
Usihangaike kumjibu, mtu huyu hana nia kujifunza ila kashfa tu na matusi.
 
Endelea na huo uelewa wako.
 
Ni huyo huyo roho mtakatifu aliyekuwa anamuongoa nabii Dominik (kiboko ya wachawi) na akapata wafuasi wa kutosha.
 
Sir100 amewatoa lini Kwa Amani wamasai Ngorongoro..... Hivi kwenu Amani ni kitu gani hasa hatuna Amani hapa tuna ujinga,ubwege,upumbavu na umbumbumbu uliokithiri basi hakuna Amani hii nchi.
 
Biblia ni hadithi za kimapokeo. Uongo mwingi na kinaonyesha waandishi wake wengi walikuwa na upeo mdogo wa dunia yetu.
Niambie kitabu tofauti cha KIROHO duniani kilicho Bora cha kweli kuliko Biblia. .
 
Niambie kitabu tofauti cha KIROHO duniani kilicho Bora cha kweli kuliko Biblia. .
Kuwa bora hakimaanishi yote yaliyoandikwa humo ni sahihi, hakimaanishi kimeandikwa chini ya usimamizi wa Mungu. Kiufupi ni masimulizi ya uhusiano wa watu wa wakati huo na utamaduni huo na huyo waliyemwamini kama Mungu wao. Kina mapungufu mengi sana na hakipaswi kuunganishwa na Mungu moja kwa moja. Kila utamaduni una hadithi zao dhidi ya Mungu wao.
 
Sawa, unapokikosoa kitabu cha Biblia, nipe kitabu cha KIROHO hapa duniani unachoona kina uhakika kuwa cha MUNGU tofauti na Biblia. Kama sivyo niendelee kuamini kuwa huna hoja
 
Sawa, unapokikosoa kitabu cha Biblia, nipe kitabu cha KIROHO hapa duniani unachoona kina uhakika kuwa cha MUNGU tofauti na Biblia. Kama sivyo niendelee kuamini kuwa huna hoja
Wewe endelea na imani yako, hiyo ni haki yako ya msingi. Wale wanaokosoa wasikupe shida hata kidogo. Ila jua kuwa unaweza ukamuamini na kumtii Mungu bila kupitia hicho kitabu chenu. Mungu alikuwepo hata kabla ya hiyo Biblia. Kuna Imani nyingi tu zisizotumia hiyo biblia na wako sahihi kabisa na wanaishi vizuri kweli kweli. Mwisho Mungu ni zaidi ya biblia na biblia ina mapungufu lukuki kwa sababu haikuandikwa na Mungu.
 
Kila mtu anajua kusoma kitabu cha mwenzake. Ziko kasoro za hovyo mpaka unashangaa kwenye hicho kitabu chako unachokificha kukitaja. Lakini hatuna muda kuzijadili maana waumini wake hawajui kujenga hoja, kuvumilia, zaidi ya vurugu, mapigano na muaji.
 
Biblia unaweza kuiweka katika namna mbili ,mja ni kitabu kianacho elezea historia ya wayahudi namna walivyokuwa wanaishi na Imani zao. Pili biblia ni kusanyiko la vitabu ambavyo vinatumika kama mwongoza kwa Imani Fulani namna ya kumwabudu Mungu wao
 
Sio asilimia ulizo taja ni iUongo
 
Kila mtu anajua kusoma kitabu cha mwenzake. Ziko kasoro za hovyo mpaka unashangaa kwenye hicho kitabu chako unachokificha kukitaja. Lakini hatuna muda kuzijadili maana waumini wake hawajui kujenga hoja, kuvumilia, zaidi ya vurugu, mapigano na muaji.
Mkuu, ubishani kwenye hivi vitabu mlivyoletewa ni upuuzi mkubwa sana. Siko kati ya hizo imani zenu 2, bahati nzuri nimevisoma vitabu vyenu vyote viwili. Vina mafundisho mazuri sana kumshape binadamu kwa maisha yake hapa duniani. Mimi nitaishia hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…