Kwani Wanyama wana Fanya vipi?,
Quran kariim imekataza zinaa, fanya ilo katazo halipo (assume) mimi/kidume chochote nakuja kwenu nagonga mlango una fungua nakwambia niitie mama yako, una fanya hvo ana Toka, naongea nae na kisha tunaingia chumbani kula Raha huku wewe uki shuhudia,
swali je utakubali huu mfumo wa maisha?,
Kwa taarifa yako watu wali ishi hv, na jamii nyingi zilikua potofo na watu wengi hawakupenda, uislamu ulipo simama na kusema (Quran kariim) zinaa ni haramu kila mtu alikubali bila ya mjadala papo hapo