Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Mwendazake labda hajawahi kukutusi wewe tu ila alitutukana sana watanzania.Sijawahi kusikia rais yoyote ametukana mtu. Hii ya matusi sijawahi kusikia popote.
Vitisho ni relative term.
..sijaona watu wajinga nchi hii kama uv-ccm.Mtahamisha magoli sana.
Ummy Mwalimu ni mzuri aiseee...[emoji7][emoji7]
Mengi yameshatajwa mkuu. Huyu mama ni tunu kwa taifa. Ichongwe sanamu yake na ziwekwe kwenye roundabout zote nchini.Tuna mengi tunataka kuyasikia
1. Kodi zinazozingatia hali halisi ya biashara.
2. Utawala wa sheria.
3. Mazingira rafiki kwa investors.
4. Mazingira wezeshi kwa wajasiriamali.
5. Ajira Mpya
6. Maisha bora kwa wafanyakazi.
7. Kupandisha kima cha chini cha mshahara bara kama Zanzibar.
8. Huduma bora za Afya.. Bima ya wote
9. Elimu bure yenye Tija.
10....
11.....
12.....
13......
swali lipo wazi 3/4 ya wabunge ni wamfukoni kwa Magufuli, ambaye karma ilimfyeka, hawakuchaguliwa na wananchi. Kuna Covid19 hawa wanamwakilisha naniKwa nini swali hili Mkuu?
Kufufua. Kukipa kitu uhai mpya.Nini maana ya kuhuisha?
Toto la kitangaUnegundua leo ?
Shingo yake sasa
Hahahahahaha mabomba yatatoa maziwalita za maziwa bilion 3
Ni ma-simtank mangapi hapo?
Mkuu hukusikia mama ntilie?Majobless kazi tunayo hivi ametugusia hata kidogo