Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwangu inagoma kufunguka mbonaNi miaka 5 sasa Magufuli alipotoa kauli hii saa chache baadaye Tundu Lissu alishambuliwa Dodoma.
Nawawekea watu wa Forensic kuna siku tusiyoijua clip hii itakuwa ushahidi muhimu
View attachment 2353218
Mi nnachojua ni kuwa Daudi alimuua Goliath dhalimu na mtetezi wa watesi mafilisti against wayahudi, mpaka kesho stori yake Daudi ya mauaji ni ushujaa wa kujivunia wanaizraeli na chawa wao wote ulimwenguni…Goliath angemuua Daudi story ingesomeka kinyume… Daudi alimtuma askari wake frontline akafa yeye akachukua wife, wakamzaa wakwanza akafa then Suleiman, mfalme mwingine tena na vitabu vyao tunavikariri kuanzia Madrasa mpaka Sunday school, imagine bado huyo huyo Daudi ni superhero kwa chawa hawa, hakika usimuache nyoka akakiinua kichwa chake mbele yako, utaumwa wewe na hili ni fundisho.Ni miaka 5 sasa Magufuli alipotoa kauli hii saa chache baadaye Tundu Lissu alishambuliwa Dodoma.
Nawawekea watu wa Forensic kuna siku tusiyoijua clip hii itakuwa ushahidi muhimu
View attachment 2353218
Nampenda mtu anayewaza nje ya box, inaweza isiwe Mbowe directly, ikawa balozi za nje, ikawa wanaCCM maadui wa serikali iliyokuwepo madarakani, au vinginevyo na inawezekana ikawa ni Magufuli mwenyewe…. Ukweli hautakuja julikana dunia hii iliyojaa wanafiki, waoga, waongo na uzandiki mtupu kuanzia chini mpaka juu kabisa, labda mbele ya safari kama kuna uhai.Wachawi akina Mbowe na genge lake la mabeberu walitumia huu mwanya kutaka kuichonganisha serikali na wananchi. Hakika lisu ataendelea kuwa msaliti
Swali la ajabu sana hili. We unafikiri nilichokisema utakielewa tena hata nikijaribu kukujibu ili ushawishike .Kwani Urais unagombewa na wangapi na wanaoupata ni wangapi kwa muda gani?
Nyooo, sasa ugumu ulikuwa wapi kwa Magu kuitisha uchunguzi wa shambulio lile!?Ukweli ni kuwa Dkt Magufuli hakuamrisha lisu auawe. Ila ni kama vile mtaani ukimtishia mtu then wachawi wanapita naye. Yeye aliongelea uzalendo. Na waliofanya hilo tukio ni Mbowe na mabeberu.
Hapana huo ulikuwa ni ujumbe kwa wasaliti wengine pia. Wakati anaongea haya tayari mawasiliano ya tundulissu yalidukuliwa na TISS akiomba nyaraka kutoka Barrick ili awasaidie namna ya kupambana na serikali.
Kwa lugha nyingine tundulissu aliamini anapambana n Magufuli badala ya kupambania taifa. Hiyo mentality ya kuamini anapambana na mtu ndio iliyomletea ulemavu wa kudumu. Vinginevyo hadi sasa angeendelea kusimama kwenye vizimba vya mahakama akiwapambania watanzania.
Hao Tiss wako kunasa tu mawasiliano ya Tundu Lisu, hawakuona mikataba ya kihuni ya madini? Hawaoni uhuni unaondelea bandarini? Kuna yule mtu alijiunganishia bomba la mafuta na hakuna hatua ya wazi iliyochukuliwa, je hao usalama wa taifa ni kwa ajili ya kuwakomoa wapinzani wa viongozi walioko madarakani?
Ni miaka 5 sasa Magufuli alipotoa kauli hii saa chache baadaye Tundu Lissu alishambuliwa Dodoma.
Nawawekea watu wa Forensic kuna siku tusiyoijua clip hii itakuwa ushahidi muhimu
View attachment 2353218
NonsensePu pu puu pu puu puu, zilisikika risasi zaidi ya 30 maeneo ya Area D Dodoma siku ya pili baadae...
wamgenijumuisha Mimi wakati wanaenda kumlambisha Shaba nisingekosea.
tuko vitani lisariti linajitia ujuaji wa kuijiona Lina akili sana piga Shaba ya pumbu au kichwa huko.
na ndo maana linaogopa kurudi linajua dhambi lililozifanya.
idiot
10 September 2022
RAIS SAMIA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA RAIS WA MAHAKAMA YA UMOJA WA MATAIFA PAMOJA NA MAJAJI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
MICHUZI BLOG AT SATURDAY, SEPTEMBER 10, 2022 HABARI,
![]()
![]()
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Rais wa Mahakama ya Umoja wa Mataifa (UN International Residual Mechanism for Criminal Tribunals-(IMRCT) Craciela Gatti Santana aliyeambatana na Ujumbe wake Ikulu Jijini Dar es Salaam
![]()
![]()
![]()
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha pamoja na Rais wa Mahakama ya Umoja wa Mataifa (UN International Residual Mechanism for Criminal Tribunals-(IMRCT) Craciela Gatti Santana mara baada ya mazungumzo yao Ikulu Jijini Dar es Salaam
![]()
![]()
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na Rais wa Mahakama ya Umoja wa Mataifa (UN International Residual Mechanism for Criminal Tribunals-(IMRCT) Craciela Gatti Santana mara baada ya mazungumzo yao Ikulu Jijini Dar es Salaam
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu Jaji Iman D. Aboud aliyeambatana na Ujumbe wake Ikulu Jijini Dar es Salaam
![]()
![]()
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu Jaji Iman D. Aboud pamoja na Ujumbe wake mara baada ya mazungumzo yao Ikulu Jijini Dar es Salaam.
UN International Residual Mechanisim for Criminal Tribunal-(IMRCT)
Organization
The Mechanism operates across two branches: one branch in Arusha, United Republic of Tanzania, and the other in The Hague, the Netherlands.
Functions of the Mechanism
In accordance with its mandate, the Mechanism has assumed responsibility for a number of functions of the ICTR and the ICTY. These essential functions are discussed below...
Searching for the Fugitives | UNITED NATIONS | International Residual Mechanism for Criminal Tribunals
The establishment of the Mechanism is a key step in the Completion Strategies of the two tribunals. The tracking, arrest and prosecution of the remaining fugitives indicted by the ICTR is a top priority for the Mechanism. Of the 93 persons indicted by the ICTR, two remain at large.www.irmct.org
Cases
The Security Council, by its Resolution 1966 (2010), established the Mechanism to carry out a number of essential functions of the International Criminal Tribunal for Rwanda and the International Tribunal for the former Yugoslavia. In accordance with its mandate, the Mechanism has assumed responsibility for, inter alia, the enforcement of sentences, administrative review, assignment of cases, review proceedings, appeal proceedings, contempt, requests for revocation of the referral of cases to national jurisdictions, the variation of witness protection measures, access to materials, disclosure, changes in classification of documents and requests for compensation and assignment of counsel. The Selected Ongoing Cases are only a few of the pending judicial proceedings, related to the above-mentioned essential functions, currently before the Mechanism. For information about all proceedings before the Mechanism, see All Mechanism Proceedings.
Selected Ongoing Cases
Source : Cases | UNITED NATIONS | International Residual Mechanism for Criminal Tribunals
Mtanisema jinsi nilivyoishi na matendo yanguSasa na wewe siku yako ikifika ukafa tutasema Mungu katusaidia au Mungu kafanya yake tu kama alivyopanga?
Wazee wa nyamongo wanampenda sasa Lissu. Lissu aliwapambania wakazi wa nyamongo kuhusu haki katika umiliki wa rasilimali chupuchupu auawe.Halafu kuna wale watetezi wa DIKTETA wanakuambia eti Magufuli anachafuliwa? Unamchafuaje mwehu kama huyu anayetangaza kwenye mkutano wa hadhara kuwa "msaliti" huuawa na few hours jaribio la kumuua Lissu linafanyika.
Isitoshe kusema ukimpangia kumdhuru mtu mwema kama Lissu, Shetani anakuingia anakuacha uropoke kama alivyoropoka Magufuli ili tupate ushahidi. Mungu hakupenda adhma mbaya ambayo Magufuli alikuwa nayo dhidi ya Lissu kwa vile Lissu ndiye mtetezi wa kweli wa raslimali za madini tangu miaka ya 2000 wakati wa Mkapa akiwatetea wachimbaji wa Tarime na wakati akiwa Mbunge kipindi chote cha Kikwette akiwa msemaji wa Kambi ya upinzani kwenye sekta ya madini. Wakati huo Magufuli alikuwa kimya kwenye Kambi ya CCM ambapo Lissu na upinzania walikuwa wanapambana na Serikali bungeni hadi kutoka nje ya Bunge kukataa kuwa rubber stamp ya Sheria mbaya za madini.
Mungu asingeruhusu dhuluma kama hii itokee kwa Lissu hivyo, Magufuli akashindwa kumuua na hatimaye akafa yeye Machi 17, 2021.
Hata kama huamini Mungu, kwenye hili tukio la Lissu na Magufuli Mungu alisima katikati kama alivyosimama dhidi ya Nebukadineza alipotaka kuwadhuru akina Nabii Daniel na hawa akina Meshack, Abdenengo na Shadrack (Danieli 1-3). Muacheni Mungu aitwe Mungu
Magufuli is disgrace for this nation. Hamna mtu mwenye utimamu wa akili anayeweza kuona alikuwa mtu wa maana.Baada hata ya miaka 1000, hii clip itaonyesha kwamba msaliti wa taifa anapaswa kuuawa! Na Magufuli at aonekana ni kiongozi bora sana aliyetimiza hilo la kudeal na wasaliti wa taifa.
Kwahiyo hakukuwa na nafasi ya kummaliza alipokuwa hospitalini hapa Tz kabla hajaenda Kenya?