🤣🤣🤣Nimecheka sana.Rais amekuwa sheria mama. Katiba ni sheria mtoto. Legacy ya mwenda zake italitesa taifa kwa kitambo kidogo.
Mikutano kuwa huru ni takwa la kikatiba na wala Rais haitaji kutolea tamko maana katiba iko juu ya Rais.===
Hakika mpaka hapa Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha mbele ya Watanzania na dunia jinsi alivyo muumini wa demokrasia na Utawala wa bora,
Kama kuna watu wanataka kuvuruga amani na Utulivu wa nchi hii kwa gharama yeyote watakuwa ni CHADEMA ila Sio CCM hii ya Mama Samia Suluhu Hassan na hili kila mwenye akili ameona dhamira njema ya Rais wetu wanaoendeleza migogoro pia Watanzania wamewaona vema,
View attachment 2045863
View attachment 2045865
View attachment 2045866
Haya nenda kafanye leoMikutano kuwa huru ni takwa la kikatiba na wala Rais haitaji kutolea tamko maana katiba iko juu ya Rais.
Hawa jamaa wakati fulani nahisi labda hawana kabisa akili.
ID yako ilitakiwa iwe jabali la CCM na siyo la Siasa,una akili za kipumbavu sana, Chadema imeleta fujo gani?===
Hakika mpaka hapa Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha mbele ya Watanzania na dunia jinsi alivyo muumini wa demokrasia na Utawala wa bora,
Kama kuna watu wanataka kuvuruga amani na Utulivu wa nchi hii kwa gharama yeyote watakuwa ni CHADEMA ila Sio CCM hii ya Mama Samia Suluhu Hassan na hili kila mwenye akili ameona dhamira njema ya Rais wetu wanaoendeleza migogoro pia Watanzania wamewaona vema,
View attachment 2045863
View attachment 2045865
View attachment 2045866
Chadema hakuna watu wenye akili tope Kama wewe wa kuchagua mavi yanayoitwa CCMMimi ni CHADEMA ila namkubali sana Rais Samia na nitamchagua yeye 2025,
Kweli mkuu. Rais aache kuzungusha mambo. Katiba iko wazi.... the best way ni kuzingatia Katiba inavyosema; Msajili anaweza na always yuko biased! Msajili na Katiba nani superior? Mbona Katiba ya nchi inapuuzwa namna hii?
kama nchi kwa samia tumelamba garasa, huyu ni jiwe part 2Katika marais ambao wanafanya vzr samia yuko vizuri Sana, Mungu amulinde rais wetu
Daah... the best way ni kuzingatia Katiba inavyosema; Msajili anaweza na always yuko biased! Msajili na Katiba nani superior? Mbona Katiba ya nchi inapuuzwa namna hii?
We una chuki Sana Na Samia, Cha kukusaidia ni upigwe sindano ya sumu ufe taratibuShe is hopeless fool.Kanuni na miongozo ya kufanya mikutano ya siasa ipo kwa mujibu wa katiba na sheria zetu.
Hata adhabu za ukiukwaji wa kanuni za kuendesha mikutano hiyo zipo kwa mujibu wa sheria zetu.Njia bora za kuendesha mikutano hiyo tayari zipo well defined na sheria zetu.
Msajili wa vyama vya siasa pamoja na Polisi kazi yao ni kusimamia sheria na kanuni hizo na kuhakikisha kuwa zinazingatiwa.
Tukisema kuwa Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu tunaonekana wabaya. Sasa Rais anataka hawa watu wakutane wajadili nini tena wakati kila kitu kipo well defined na sheria zetu?
Wewe unaongea kama nani?Naona Mbowe krismass atailia moshi siku mbili kabla ya 25DEC.
anahisi hawezi kupatikana labdaAmekuwa akitumia lugha za matusi sana kwa RAIS awe makini mno na kauli zake hizo…
Kamfufueni Basi dikteta aje amalizie ingwe yakeZamani nilikua najua watu wanaovaa miwani wana akili sana ila baada ya kumuona Chief Hangaya na kupitia CV yake nikajua hamna kitu na hatutoboi kwenye chochote.
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Rubbish===
Hakika mpaka hapa Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha mbele ya Watanzania na dunia jinsi alivyo muumini wa demokrasia na Utawala wa bora,
Kama kuna watu wanataka kuvuruga amani na Utulivu wa nchi hii kwa gharama yeyote watakuwa ni CHADEMA ila Sio CCM hii ya Mama Samia Suluhu Hassan na hili kila mwenye akili ameona dhamira njema ya Rais wetu wanaoendeleza migogoro pia Watanzania wamewaona vema,
View attachment 2045863
View attachment 2045865
View attachment 2045866
Wazee wanamsubiri migombani[emoji16][emoji16].Naona Mbowe krismass atailia moshi siku mbili kabla ya 25DEC.
Mikutano ya kisiasa sio hisani ya Rais/ watawala ni takwa la Katiba.===
Hakika mpaka hapa Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha mbele ya Watanzania na dunia jinsi alivyo muumini wa demokrasia na Utawala wa bora,
Kama kuna watu wanataka kuvuruga amani na Utulivu wa nchi hii kwa gharama yeyote watakuwa ni CHADEMA ila Sio CCM hii ya Mama Samia Suluhu Hassan na hili kila mwenye akili ameona dhamira njema ya Rais wetu wanaoendeleza migogoro pia Watanzania wamewaona vema,
View attachment 2045863
View attachment 2045865
View attachment 2045866
anahisi hawezi kupatikana labda