Irene Uwoya afanya sherehe ya milioni 100 ya kipaimara cha mwanaye

Status
Not open for further replies.
I thought, we were on a scholarly argument about gender.
 
Vazi la kinaigeria Ilo.hakuna gauni apo
Hivi kwanini mnaiga hao wapopo takataka kila siku kilakitu?
Wananuka kila kitu nyie ni miungu watu kwenu.
Watu wanajipepea sijui nini mbwembwe tu.
Nilikua na kifeni mkononi 90s najipuliza tu nikiona joto.
Ushamba gani huo.
Mijanamke iko inajipepea na lidubwasha gani sijui
Mtoto nae anajiona igwee,mama ndo kabisaa.
Hao watu wanawafaidisha nini?
Si hata wangeiga mila za ndikumana Burundi hapo au Rwanda.
Yapo tu km makuku ya kienyeji.
Mtapigwa sana miti na wapopo malaya nyie.
Wanawake zao hatuna time nao.
Michafu uuff natapika.Ok
 
Hauwezi kumpangia kila mtu namna ya kuishi,binafsi siwezi kuvaa na wal a siwezi kumjusema anaye vaa ,na ridhika na dona language,mengine kila mtu afanye kwa utashi wake ,kwa kua hainiongezi ugali
 
Mie naona kavaa msuli na si sketi.
 
Jamaa kumbe mweupe kichwani,ngoja tusibishane,ila elewa kila nchi ina mavazi yake ya kitamaduni na sio vazi moja ,kuna nchi zina mavazi ya kitamaduni ata kumi,mfano Tanzania je ni vazi tu la wamasai?
Sawa bwana mweusi kichwani.
 
Msichagulie watu maisha wanayotaka kuishi.....lets tolerate each other,dini, mavazi, sexuality n.k
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…