Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
I thought, we were on a scholarly argument about gender.Well they are not based 'to' gender rather based ON gender.
Si kila jambo la kuigwa ndugu. Lililo kawaida kwa wenzio usifanye liwe kawaida kwako hata kama halikubaliki.
Hiyo ni sketi haijalishi kama ni ya mnaijeria, mjerumeni au mchina na kibongo bongo haikubaliki kwa mwanaume, kama unabisha kuwa ni kawaida tupia picha yako na wewe ukiwa na sketi yako tuone - naandika hivi nikiamini wewe ni ME.
Tulale mkuu nataka niamke kula daku baadae. Mwisho wa siku waliovalishana sketi wenyewe wako makwao wametulia sisi tupo hapa kubishana. Usiku mwema.I thought, we were on a scholarly argument about gender.
Hivi kwanini mnaiga hao wapopo takataka kila siku kilakitu?Vazi la kinaigeria Ilo.hakuna gauni apo
Acha ungese na ujuha,utakuja kuliwa ,usichoelewa apo nini?hayo mavazi mpaka wazee wa kinaigeria wanavaa,kina davido wanavaa,Rais wao anavaa,ni culture yao wewe pimbiDuuu kumbe mpo wengi
Leta picha ya DAVIDO au RAIS kavaa hizo sketiAcha ungese na ujuha,utakuja kuliwa ,usichoelewa apo nini?hayo mavazi mpaka wazee wa kinaigeria wanavaa,kina davido wanavaa,Rais wao anavaa,ni culture yao wewe pimbi
Hauwezi kumpangia kila mtu namna ya kuishi,binafsi siwezi kuvaa na wal a siwezi kumjusema anaye vaa ,na ridhika na dona language,mengine kila mtu afanye kwa utashi wake ,kwa kua hainiongezi ugaliHivi kwanini mnaiga hao wapopo takataka kila siku kilakitu?
Wananuka kila kitu nyie ni miungu watu kwenu.
Watu wanajipepea sijui nini mbwembwe tu.
Nilikua na kifeni mkononi 90s najipuliza tu nikiona joto.
Ushamba gani huo.
Mijanamke iko inajipepea na lidubwasha gani sijui
Mtoto nae anajiona igwee,mama ndo kabisaa.
Hao watu wanawafaidisha nini?
Si hata wangeiga mila za ndikumana Burundi hapo au Rwanda.
Yapo tu km makuku ya kienyeji.
Mtapigwa sana miti na wapopo malaya nyie.
Wanawake zao hatuna time nao.
Michafu uuff natapika.Ok
Sawa kiongozi tufanye ni Nigeria cultureAcha ungese na ujuha,utakuja kuliwa ,usichoelewa apo nini?hayo mavazi mpaka wazee wa kinaigeria wanavaa,kina davido wanavaa,Rais wao anavaa,ni culture yao wewe pimbi
Ingia Google ,hiyo ni tamaduni yao kama ilivyo kwa wamasaiLeta picha ya DAVIDO au RAIS kavaa hizo sketi
Kama hujui kitu, chutama kuficha ujinga.View attachment 2201735
Mwingine huyu hapa
wanavaa hivi, sio hizo sketiIngia Google ,hiyo ni tamaduni yao kama ilivyo kwa wamasai
Dah hiyo ya kichwani...View attachment 2201735
Mwingine huyu hapa
Sawa bwana mweusi kichwani.Jamaa kumbe mweupe kichwani,ngoja tusibishane,ila elewa kila nchi ina mavazi yake ya kitamaduni na sio vazi moja ,kuna nchi zina mavazi ya kitamaduni ata kumi,mfano Tanzania je ni vazi tu la wamasai?
Hakuna picha za diamond kavaa hivi pia?wanavaa hivi, sio hizo sketi
View attachment 2201770
Kwenye ventriko 🤣🤣Inaonekana imekuuma kutoka uvunguni mwa moyo wako!
Nitumie PM hiyo pc mkuu daaahTangu sura halisi ya zumaridi ionekane live, nimejifunza simkubali mwanamke mpaka nimuone bila make up
Acha uongo bhana so unataka kusema alikudharau??? Kuhusu tako ni kweli laini au ndo ukiwa na njaa kila chakula unaona kitamu?Baraa tupu, kuna siku nilikutana nalo hotelin..tulikuwa floor moja vyumba jirani.. tukagusana nalo lilikuwa halitaki nipisha njiaa.. lilaaini kama sponge [emoji16][emoji16]