Israel yathibitisha kuuliwa kwa Hassan Nasrallah Kiongozi wa Hezbollah

Israel yathibitisha kuuliwa kwa Hassan Nasrallah Kiongozi wa Hezbollah

a6287b3e-cd75-44cb-a132-4e8956e4acab.jpg

Hezbollah imeapa kuendelea kupigana baada ya kuthibitisha kifo cha Nasrallah - saa kadhaa kabla, jeshi la Israel lilisema lilimuua katika shambulio katika mji mkuu wa Lebanon.

Hezbollah imeahidi kupigana vita baada ya kuthibitisha kifo cha Nasrallah​

.

Chanzo cha picha,AFP
Kundi la Hezbollah limetoa taarifa ndefu katika mtandao wa Telegram baada ya kuthibitisha kuwa kiongozi wake - Hassan Nasrallah "ameuawa".
"Mtukufu, Mkuu wa Upinzani, mja mwadilifu, amefariki dunia na kurejea kwa Mola wake," inasema taarifa hiyo.
Kundi hilo lilionekana kuthibitisha kwamba alifariki kutokana na mashambulizi ya anga huko Beirut, likisema kifo chake kimesababishwa na "uvamizi wa kihaini wa Wazayuni kwenye kitongoji cha kusini".
Kundi hilo pia liliendelea "kuahidi" kupigana vita dhidi ya Israel na kuendelea kuunga mkono "Gaza na Palestina, na kuilinda Lebanon na watu wake thabiti na wenye heshima".
Mapigano kati ya Hezbollah na Israel yaliongezeka tarehe 8 Oktoba 2023 - siku moja baada ya shambulio lisilokuwa na kifani dhidi ya Israel na wapiganaji wa Hamas ambao walianzisha vita huko Gaza.
Hezbollah imesema itaacha kushambulia Israel pale tu vita vya Gaza vitakapokoma chanzo.BBC
 
Hapohapo kwao wapi wewe,mtu kahamia hapo 1945, unaleta uwongo hapa
Mkuu; endelea kuamini hivo, sio dhambi wala. Sina interest yeyote kwa hu ubishi. Naona unahama hama point tu, haupo systematic kwa HOJA zako. Utakua na upungufu wa akili eti uanze kupigana na mataifa mengine kwa kukaa nchi ambayo haina madini, haina mafuta, haina gas nk eti vita vyote hivo upigane kwasababu ya Marekani? Stupid. Labda jiulize swali; why mataifa ya Kiarabu (tena sio Waarabu halisi )yanayo unga mkono Wapalestina ni only Iran, Yemen only? The rest of Arabic countries including Saudia wapo kinyume na Waarabu hao wa mchongo? Kwamba wewe Mtanzania unajua zaidi historia ya wale watu kuwazidi Saudia, Kuwait, Qatar nk?
 
Mjadala mkubwa ni kuhusu Israel kuua lile gaidi la Hezbollah. Wadau wa hapa wanadai kuwa Israel kachokoza moto na sasa atakiona.

Natamani kuwauliza kama wanakumbuka kuwa wiki iliyopita magaidi kadhaa waliuawa kwa milipuko ya vifaa vya mawasiliano na kijiwe hikihiki kikasema Israel amekwisha.

Au hawa jamaa wanaongea kwa codes mimi ndio siwaelewi? Wanavyojadili hapa ni kama Israel anapelekewa moto wa kufa mtu.
Huku mnapata gahawa taraiibu .
 
Mjadala mkubwa ni kuhusu Israel kuua lile gaidi la Hezbollah. Wadau wa hapa wanadai kuwa Israel kachokoza moto na sasa atakiona.

Natamani kuwauliza kama wanakumbuka kuwa wiki iliyopita magaidi kadhaa waliuawa kwa milipuko ya vifaa vya mawasiliano na kijiwe hikihiki kikasema Israel amekwisha.

Au hawa jamaa wanaongea kwa codes mimi ndio siwaelewi? Wanavyojadili hapa ni kama Israel anapelekewa moto wa kufa mtu.
Umesema kijiwe cha kahawa,
Umesema Israel
Umesema Hezbollah.
Mwanetu hata kama ni kweli , mnapigana kamba sana hapo
 
Israel waliwawekea mtego Hezbollah na wakaingia kichwa kichwa. Amid yale mashinikizo ya ceasefire kule UN kutoka viongozi mbali mbali, wakaiweka safari ya Netanyahu very close na siku anatakiwa kutoa hotuba. Nasrallah na wenzie walipoona ameondoka wakajua Israel wako occupied na kinachoendelea UN, hivyo wakajiamisha na kurudi kwenye bunker la HQ kufanya kikao cha kupanga maangamizi kwa Israel. Nasrallah hata akaangalia hotuba ya Netanyahu. But hakujua kuwa tayari ndege za Maangamizi zilikuwa njiani. Picha hiyo akiangalia TV kwa mara ya mwisho
View attachment 3109843
Huo mkono wa netanyahu kama alikua anamuaga
Israel waliwawekea mtego Hezbollah na wakaingia kichwa kichwa. Amid yale mashinikizo ya ceasefire kule UN kutoka viongozi mbali mbali, wakaiweka safari ya Netanyahu very close na siku anatakiwa kutoa hotuba. Nasrallah na wenzie walipoona ameondoka wakajua Israel wako occupied na kinachoendelea UN, hivyo wakajiamisha na kurudi kwenye bunker la HQ kufanya kikao cha kupanga maangamizi kwa Israel. Nasrallah hata akaangalia hotuba ya Netanyahu. But hakujua kuwa tayari ndege za Maangamizi zilikuwa njiani. Picha hiyo akiangalia TV kwa mara ya mwisho
View attachment 3109843
 
Kila nafsi itaonja umauti, hivyo usifurahie ya mwenzio wakati na wewe utaondoka any time

Ariel alishakufa, Nyau itafikia zamu yake n.k
inyooooongee kama huwa wanajua kila mtu atakufa kwanin wao wanaapa kuwafuta waisrael na wasisubiri wafe vifo vya kawaida zam yao ikifikaaa
 
Mkuu; endelea kuamini hivo, sio dhambi wala. Sina interest yeyote kwa hu ubishi. Naona unahama hama point tu, haupo systematic kwa HOJA zako. Utakua na upungufu wa akili eti uanze kupigana na mataifa mengine kwa kukaa nchi ambayo haina madini, haina mafuta, haina gas nk eti vita vyote hivo upigane kwasababu ya Marekani? Stupid. Labda jiulize swali; why mataifa ya Kiarabu (tena sio Waarabu halisi )yanayo unga mkono Wapalestina ni only Iran, Yemen only? The rest of Arabic countries including Saudia wapo kinyume na Waarabu hao wa mchongo? Kwamba wewe Mtanzania unajua zaidi historia ya wale watu kuwazidi Saudia, Kuwait, Qatar nk?

Benzion Netanyahu​



Learn more

This article needs additional citations for verification. (October 2023)
Benzion Netanyahu (Hebrew: בֶּנְצִיּוֹן נְתַנְיָהוּ, IPA: [bentsiˈjon netaˈnjahu]; born Benzion Mileikowsky; March 25, 1910 – April 30, 2012)[2][3] was a Polish-born Israeli encyclopedist, historian, and medievalist. He served as a professor of history at Cornell University. A scholar of Judaic history, he was also an activist in the Revisionist Zionism movement, who lobbied in the United States to support the creation of the Jewish state. His field of expertise was the history of the Jews in Spain. He was an editor of the Hebrew Encyclopedia and assistant to Benjamin Azkin, Ze'ev Jabotinsky's personal secretary.
Benzion Netanyahu
Born
 
Hata hii habar ya pombe cjui mabikira cjui Muhammad na Allah cjui majini kwa wayahud ni upuuzi bro. Hata kuabudu jiwe la maka kwao ni story. Dini zote zinakubaliana kuna Mungu na yapo maisha baada ya kifo lakin namna ya kumfikia kila Dini ina njia zake. Ndio maana zinaitwa Abraham's.
Unatenganisha vipi pombe na uyahudi!?..hujakuta habari za majini na yesu mpaka useme wayahudi hawajui majini!?.. halafu majini,pombe,bikira siyo nguzo za uislam Kama utatu mtakatifu kwa ukiristo,lakini Kama haitoshi yesu aliahidi atakunywa pombe kwenye ufalme wa milele
 
Kasome kuanzia 1917.
Utajua mzozo nini.
mzozo wa mashariki ya kati ni dini mzee.. jiulize kwa nini ayatolah wa iran jana anasema muslim countries zijiunge kupambana na israel? kwa nini hajasema nchi zote za dunia kasema all muslims? vikundi vyote vya kupambana na israel mashariki ya kati vinaanzishwa na mashehe au viongozi wa kiislam mfano hamas na hezbola
 
mzozo wa mashariki ya kati ni dini mzee.. jiulize kwa nini ayatolah wa iran jana anasema muslim countries zijiunge kupambana na israel? kwa nini hajasema nchi zote za dunia kasema all muslims? vikundi vyote vya kupambana na israel mashariki ya kati vinaanzishwa na mashehe au viongozi wa kiislam mfano hamas na hezbola
Akili zako zinafanya kazi vizuri kaka!??
Iran kusema nchi za kiislam ziungane dhidi ya Israel haimaanishi mzozo ni wa kidini.
Uislam ndio una population kubwa hapo middle east.
Ila ugomvi ni ardhi na tawala.
Ndio maana nikakwambia nenda kasome kuanzia 1971 arab and jews crisis.
Utajua shida ilianzia wapi.
Israel ilikua iwe taifa tangu 1920 huko ila kuna yaliyotokea katika wakati huo.
 
Back
Top Bottom