sure,Ukisoma comments za pro Hamas kisha ukasoma na utitiri wa Threads za muanziasha mada utapata picha kamili kuwa hawa wamechanganyikiwa na hii vita.Sina uhakika kama wanapata hata muda wa kunywa maji.
Watu wanakufa kama nzige huko Gaza wao wapo hapa kupigana vita na kujipa matumaini/ ushindi kwa comments
Hamas ni kundi teuleNi watu hatari zaidi Duniani,wakimalizana na Israel wanawafuata Marekani huko huko kwao.Dunia inakwenda kushuhudia ujasiri wa ajabu wa Hamas ndiyo maana wakaazi wa Gaza wako wanakula bata hawana wasi wasi kwakuwa wanalindwa na Hamas.
Mazayuni yamekubali mziki.Yameuliwa sana hadi hayana ham wachana na kitu inaitwa HamasHiyo habari ni nzito sana, mazayuni wameanza kuomba poo wao wenyewe, sasa wanaiomba Egypt na Qatar ziongee na Hamas wasimamishe mapigano:
View attachment 2840461
.
lakini waiwakubalie tu kijinga, maana Wayahudi wakishachukuwa mateka wao wanataka wafanye unyama mkubwa sana.Mazayuni yamekubali mziki.Yameuliwa sana hadi hayana ham wachana na kitu inaitwa Hamas
Vikao pale UN vitaitishwa kila baada masaa 5...Najiuliza Kama Hamasi Apewe Zana Zakivita Zakutosha Pesa Hawa Mbwa watatoboa kweli !!
We bwege nenda kaharishe huo uvundo wako.Kwa mara ya mwanzo jeshi la IDF limelazimika kutumia parachuti maalum ili kuwafikishia mahitaji muhimu maelfu ya askari wake wanaokaribia kufa kusini ya Gaza.
Maamuzi hayo yamkuja wakati vita vya mitaani vinaonekana kuwamaliza nguvu askari hao na kushindikana kuwafikishia mahitaji hayo kwa njia ya kawaida ya barabara.
Majaribio ya matumizi ya malori na barabara yamekuwa magumu kwanzia kutokana na miundo mbinu yote kubomolewa na wao wenyewe na pia kutokana na kushambuliwa na kuchukuliwa mahitaji hayo kwa matumizi ya Hamas.
Njaa na ukosefu wa maji inatarajiwa itakuwa ni msaada mkubwa kwa Hamas kuwamaliza askari wa IDF hata bila matumizi makubwa ya nguvu.
Guided Parachute System Used By Israel For First Time In Gaza
View attachment 2840234
DahHata mimi nyuzi nyingi hazifunguki, sijui shida ni nini.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Heheee hem acha tuoneHii vita ina wiki tatu mpaka 4 zinebakia, Hamas bye bye.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Iliishagoma zamani sijawahi hata kuingia tokea niioneWewe ingia kabla haijaunganishwa.....
Mrusi ambaye alikua tegemezi la maustadhi amedhindwa.
Upo sahihi inanilazmisha nende huko ila shida nikienda huko page [emoji405] hua zaja nusu haziji zoteUtakuwa unakutana na ile hali ya kukulazimisha uifungue Thread kutumia browser ya kawaida.Ukifungua page zikagoma click uende page ya mwisho ya hiyo Thread itakuelekeza uifungue kwa browser unafungua unaendelea kuchangia na kusoma comments kama kawaida
Kwanini wanaogopa kupeleka kusuply kwa magariKwa mara ya mwanzo jeshi la IDF limelazimika kutumia parachuti maalum ili kuwafikishia mahitaji muhimu maelfu ya askari wake wanaokaribia kufa kusini ya Gaza.
Maamuzi hayo yamkuja wakati vita vya mitaani vinaonekana kuwamaliza nguvu askari hao na kushindikana kuwafikishia mahitaji hayo kwa njia ya kawaida ya barabara.
Majaribio ya matumizi ya malori na barabara yamekuwa magumu kwanzia kutokana na miundo mbinu yote kubomolewa na wao wenyewe na pia kutokana na kushambuliwa na kuchukuliwa mahitaji hayo kwa matumizi ya Hamas.
Njaa na ukosefu wa maji inatarajiwa itakuwa ni msaada mkubwa kwa Hamas kuwamaliza askari wa IDF hata bila matumizi makubwa ya nguvu.
Guided Parachute System Used By Israel For First Time In Gaza
View attachment 2840234
Tukuamini wewe au tuamini ukweli tunaouona kwenye uwanja wa vitaHii vita ina wiki tatu mpaka 4 zinebakia, Hamas bye bye.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Ila kadiri siku zinavyo enda jf inazidi kupoteza ubora wa kiteknolojia badala ya kuimalika zaidi sijui tatizo ni nn.Utakuwa unakutana na ile hali ya kukulazimisha uifungue Thread kutumia browser ya kawaida.Ukifungua page zikagoma click uende page ya mwisho ya hiyo Thread itakuelekeza uifungue kwa browser unafungua unaendelea kuchangia na kusoma comments kama kawaida
Jidanganyeni tuAllahu Akbar
Fake news,kawadanganye magaidi wenzio wa kiislamuKwa mara ya mwanzo jeshi la IDF limelazimika kutumia parachuti maalum ili kuwafikishia mahitaji muhimu maelfu ya askari wake wanaokaribia kufa kusini ya Gaza.
Maamuzi hayo yamkuja wakati vita vya mitaani vinaonekana kuwamaliza nguvu askari hao na kushindikana kuwafikishia mahitaji hayo kwa njia ya kawaida ya barabara.
Majaribio ya matumizi ya malori na barabara yamekuwa magumu kwanzia kutokana na miundo mbinu yote kubomolewa na wao wenyewe na pia kutokana na kushambuliwa na kuchukuliwa mahitaji hayo kwa matumizi ya Hamas.
Njaa na ukosefu wa maji inatarajiwa itakuwa ni msaada mkubwa kwa Hamas kuwamaliza askari wa IDF hata bila matumizi makubwa ya nguvu.
Guided Parachute System Used By Israel For First Time In Gaza
View attachment 2840234
hoja ni kwa hamas sasa, watapata wapi chakula. hapo sasa. kudondoshea chakula wapiganaji wako vitani ni jambo la kawaida, ila adui ndio kafungwa pande zote mbili hakuna chakula kuingia. jana walionyesha hamas wameteka roli la chakula cha msaada kwa mtutu wanajaribu kuwapelekea wapiganaji wao shida ni kwamba hawana pa kupita, kila sehemu ndio israel kasambaa all over anawasubiri watokeze kichwa toka kwenye mahandaki awapige risasi za kichwa. na kule ndani ya handakiz chakula kinazidi kuisha, maji hakuna. hata kutawaza watakuwa wanatawaza kwa mchanga.Kwa mara ya mwanzo jeshi la IDF limelazimika kutumia parachuti maalum ili kuwafikishia mahitaji muhimu maelfu ya askari wake wanaokaribia kufa kusini ya Gaza.
Maamuzi hayo yamkuja wakati vita vya mitaani vinaonekana kuwamaliza nguvu askari hao na kushindikana kuwafikishia mahitaji hayo kwa njia ya kawaida ya barabara.
Majaribio ya matumizi ya malori na barabara yamekuwa magumu kwanzia kutokana na miundo mbinu yote kubomolewa na wao wenyewe na pia kutokana na kushambuliwa na kuchukuliwa mahitaji hayo kwa matumizi ya Hamas.
Njaa na ukosefu wa maji inatarajiwa itakuwa ni msaada mkubwa kwa Hamas kuwamaliza askari wa IDF hata bila matumizi makubwa ya nguvu.
Guided Parachute System Used By Israel For First Time In Gaza
View attachment 2840234
Acheni kudanganyana huko masjid magaid wa kiislamu nyinyi ,subirini hao panda hamas wateketezweHiyo habari ni nzito sana, mazayuni wameanza kuomba poo wao wenyewe, sasa wanaiomba Egypt na Qatar ziongee na Hamas wasimamishe mapigano:
View attachment 2840461
.