Israel yatumia parachuti kuwadondoshea chakula maelfu ya askari wake waliozingirwa kusini mwa Gaza

sure,
you are very right
 
Mazayuni yamekubali mziki.Yameuliwa sana hadi hayana ham wachana na kitu inaitwa Hamas
lakini waiwakubalie tu kijinga, maana Wayahudi wakishachukuwa mateka wao wanataka wafanye unyama mkubwa sana.

Wamisri hao wanaotumiwa na Mayahudi kujadiliana, siwaamini kabisa.
 
Mimi furaha yangu ni hao mbwa wa kiarabu na wayahudi wakiendelea kuuwana....Dua zangu vita iendelee mpaka wamalazane kabisa mbwa hao......
 
We bwege nenda kaharishe huo uvundo wako.
 
Wewe ingia kabla haijaunganishwa.....
Mrusi ambaye alikua tegemezi la maustadhi amedhindwa.
Iliishagoma zamani sijawahi hata kuingia tokea niione
Mrusi nasikia vita imehamia CRIMEA wayukraine wanashambulia kutokea kila upande wanaitafta sochi sasa
 
Upo sahihi inanilazmisha nende huko ila shida nikienda huko page [emoji405] hua zaja nusu haziji zote
Ila ngoja nikitulia nitaifanyia kazi hili wazo lako
Imani yangu kwamba litanisaidia ahsante kwasasa
 
Kwanini wanaogopa kupeleka kusuply kwa magari
 
Hii vita ina wiki tatu mpaka 4 zinebakia, Hamas bye bye.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Tukuamini wewe au tuamini ukweli tunaouona kwenye uwanja wa vita
Kati yako na waziri mkuu wa Palestina nani wanawajua Hamas zaidi.Waziri mkuu keshasema hawawezi kumalizwa na haikubaliki kumalizwa.
 
Ila kadiri siku zinavyo enda jf inazidi kupoteza ubora wa kiteknolojia badala ya kuimalika zaidi sijui tatizo ni nn.

Uongozi wa jf unatakiwa kulizingatia hili na kulifanyia kazi ili walitatue.
 
Fake news,kawadanganye magaidi wenzio wa kiislamu
 
hoja ni kwa hamas sasa, watapata wapi chakula. hapo sasa. kudondoshea chakula wapiganaji wako vitani ni jambo la kawaida, ila adui ndio kafungwa pande zote mbili hakuna chakula kuingia. jana walionyesha hamas wameteka roli la chakula cha msaada kwa mtutu wanajaribu kuwapelekea wapiganaji wao shida ni kwamba hawana pa kupita, kila sehemu ndio israel kasambaa all over anawasubiri watokeze kichwa toka kwenye mahandaki awapige risasi za kichwa. na kule ndani ya handakiz chakula kinazidi kuisha, maji hakuna. hata kutawaza watakuwa wanatawaza kwa mchanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…