Israel yaua wapalestina 100 wanaosubiri msaada wa chakula

Israel yaua wapalestina 100 wanaosubiri msaada wa chakula

Myahudi hataki uchokozi tena ni usafi wa kina unafanyika
Hakuna dhulma inayodumu katika ulimwengu huu.,..ziko wapi dola jeuri za firauni,roma,persian,mongol dynast n.k? Zilikuwa ni dola zenye ngumu na zilizomiliki sehemu kubwa ya ulimwengu huu ila zilipotea vivyo hivyo udhalimu wa mayahudi na washirika wake utafutika tu ni suala la muda tu.
 
Hakuna dhulma inayodumu katika ulimwengu huu.,..ziko wapi dola jeuri za firauni,roma,persian,mongol dynast n.k? Zilikuwa ni dola zenye ngumu na zilizomiliki sehemu kubwa ya ulimwengu huu ila zilipotea vivyo hivyo udhalimu wa mayahudi na washirika wake utafutika tu ni suala la muda tu.
Usiishi kwa kukalili kila zama na kitabu chake
 
Ndio nikauliza mbona Hitler alipowachinja wayahudi million 6 hamkusema ni sababu walijificha? Ila mlisema ni genocide? Au ndio mkuki kwa nguruwe.......?)
Sina lengo kuingia kwenye hii mada moja kwa moja lakini najua kabisa na hata wewe unajua hapo juu kwenye bold unalinganisha vitu viwili tofauti.

Sijui kama utaweza kuweka hapa ushahidi wa Mzayuni kwenda kumchokoza Hitler lakini kinachoendelea huko sasa hivi ni kuna kichaa mmoja alijiona smart sana akatoka kwake akaenda kumchokoza kichaa mwenzake sasa alipogundua mwenzake hata sindano hazifanyi kazi tena analia na ulimwengu
 
Hamas ilishambulia sio Gaza, ni sawa na Al shabaab watulipue hapa Dar alafu eti twende Mogadishu tulipue mahospitali na mashule true watoto na wamama!! Sasa inahusiana nini?
Kama al shabab wanatulipua na huko mogadishu wanashangilia na allah akbar kama zote huoni adui yuko visible?ndio hicho kilichotokea huko Gaza na hata wewe mwarabu mweusi ulishangilia muujiza wa kuua ambao ndio anaouweza allah.
 
Qur’an ilishamaliza kila kitu, Mayahudi na Wakristo hawatakua radhi nasi mpaka tufuate mila zao

Ndio tuyaonayo na kuyashuhudia wakifurahia mauwaji dhidi ya ndugu zetu wapalestina, Iraq, Libya, Afghanistan, Sudan n.k. usiende mbali hapa hapa Tz wasio waislamu wanaishi pamoja na waarabu/waislamu miaka na miaka lakini most of them nyoyo zao bado zimejaa chuki, roho mbaya, ukatili. In short vifua vyao vimejaa chuki.
Eti sudan we kweli umeathiriwa na utumwa hadi kiimani kwa hiyo waarabu koko(ndugu zako) kuwaua waafrika weusi unaona ni sawa?upuuzi uliopitiliza!
 
Chombo kinachotoka habari ndio kile kile Cha kulingania dini ya mnyaanzi ambacho wanazuga wamembeba camera kumbe ni mabomu? Hata hivyo Intelijensia ya izrael ni Kali Sana hawafanyi makosa, wewe gaidi ukifanye mgonjwa, Wana wewe, ukifanye daktari Wana wewe, ukifanye mkimbizi Wana wewe, ukifanye aljazira Wana wewe
🤣🤣🤣🤣🤣 mkuu eti WANA WEWE 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 uvue nguo za kijeshi,ujifanye raia,ujifanye ripota,ujifanye mkunga,ujifanye mtoto 🤣🤣🤣🤣😂😊😊😂😂
 
Binafsi ninapo kumbuka kuwa hao wa Palestina ni just innocent civilian like me,wanauwawa kila siku huku Dunia mzima inaangalia bila kufanya chochote,Huwa najisemea life is meaningless.

I don't even see the hand of God there helping them.
inatafakarisha sana
 
Eti sudan we kweli umeathiriwa na utumwa hadi kiimani kwa hiyo waarabu koko(ndugu zako) kuwaua waafrika weusi unaona ni sawa?upuuzi uliopitiliza!

Waarabu wa kutoka wapi hao?

Nyie endeleeni na congo yenu, si mpo upande wa makafiri wa kizayuni, basi bakini na wacongo wenu mikatili ile inauwana kila siku
 
Binafsi ninapo kumbuka kuwa hao wa Palestina ni just innocent civilian like me,wanauwawa kila siku huku Dunia mzima inaangalia bila kufanya chochote,Huwa najisemea life is meaningless.

I don't even see the hand of God there helping them.
Hamas wako wapi? Israel wanapigana na nani? Au hakuna magaidi wa Hamas ni kwamba Israel anaamka anaua raia anarudi kukaa, kesho tena anachukua silaha anaua raia anakaa.
Kwahiyo hakuna vita ni mauaju ya raia tuu?
Wewe unaelewa vipi kuhusu hii vita?
 
WapaLestina kuua wayahudi ni kupigania haki.Wayahudi kuua wapalestina ni unyama.Inaingia akilini hii?
Ukizungumza inabidi uwe na takwimu za wangapi wanakufa huku na kule na nani alianza kumuua mwenzake.
Kwa maelezo yako ni kama kwamba unasema wapalestina wana haki ya kupiga zaidi kadri wanavyoweza ili wapate kusawazisha mahesabu.
 
Hamas wako wapi? Israel wanapigana na nani? Au hakuna magaidi wa Hamas ni kwamba Israel anaamka anaua raia anarudi kukaa, kesho tena anachukua silaha anaua raia anakaa.
Kwahiyo hakuna vita ni mauaju ya raia tuu?
Wewe unaelewa vipi kuhusu hii vita?
Kwani mkuu hamas si hao waarabu....wanaovua nguo za kijeshi na kuvaa kiraia.....au hamas ni sokwe..!!
MAARABU wana trick za kitoto kweli kukificha katikati ya raia.
Si walikua wanashangilia October 07
 
Hao wanaouawa si ndio yale magaidi yalioua watanzania sasa na wenyewe wakiuawa kuna shida gani si ngoja na wenyewe wapate wababe wao, shida iko wapi.

Bravo Israel and may Yahweh bless you and give you more strength to liquidate those satanic terrorists.

Tuonyeshe picha ya myahudi mweusi alieuawa na freedom fighters!

Ikiwa lengo lake kuwasadia makafiri wenzie wa kizayuni na ikapelekea kifo chake, basi freedom fighters/Hamas wapo sahihi kufanya hivyo, itakua sio akili nimuangalie adui akiuwa raia then nimuangalie tu.
 
Kama kawaida yao, ukishazoea kuua utaendelea kuua tu.

Wale wanaoitwa Taifa teule wameendelea na kazi yao ya kufanya wanachoweza kwa ufanisi mkubwa. Leo wameua wapalestina masikini 100, wasio na silaha, ambao wana njaa wakati wakisubiri msaada wa chakula. Wanajeshi wa Israel limefyatulia kundi la watu risasi na kuua wapalestina 100.

Haya yakiwa yanafanyika kuna watu wanafurahi, wanapenda, wanachekelea na wanatamani hawa wapalestina wasio na hatia wanedelee kuuawa

Taarifa za hilo tukio unaweza kuipata hapa:


1 Israelites=1000 Palestine 😭😭😭 hii ni toka miaka na miaka maelfu ndio maana haya Mazayuni sio yakuchukua poa ukiwagusa.. kiukweli mpaka vita ikwishe Palestine watakufa wengi sana nihuzuni na kilio kila nyumba.😭😭😭
 
1 Israelites=1000 Palestine 😭😭😭 hii ni toka miaka na miaka maelfu ndio maana haya Mazayuni sio yakuchukua poa ukiwagusa.. kiukweli mpaka vita ikwishe Palestine watakufa wengi sana nihuzuni na kilio kila nyumba.😭😭😭

Nusra ya Allah ipo karibu, wapalestina hawataisha, watakaoisha ni hao makafiri waliolaaniwa.
 
Nusra ya Allah ipo karibu, wapalestina hawataisha, watakaoisha ni hao makafiri waliolaaniwa.
Nani kakudanganya.....sababu huyo allah mwenyewe nawachukia wayahudi ila kashindwa kuwamaliza.
Sasa hapo tusubiri tuone kari ya allah
na yehova nani mbabe.
NB: KAMA UNAVYOWAITA MAKAFIR NA WAO WANAKUITA MTUMWA WA DINI YA KIARABU NA TAMADUNI ZAKE
 
Back
Top Bottom