Je, umewahi kuusikia Utamaduni wa wanaume wa Kigoma kujipiga bomba ili kuongeza nguvu za kiume?

njia hiyo hutumika kujisafisha mtu akiwa na shoo kwa mpalange
 
Hawajabong'oa vizuri hao,, kuna picha ngoja niitafute


Hiyo hapo,, umeona kiuno kilivyobinuliwa ndivyo na wapigwa bomba inabidi wabong'oe namna hiyo hiyo, kumbuka pia matako hupekenyuliwa ili tundu lionekane,, sasa hapo ndo panapokuwa pagumu na kitendo cha bomba kuingizwa dawa kumiminwa na kuchomolewa,,,, aaaaahh kiukweli nilichoka niliuliza maswali mengi ila na wao walinishangaa ukubwa wote sijapigwa bomba waliniona kama mchafu mara nitakuwa naumwa mgongo sana nk
 
jamani jamani subirini basi tumalize hata wiki
 
Duh, hii hatari! Wanatumia kilainishi auπŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚Watu wa kigoma heshima kwenu, Kina Mondi +Kiba πŸ˜‚
 
hii sio zamani
hadi sasa ukanda wa kigoma na katavi inafanyika
wao wanaita kujiinika, mara ya kwanza nilishangaa jamaa ana dalili za marelia akanambia ngoja akachukue dawa ajiinike (kupiga bomba)
ko wanafanya sana sio zamani hadi leo
Wakipatwa na Malaria? Kwanini wasitumie mseto?
 
Ila wee msenge ni comedian, unachekesha kishenzi utavunja watu mbavu
 
Ila wee msenge ni comedian, unachekesha kishenzi utavunja watu mbavu
Ishu yenyewe inafurahisha,, sina ukomedi wowote,, sasa ukiwa eneo la tukio, wenyeji wanakuwa bize na serious wenyewe na waona ufahari kufanya hivyo,, mgeni unakuwa umetumbua macho ukilinganisha tukio lenyeww na ishu za kugeuzana nyuma halafu wao hawaoni ishu kabisa,,, aisee nilishangaa sana sana yani,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…