Jeshi la Polisi: Bado tunamsubiri Tundu Lissu na dereva wake ili kufanya uchunguzi

Kupigwa upigwe wewe alafu kuhojiwa unataka wakahojiwe wengine ??

Yani aliyekuwa anakuendesha unamficha mazima kabisaaa alafu nyumbu wanaona hili ni sawa?

.
Kuna kitu hapo hakipo sawa.

Mazingira ya kisiasa wakati huo yalikuwa yameweka upuuziaji wa issues za matishio waliyokuwa wanakumbana nayo wapinzani.

Lisu aliwahi kutoa taarifa kwa umma kuhusu kufuatiliwa na watu asiowajua na hali hiyo kwa mwenye weledi (polisi) alipaswa kukaa na mlalamikaji wakaweka.mtego kumnasa anayemfuatilia.

Pia ukosoaji wa Lisu ulipelekea prkpaganda nyingi hasi dhidi yake. Kama Jeshi la Polisi wangekuwa wanaheshimu na kulinda katiba na sheria wangetumia weledi wao kung'amua kwwmba inawezekana maadui wa Taifa wakamdhuru Lisu kisha nchi ikaingia doa. Wangemuwekea ulinzi hata usioonekana lakini mhusika angejulishwa.

Kitendo cha yeye kushambuliwa kisha CCTV zikaondolewa eneo la tukio, maana inayojengeka hapo ni kwamba tukio lilipangwa likafeli.

Ningekuwa Kingai ningeanza na wahusika wa CCTV kujua kulikoni waliziondoa.

Je endapo angekuwa amekufa kwenye tukio hilo, bado polisi wangeng'ang'ania kutaka marehemu afufuliwe wapate maelezo ya tukio zima?

Nina mashaka sana na usalama wetu wa ndani ya nchi. Hususani mtu anapokuwa na mawazo mbadala yanayoweza kuwafungua macho na mtazamo wananchi ili waweze kuendelea vyema anaweza kuundiwa zengwe hata la ujqmbazi akauawa na shuvhuli ikaishia hapo.

Tusiendelee kushabikia unyumbu na magamba bali tuishabikie nchi iyohitaji kila.mtu kutumia nafasi yake kikamilifu kuiletea maendeleo yake.

CCM inajifichama ndani ya dola ndo maana baadhi ya wateule wa kisiasa kupitia CCM wametokea kwenye majeshi yetu ambapo wenye akili wanelewa hiyo ni rushwa ya kisiasa.....
 
Nimesoma hii kitu kwa aibu kubwa sana! Kama ni kweli msemaji wa Jeshi kasema hayo maneno basi ni hatari kubwa sana, kuna tatizo kubwa mno mno ktk chombo hiki na kinahitaji kuvunjwa na kuunda Jeshi jipya la polisi!
 
Unaamini taarifa za Lisu ? Kwani ametoa taarifa mara ngapi kwamba Tanzania itashitakiwa MIGA , je ilishitakiwa? Lisu ametoa taarifa mara ngapi kwamba anarudi Tanzania, he amerudi?

Unaanza na CCTV wakati dereva wa Lisu yupo amefichwa?
Ukifuatilia posts zangu humu jukwaani utaelewa mimi ninapingana na Lisu kwenye mengi sana. Nina kadi hai ya CCM na ninaijua siasa kwa sababu nimeishiriki tangu nikiwa mdogo.

Linapokuja suala la UTU huwa naiweka siasa pembeni na kupambania utu kwanza.

Haya mambo ya MIGA na mawazo tofauti na ideleogies za CCM yasitumike kujustify madhila dhidi ya utu wa Watanzania wenzetu. Jirani anayenitukana sitoacha kumsaidia anapopatwa na dharura inayogusa utu wake. Njia ya kumfundisha mtu ambaye kutwa kuchwa anakuharibia ni kusimama naye wakati wa taabu zake ataelewa na kukuelewa.


Hivyo mkuu mambo ya MIGA yanahusikaje kwenye kumhukumu #TunduLisu?
 
Kupigwa upigwe wewe alafu kuhojiwa unataka wakahojiwe wengine ??

Yani aliyekuwa anakuendesha unamficha mazima kabisaaa alafu nyumbu wanaona hili ni sawa?

.
Nadhani walifanya jambo la maana sana kumficha, lasivyo waliowakosakosa wangemmaliza ili kuficha ushahidi. Pia huenda walimshuku/walimjua aliyetenda hilo na wakaona kabisa ni ngumu kuchukuliwa hatua kutokana na cheo chake, kwaiyo ikabidi kujificha kuliko kugombania kisu na aliyeshika mpini.​
 
Kupigwa upigwe wewe alafu kuhojiwa unataka wakahojiwe wengine ??

Yani aliyekuwa anakuendesha unamficha mazima kabisaaa alafu nyumbu wanaona hili ni sawa?

.
Wewe ni mmojawapo wa wasiojulikana,acha kumtishia Lissu zama zimeshabadilika.
 
Unaamini taarifa za Lisu ? Kwani ametoa taarifa mara ngapi kwamba Tanzania itashitakiwa MIGA , je ilishitakiwa? Lisu ametoa taarifa mara ngapi kwamba anarudi Tanzania, he amerudi?

Unaanza na CCTV wakati dereva wa Lisu yupo amefichwa?

..nyinyi mmelishwa propaganda.

..kwa taarifa yako serikali ilishtakiwa miga.

..jiulize kwanini serikali iliachana na madai ya usd 191 billion dhidi ya acacia.

..jiulize kwanini ripoti za mruma na osoro zimefichwa hakuna anayezirejea.
 
Unaamini taarifa za Lisu ? Kwani ametoa taarifa mara ngapi kwamba Tanzania itashitakiwa MIGA , je ilishitakiwa? Lisu ametoa taarifa mara ngapi kwamba anarudi Tanzania, he amerudi?

Unaanza na CCTV wakati dereva wa Lisu yupo amefichwa?
Sukuma gang unataka kabila la Wasukuma liendelee kutukanwa mpaka lini wakati kule kuna watu wengi wenye akili timamu ila ninyi mliozaliwa gamboshi muda wote mnafikiria mauaji tu na damu za watu pumbavu kabisa.
 
Mbona Kama vichekesho, yaani wawakamate wahanga wa tukio la uhalifu na kuwahoji?;

Kwamba police wanahisi huyo Lissu na dereva wake lile tukio wamejitengenezea sio la kweli au
 
Mungu wao aliyetoa maelekezo ya kuuwawa lisu kafa mwenyewe, walioratibu zoezi Bashite kipilimba na wenzake wapo ni kuanza nao hata kwa njia za jadi
 
Tushitakiwe MIGA alafu Lisu akae kimya?

..kwa hiyo Lissu ndio chanzo chako pekee cha habari?

..mbona hapa JF na ktk vyanzo mbalimbali taarifa za kesi ya acacia dhidi ya Tz zilikuwepo?

..unafahamu kwanini serikali iliachana na madai ya usd 191 billion dhidi ya acacia?

..umewahi kujiuliza kama tungelipwa kitita cha usd 191 billion leo tungehitaji tozo au royal tour?

Cc Nguruvi3, Proved
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…