Uchaguzi 2020 Kamati ya Maadili yatolea ufafanuzi adhabu dhidi ya Lissu kumfungia kampeni. Yasema ameadhibiwa na Kamati ya Vyama 15 vinavyoshiriki Uchaguzi Mkuu

Uchaguzi 2020 Kamati ya Maadili yatolea ufafanuzi adhabu dhidi ya Lissu kumfungia kampeni. Yasema ameadhibiwa na Kamati ya Vyama 15 vinavyoshiriki Uchaguzi Mkuu

Hapo hakuna cha kamati ila n zengwe lilifanywa na CCM Ili wapumue kutokana na spana za Tundu lissu
 
Lisu anafanya makusudi kuvuruga uchaguzi, kwani anajua hawezi kushinda. Taminio lake ni kuleta vurugu ili kuchafua nchi kwa wahisani ionekane tanzania hakuna haki wala demokrasia. Hila zake hazitafanikiwa
Mbeleko za chama mbogamboga ndizo zinazotumiwa kuvuruga uchaguzi na sii vinginevyo.Wajitafakari kabla muda haujawaacha
 
Mh Lisu songa mbele wananchi tupo bega kwa bega na wewe. Ukilegeza tu ujue umetupoteza

ACT + CDM, NEC hawana nia ya uchaguzi wa haki wala ulio huru.

Wanataka vurugu.

Kama mbwai huu ni wakti muafaka wa kuwakubalia.
 
Hakuna haja ya kupanic.
Maneno hayajawahi muua mtu!
Mkuu 'Jidu', pamoja na kwamba sijaelewa maana hasa uliyonuia kuiwasilisha hapa; lakini nikuhakikishie tu kuwa "maneno huua sana."

Kutokuelewa kwangu nadhani kunachangiwa na majibishano tuliyowahi kuyafanya hapa JF, kati yako na mimi, na ukanifahamisha bila ya shaka uliposimamia katika mambo haya, na nikaheshimu msimamo huo.
Hapa kidogo ni kama unanichanganya.
 
KAMATI YA MAADILI: Baadhi ya watu kutaka kuwaaminisha umma wa watanzania kwamba mgombea huyo ameadhibiwa na tume ya Taifa ya uchaguzi, ukweli ni kwamba bwana Lissu ameadhibiwa na kamati amabayo inajumuisha wawakilishi wa vyama vya siasa vinavyoshiriki uchaguzi wa kiti cha Rais.

Wajumbe 15 kutoka vyama vya Ada-Tadea, CUF, SAU, UPDP, CHADEMA, CHAUMMA, CCM, NCCR-Mageuzi, DP, UMD, ACT-Wazalendo, NRA, Demokrasia Makini, ADC na AAFP ndio waliotoa adhabu kwa bwana Tundu Lissu.

Kamati pia ina mjumbe kutoka serikalini na mjumbe kutoka tume ya Taifa ya uchaguzi ambaye ni mwenyekiti wa kamati.

Ifahamike kwamba katika kikao hicho, kulikuwa na mawakili wawili nguli kutoka chama cha Demokrasia na maendeleo(CHADEMA) waliosimama kutetea hoja ya bwana Tundu Lissu.

Walisimama mbele ya kamati kujibu hoja zilizokuwepo na kudai kwamba Tundu Lissu na CHADEMA ni vitu viwili tofauti.

Kwa kuzingatia adhabu zilizoainishwa katika kanuni ya 5.11 ya maadili ya uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya mwaka 2020 mgombea huyo amepewa adhabu ya kutofanya kampeni kwa muda wa siku 7 kuanzia leo tarehe tatu Octoba mpaka tarehe tisa Octoba. Hii ina maana kwamba haruhusiwi kufanya kampeni zake yeye mwenyewe wala kwa ajili ya mgombea mwingine awaye yeyote.

Endapo mgombea huyo atadharau uamuzi wa kamati na kufanya kampeni atambue kuwa kamati imepewa mamlaka ya kuelekeza makosa mengine kwenye vyombo vingine kadri itakavyoona inafaa kama ilivyoainishwa kwenye kanuni ya 5.7L ya maadili ya uchaguzi wa Rais, wabunge na madiwani ya mwaka 2020. Ikimbukwe kuwa katika kipindi cha uchaguzi, sheria nyingine za nchi hazijaacha kufanya kazi.

==============


Hivi punde kamati imetoa sababu na imejibu baadhi ya hoja za Lissu kuhusu adhabu hiyo

Kamati inasema
(1)Kwamba kwa mujibu wa kanuni bsrua za wito hupeekrwa katibu mkuu wa chama maana huyo ndo wana anuani zake, na kamati haitunzi anuani za mtu binafsi

(2) Kamati inasema tsrehe 24 September Lissu ashapelekewa malalamiko na chama cha SAU yaliyokuja kwa mtindo huu huu yalivyokuja safari hii na Lissu akayajibu, Kamati inashangaa iweje leo Lissu akosoe utaratibu huu, Kamati imumuita Lissu ni Muongo

(3) Akijibu maswali ya waandishi Ofisa kamati amesema kwa adhabu hii aliyopewa Lissu haruhusiwi kupanda majukwaani na kuwanadi Madiwani au Wabunge maana kitendo cha yeye kupanda majukwaani tu inahesabika kuwa kafanya kampeni

(4)Msomaji wa Taarifa ya kamati asema kuwa adhabu inamhusu Lissu tu, haihusu mawakala wake, kwa hiyo watu wengine wenye dhamana ya kumpigia kampeni wanaruhusiwa kuendelea kumpigia kampeni

Kwa taarifa zaidi tazama video hii hapa:
View attachment 1588923View attachment 1588924View attachment 1588925

Mimi nilikua sijui kama vyama vyote hivi ni matawi ya CCM
 
Hivi vyama vingine tofauti na ACT Ni CCM kwenye mavazi tu, wao na tume Ni ndugu damu moja. Sasa Nani anayeangaika na SAU au NRA
 
YANI VYAMA VILIVYOSHIRIKI KWENYE KAMATI YA MAADILI VINGI VYAO HAVIIPENDI CHADEMA, NA NDIO VILE HATA HAVIJAWAHI KUTOA MBUNGE NA VIKISIKIA TU CHADEMA WANASUSA HIVYO NDIO VINAJITOKEZA KUSHIRIKI.
LEO HII VISHIRIKI KUMUADHIBU MGOMBEA WA CHADEMA UTEGEMEE KABISA VITAMTENDEA HAKI?
NEC WALIKAA KUSUBIRIA POLISI WAMWADHIBU LISU ILA POLISI WAKAMSAMEE, KUMBE MSAMAHA WAO ULIWAUDHI SANA NEC, NA MBAYA ZAIDI NI BAADA YA KUONA CHADEMA WANASHANGILIA,HIVYO WAKAITISHA KIKAO CHA FASTA FASTA KUWAKOMOA.
Mkuu

Kitaalamu kamati ni flawed....

Maana haiwezekani kamati iundwe na mahasimu wa kisiasa halafu wapitishe hukumu fair kwa mmojawapo wa mahasimu kwenye group hilo....Haiwezekani

Kikundi cha mahasimu,kesi ikienda kwao ya hasimu mmojawapo ni lazima huyo member aondolewe by elimination ili wabaki mahasimu wachache going forward...

Haiwezekani eti wasimtoe,maana kumtoa ni faida kwao inapunguza ushindani waliobaki wanashidana wenyewe baada ya mshinda mmoja kuondoka inakua rahisi zaidi kwao....

Hii kamati ni upumbavu juu ya upumbavu...na alietoa wazo la muundo wake ni wa hovyo ana akili mbovu kabisa..ambae infact ni Mahera na wenzake humo NEC ambao ni maCCM yaliyowekwa na Mtakatifu Yohana himself....

Hakuna la maana....Lissu aende nao kibishi hivyo hivyo hakuna namna!
 
Mkuu 'Jidu', pamoja na kwamba sijaelewa maana hasa uliyonuia kuiwasilisha hapa; lakini nikuhakikishie tu kuwa "maneno huua sana."

Kutokuelewa kwangu nadhani kunachangiwa na majibishano tuliyowahi kuyafanya hapa JF, kati yako na mimi, na ukanifahamisha bila ya shaka uliposimamia katika mambo haya, na nikaheshimu msimamo huo.
Hapa kidogo ni kama unanichanganya.
Mkuu maana yangu hapa ni mwachie Lissu aongee apendavyo.
Maneno huwa yanakurudia mwenyewe.
Ni kweli, maneno huwa yanaua yakitumiwa negatively, ila mtu akipuuzwa na maneno yake mwishoni anakosa maana na kuwa irrelevant.

Lissu aliwahi kumtukana Mwalimu, leo kaona maana ya kwenda kulala Butiama.
Alipotukana hata familia ya Mwalimu walimpuuza, leo kapiga hodi huko kupiga picha na kina Madaraka, wamempokea bila hiana.

So far mambo yameenda vizuri, Lissu alitegemea confrontation, anaona watu wanamsare tu.
Aachiwe aongee sana, mwisho wa siku hata sera zake hazijulikani.
 
Chama cha PRI cha Mexico kiliongoza kwa miaka 71, kuanzia mwaka 1929 hadi 2000. Bila shaka na chenyewe kilidhani kuwa hakitaweza kushindwa lakini hatimae wananchi walikikataa. Vyama vya KANU, UNIP cha Zambia ambacho mtoto wa Kaunda hajawahi kushinda zaidi ya 1% n.k. navyo viliamini vitakuwepo milele. Kosa ambalo linafanywa ni kudhani kuwa ushindi wa Lissu, Maalim, Chadema na ACT utatokana na kutangazwa na NEC na wabunge na madiwani wao kushinda viti vingi. Hii sio kweli. Hawa kwa kuonyesha mwamko mkubwa wa wananchi kutokubaliana na hali ilivyo ni ushindi tosha na ishara kuwa CCM wasipokuwa waangalifu, kama si leo kesho, watajikuta wanakataliwa kiasi cha kushindwa kulazimisha ushindi. Kwa wale ambao wanakitakia mema, watajua kuwa kuna haja ya kubadilika. Haya tumeanza kuyaona katika matamshi ya viongozi wake na hii ni faida kwa wote. Ukweli ni kuwa mpaka sasa hivi upinzani ambao ulisemwa kuwa umeishakufa umeshinda hata kama hawatapata urais au uongozi wa bunge.

Amandla...
Ndio maana ya uchaguzi kuwa anayeshinda anatangazwa. Ila kwa assessment based na hali ilivyo, Lissu atashindwa na hatakubali kushindwa. Siku zote huwa kuna correlation kati ya ushindi wa viti vya ubunge na kura za urais. Huwa haiwezekani mtu adai kushinda urais halafu ukiangalia viti vya ubunge alivyoshinda haviakisi ushindi wa kura za urais. Kumbuka kura za ubunge ni rahisi hata kila chama kujihesabia na kujua kana kilishinda au la.

Watu wanadhaniwa kuwa ni wengi katika mIkutano ya Lussu ndio hao hao wanaojaa katika mikutano ya CCM. Angalia tu mtaji wa wanachama wa kila chama kwanza kabla ya kufikiria wapiga kura wengine.
 
Tume hii iliyojaa doublestand nani mwenye akili ataiamini?!
Lisu hakusimamishwa na tume ni kamati ya maadili yenye vyama 15 ndio ilimshimamisha ila yeye anapotosha eti tume ndio ilimsimamisha!!! maelezo kamili hayo hapo

 
Ndio maana ya uchaguzi kuwa anayeshinda anatangazwa. Ila kwa assessment based na hali ilivyo, Lissu atashindwa na hatakubali kushindwa. Siku zote huwa kuna correlation kati ya ushindi wa viti vya ubunge na kura za urais. Huwa haiwezekani mtu adai kushinda urais halafu ukiangalia viti vya ubunge alivyoshinda haviakisi ushindi wa kura za urais. Kumbuka kura za ubunge ni rahisi hata kila chama kujihesabia na kujua kana kilishinda au la.

Watu wanadhaniwa kuwa ni wengi katika mIkutano ya Lussu ndio hao hao wanaojaa katika mikutano ya CCM. Angalia tu mtaji wa wanachama wa kila chama kwanza kabla ya kufikiria wapiga kura wengine.
Kwani ni mse aji wa muungano was mbeleko za hasimu wake.
 
Lisu hakusimamishwa na tume ni kamati ya maadili yenye vyama 15 ndio ilimshimamisha ila yeye anapotosha eti tume ndio ilimsimamisha!!! maelezo kamili hayo hapo


Bwana mapesa alianza kuongea habari ya kupigwa,baadae akaja na habari ya maadili ,kesho sijui ataamuka nalipi.
 
KAMATI YA MAADILI: Baadhi ya watu kutaka kuwaaminisha umma wa watanzania kwamba mgombea huyo ameadhibiwa na tume ya Taifa ya uchaguzi, ukweli ni kwamba bwana Lissu ameadhibiwa na kamati amabayo inajumuisha wawakilishi wa vyama vya siasa vinavyoshiriki uchaguzi wa kiti cha Rais.

Wajumbe 15 kutoka vyama vya Ada-Tadea, CUF, SAU, UPDP, CHADEMA, CHAUMMA, CCM, NCCR-Mageuzi, DP, UMD, ACT-Wazalendo, NRA, Demokrasia Makini, ADC na AAFP ndio waliotoa adhabu kwa bwana Tundu Lissu.

Kamati pia ina mjumbe kutoka serikalini na mjumbe kutoka tume ya Taifa ya uchaguzi ambaye ni mwenyekiti wa kamati.

Ifahamike kwamba katika kikao hicho, kulikuwa na mawakili wawili nguli kutoka chama cha Demokrasia na maendeleo(CHADEMA) waliosimama kutetea hoja ya bwana Tundu Lissu.

Walisimama mbele ya kamati kujibu hoja zilizokuwepo na kudai kwamba Tundu Lissu na CHADEMA ni vitu viwili tofauti.

Kwa kuzingatia adhabu zilizoainishwa katika kanuni ya 5.11 ya maadili ya uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya mwaka 2020 mgombea huyo amepewa adhabu ya kutofanya kampeni kwa muda wa siku 7 kuanzia leo tarehe tatu Octoba mpaka tarehe tisa Octoba. Hii ina maana kwamba haruhusiwi kufanya kampeni zake yeye mwenyewe wala kwa ajili ya mgombea mwingine awaye yeyote.

Endapo mgombea huyo atadharau uamuzi wa kamati na kufanya kampeni atambue kuwa kamati imepewa mamlaka ya kuelekeza makosa mengine kwenye vyombo vingine kadri itakavyoona inafaa kama ilivyoainishwa kwenye kanuni ya 5.7L ya maadili ya uchaguzi wa Rais, wabunge na madiwani ya mwaka 2020. Ikimbukwe kuwa katika kipindi cha uchaguzi, sheria nyingine za nchi hazijaacha kufanya kazi.

==============


Hivi punde kamati imetoa sababu na imejibu baadhi ya hoja za Lissu kuhusu adhabu hiyo

Kamati inasema
(1)Kwamba kwa mujibu wa kanuni bsrua za wito hupeekrwa katibu mkuu wa chama maana huyo ndo wana anuani zake, na kamati haitunzi anuani za mtu binafsi

(2) Kamati inasema tsrehe 24 September Lissu ashapelekewa malalamiko na chama cha SAU yaliyokuja kwa mtindo huu huu yalivyokuja safari hii na Lissu akayajibu, Kamati inashangaa iweje leo Lissu akosoe utaratibu huu, Kamati imumuita Lissu ni Muongo

(3) Akijibu maswali ya waandishi Ofisa kamati amesema kwa adhabu hii aliyopewa Lissu haruhusiwi kupanda majukwaani na kuwanadi Madiwani au Wabunge maana kitendo cha yeye kupanda majukwaani tu inahesabika kuwa kafanya kampeni

(4)Msomaji wa Taarifa ya kamati asema kuwa adhabu inamhusu Lissu tu, haihusu mawakala wake, kwa hiyo watu wengine wenye dhamana ya kumpigia kampeni wanaruhusiwa kuendelea kumpigia kampeni

Kwa taarifa zaidi tazama video hii hapa:
View attachment 1588923View attachment 1588924View attachment 1588925


Aibu sana
 
YANI VYAMA VILIVYOSHIRIKI KWENYE KAMATI YA MAADILI VINGI VYAO HAVIIPENDI CHADEMA, NA NDIO VILE HATA HAVIJAWAHI KUTOA MBUNGE NA VIKISIKIA TU CHADEMA WANASUSA HIVYO NDIO VINAJITOKEZA KUSHIRIKI.
LEO HII VISHIRIKI KUMUADHIBU MGOMBEA WA CHADEMA UTEGEMEE KABISA VITAMTENDEA HAKI?
NEC WALIKAA KUSUBIRIA POLISI WAMWADHIBU LISU ILA POLISI WAKAMSAMEE, KUMBE MSAMAHA WAO ULIWAUDHI SANA NEC, NA MBAYA ZAIDI NI BAADA YA KUONA CHADEMA WANASHANGILIA,HIVYO WAKAITISHA KIKAO CHA FASTA FASTA KUWAKOMOA.

Ndizo zinazoitwa "kangaroo courts" kazini hizo.

Hukumu zake waende nazo Lumumba.

Tutakutana the Hague, inshallah.
 
Back
Top Bottom