Katikati ya harakati za 50/50 kinyume chake wanawake wengi siku hizi hawana furaha

Katikati ya harakati za 50/50 kinyume chake wanawake wengi siku hizi hawana furaha

Pambaneni mnavyoweza ila kinachowauma ni kuambiwa ukweli kwamba MEN HAVE LOST THEIR MANHOOD DUE TO INTIMIDATION. Mnaogopa wanawake kujipambania mnadhani wanachukua nafasi zenu kumbe kiuhalisia ni kwamba hamtaki kuwa challenged hata kama hamna akili!
 
Ndo ujue kwamba ni rahisi kuwa mvivu kuliko kuwa mchapakazi....
2. Toka jiwe aingie madarakani kuna wimbi kubwa tu la vijana ambao ajira hawakupata na sahizi waajiri nao wanatoa peanuts kama pay so watu wenye kipato kidogo ni wengi kuliko wenye kipato cha kati
3. Na waliojiajiri, kujipata sio kitu ya muda mfupi it takes time lakini ukiwa na mke mwenye ajira inakua rahisi kwako kupambana bila kuwaza ishu ndogo ndogo za nyumbani.
4. Maisha ya sasa ni asilimia chache sana ya familia zinaweza kuishi standard kwa kipato cha mtu mmoja, so badala ya kukaa kulalama humu kwenye majukwaa it's high time watu waona namna gani wanaweza kuishi kwa kushirikiana na kubalance majukumu ya kiasili ya kila mmoja.
5. Wanawake wanaojuta kuacha kazi na kuwa housewives ni wengi kuliko wanaofurahia hiyo privilege, sababu kwa wengi imefungua mlango wa manyanyaso na kudharaulika mixer kuishi kwa hofu provider akifariki kabla yako unaishije na wanao

So kama wewe umeweza kumuachisha mkeo kazi na unaishi nae vizuri humnyanyasi kwa namna yeyote, hutombi nje hovyo hovyo na umeweka msingi mzuri hata ukapata changamoto yeyote ukashindwa kuingiza pesa familia itasimama imara... HONGERA
Mimi kwangu cha tofauti nachokiona ni kwamba in our generation, we were taught kwamba Men are providers and leaders, you need to have big visions, work harder kwa sababu kazi kubwa kwako ni ku provide kwa familia yote bila kujali mke wako ana hela au hana. Mke Ni msaidizi wa everything except kukusaidia ku provide sufficiently for your family. Familia ni za wanaume kuziendesha, sijui kama kizazi hiki bado mambo yako hivyo maana wanawake wamekuwa wajuaji mno.
Anyways, ukishakuwa kiongozi, utatimiza majukumu yako bila kuwa na uhitaji wa usaidizi. Mfano me, Mke wangu usaidizi wake mkubwa kwangu ni kulea wanangu vyema, kunishauri when its needed, kulinda mali zangu nikiwa sipo .

Ndoa siku hizi zimekuwa ngumu sababu hio hio ya 50/50,
Mimi naongelea kitu ambacho kipo na nimekiona kwa ndugu sasa kwanini mkatae wakati nyinyi pia mna share experience zenu. Umesema wenzangu wanaongea wanachokiona sasa kwanini na mimi nisiongee ninachokiona?
Just because umepitia vitu negative usi block your mind kushindwa kuamini kwamba vipo vitu positive na vizuri. Zaidi zaidi ni kwamba Mungu akikujalia unaweza na wewe ukavi experience one day. Me nakuombea kiukweli maana hata kama ni adverse effects za PTSD, sijawahi kuona zipo intense kama navyoziona kwako
 
Wanaume tunaowataka ni wale wanaojiamini, sio hawa washinda vilabuni.

Alafu feminism sijui nyie mnaitafsiri vipi maana mi kwangu ni inapplicable kabisa.

Kikubwa wanaume kazaneni kwenye kukaa kwenye nafasi zenu. Hamjajua tu jinsi ya ku ishi na hao wanawake wasomi nadhani dunia haikuwaandaa.

Naona kama nguvu inayotumika kutaka kumshusha mwanamke ni kubwa kuliko iliyotumika kumuinua.
Ubaya wa hii feminism inawaaminisha wanawake kuwa wanajiweza bila uwepo wa mwanaume.
 
Saizi unarudi tena kwenye point yangu.

Sasa kama mnajua sababu za wanawake kujipambania na mnajua kwamba hata wanawake wenye pesa wananyanyaswa kwanini mnaruhusu wenzenu wakashfu wanawake kuwepo makazini?

Ni labda wewe ndo unaenda kama kipofu au vipi. Wenzako wanasema
Lengine wewe unaongelea lengine. Mimi na deal na hao wanaosema mwanamke anatakiwa akae nyumbani kwasbabu ni nature. Hapo ndo nnapotamani kulipua bomu humu. Wewe umesema sababu za mwanamke kupambana. Wenzio wanasema mwanamke ameumbwa akae nyumbani. How pathetic. Waelezee na wengine hizi sababu tufunge huu mjadala. Otherwise tutabishana hadi asubuhi
Kwa nilivyowaelewa mimi
Narudi sasa kwenye point.
Wanakwambia mwanamke anatakiwa akae nyumbani alee watoto. That means hakuna kipato anachoingiza anasubiri cha mume. Akifiwa na mume wake hao ndugu no matter ni mashemeji au wamama wanakuja kumpokonya hizo mali wanasahau kwamba hakuwa na kazi so mnategemea ajipange lini ili aanze kutafuta ela kwa ajili ya watoto wake. Na muda wote mume alikua anatembeza kengele jamii forum anakwambia mwanamke ameumbwa kukaa nyumbani tu. Yani mnachefua

Kama mume angemruhusu huyo mwanamke afanye kazi hata hizo mali zikipotea mwanamke anakua na pa kuanzia. Sijui ata kama mnaelewa.
Kuna watu wamesema point zao kwa namna tofauti wakiwa na sababu zao.
Kwasababu kila mtu ana uelewa wake na sababu zake.
Wapo wanaowaachisha kazi wake zao kwaajili ya kuwalinda na kulinda ndoa zao,maana kuna wanawake wanafanya kazi mazingira magumu hata kama ya ofisini kiasi wanashindwa kupata muda wa kuhudumu ndoa zao.
Hivyo unakuta mume anaona bora amuachishe mke ndoa kwa wenye akili zaidi huwaandalia wake zao mazingira ya kupata hata kama wakibaki nyumbani.
Kama kuwafungulia biashara ili wao waingize kipato hata wakiwa nyumbani,kama kuwamegea asilimia ya mshahara wao ili mke awe na akiba.

Kuhusu suala la mke kudhulumiwa kwani hakuna mahakama za familia?
Chang'ombe kuna FAMILY COURT kazi yake ni kutatua matatizo kama hayo.
Mke ana haki zake za kurithi pale mume anapofariki,na vyombo vya ustawi wa jamaa vimeundwa kwaajili ya kulisimamia hilo.
Sasa tabu iko wapi!?
Kuna TAMWA na TAWLA pia wote kazi yao ni hiyo kutetea haki za wanawake ikiwemo hao wajane kuhusu mirathi na masuala mengine.
Mfano wako bado ni IRRELEVANT.
 
Mimi kwangu cha tofauti nachokiona ni kwamba in our generation, we were taught kwamba Men are providers and leaders, you need to have big visions, work harder kwa sababu kazi kubwa kwako ni ku provide kwa familia yote bila kujali mke wako ana hela au hana. Mke Ni msaidizi wa everything except kukusaidia ku provide sufficiently for your family. Familia ni za wanaume kuziendesha, sijui kama kizazi hiki bado mambo yako hivyo maana wanawake wamekuwa wajuaji mno.
Anyways, ukishakuwa kiongozi, utatimiza majukumu yako bila kuwa na uhitaji wa usaidizi. Mfano me, Mke wangu usaidizi wake mkubwa kwangu ni kulea wanangu vyema, kunishauri when its needed, kulinda mali zangu nikiwa sipo .

Ndoa siku hizi zimekuwa ngumu sababu hio hio ya 50/50,
Just because umepitia vitu negative usi block your mind kushindwa kuamini kwamba vipo vitu positive na vizuri. Zaidi zaidi ni kwamba Mungu akikujalia unaweza na wewe ukavi experience one day. Me nakuombea kiukweli maana hata kama ni adverse effects za PTSD, sijawahi kuona zipo intense kama navyoziona kwako
Well you have no idea.

All in all, rudi mkawashauri wanaume wenzenu wanaokazana kusema mwanamke anatakiwa akae nyumbani tu. No thank you
 
Pambaneni mnavyoweza ila kinachowauma ni kuambiwa ukweli kwamba MEN HAVE LOST THEIR MANHOOD DUE TO INTIMIDATION. Mnaogopa wanawake kujipambania mnadhani wanachukua nafasi zenu kumbe kiuhalisia ni kwamba hamtaki kuwa challenged hata kama hamna akili!
Unachokiongea kinaweza kuwa sahihi ila usifanye akili yako iwe fixed na fragile kama hivo. Kubali kuwa flexible kwamba pengine pia inawezekana Men are not intimidated at all by women, they are mostly likely feeling remorse kuona wanawake wakiteseka in pursuit of whats called 50/50. Usiwe unajibu hoja kama unapashana au upo uswahilini kwenye watu wasiostaharabika kabisa.
 
Kwa nilivyowaelewa mimi
Kuna watu wamesema point zao kwa namna tofauti wakiwa na sababu zao.
Kwasababu kila mtu ana uelewa wake na sababu zake.
Wapo wanaowaachisha kazi wake zao kwaajili ya kuwalinda na kulinda ndoa zao,maana kuna wanawake wanafanya kazi mazingira magumu hata kama ya ofisini kiasi wanashindwa kupata muda wa kuhudumu ndoa zao.
Hivyo unakuta mume anaona bora amuachishe mke ndoa kwa wenye akili zaidi huwaandalia wake zao mazingira ya kupata hata kama wakibaki nyumbani.
Kama kuwafungulia biashara ili wao waingize kipato hata wakiwa nyumbani,kama kuwamegea asilimia ya mshahara wao ili mke awe na akiba.

Kuhusu suala la mke kudhulumiwa kwani hakuna mahakama za familia?
Chang'ombe kuna FAMILY COURT kazi yake ni kutatua matatizo kama hayo.
Mke ana haki zake za kurithi pale mume anapofariki,na vyombo vya ustawi wa jamaa vimeundwa kwaajili ya kulisimamia hilo.
Sasa tabu iko wapi!?
Kuna TAMWA na TAWLA pia wote kazi yao ni hiyo kutetea haki za wanawake ikiwemo hao wajane kuhusu mirathi na masuala mengine.
Mfano wako bado ni IRRELEVANT.
Na kwa ubongo wako unaamini hizo mahakama zina msaada wa asilimia mia? Hizo gharama za kesi na huo mda wa kupambana huko mahakamani huyo mjane anakula nini. Yani mnachekesha sana. Na by the way kesi za mirathi zinaanzia PRIMARY COURT.

Irrelevance unaiona wewe. Mimi naongelea uhalisia
 
Soma uelewe nimeandika kabisa sinunui hata sukari bila mahesabu. Mimi ndo naamua ninunue au la sasa wewe umesoma kiuno juu ili uwahi uje kujibu pumba.

There can’t be two bulls in the house silipi bills zozote na kazi nafanya. Stupid. Sasa mwanaume ana muda wa kujua mtoto anataka nguo mpya au la? Hapo ndo ela yangu inaingia kubali kataa it’s up to you! Nilizoea kupaka perfume ya bei nije nipake kulthum za maiti kisa wewe kapuku huna cha kunipa? Ebuuu!

We kilichokuvutia kwa huyo mwanamke ilikua uzuri, urembo class kwasababu alikua kazini. Ukamtongoza na umaskini wako Sasa umemuoa unamfungia ndani ufanye kazi ya kumzalisha tu nguvu zenyewe za kiume huna[emoji1787] mxiew hela za kuwatunza waremmbo mliowakuta makazini hamna mnataka muwafubaze. Kaoeni kijijini kwenu hamtaki. Mnataka nini ebo

Men deal with your insecurities. Wanawake kazi tutafanya mtake msitake. Mijanaume mingapi imejazana kazini umbea tu, wanawake ndo wanafanya kazi na kutoa ideas za maana.

Jf humu ni keyboard warriors ila kichwani pakavu.
Ashakhumu si matusi ila kuna msemo wa kiswahili usemao, "Aliwazalo mtu mpumbavu ndilo litakalo mtokea". Ukiwa na fikra za kufanyiwa ubaya na wanaume then utavutia wanaume wa aina hiyo hiyo sababu wazuri hautawaona hata wakikufikia utaona ni wa hovyo au unarubuniwa.
 
One thing men should know. YOU ARE NOT DOING A FAVOR MARRYING WOMEN! Ni kwasababu tunategemeana.

Huwa mnalichukulia hili suala la ndoa kama msaada hivi! Utaskia si ashukuru flani kamstiri!

Wanawake wangapi wanastiri mashoga na watu wasio na uwezo wa kupandisha jongoo kwenye mtungi, ila mwanamke anahangaika sijui na dawa za kimasai ili we punda uitwe baba. Saizi mnanguruma huku.

Kama mna uwezo sana si mzalishane wenyewe wanaume kwa wanaume. Mpite labor mkaone shughuli yake. Mnachukulia wanawake ni kama voodoo dolls ya kutoboa toboa tu. A whole head passed through my vagina, I created a brain and oh a title for you ungrateful set of lunatics to be called fathers eti leo mnajifanya mnakashfu wanawake.

I call out gays in every men who talk down on women. Kaeni na wake zenu ndo muwaachishe kazi. Kwani lazima kila mtu awe kama mama ako au mkeo! Hao hao vilaza waliokubali wametosha! Wa wenzenu wako makazini na miradi wanafungua.
Wewe sio mzima. Umejaza upuuzi mwingi sana kichwani mwako.
 
Unachokiongea kinaweza kuwa sahihi ila usifanye akili yako iwe fixed na fragile kama hivo. Kubali kuwa flexible kwamba pengine pia inawezekana Men are not intimidated at all by women, they are mostly likely feeling remorse kuona wanawake wakiteseka in pursuit of whats called 50/50. Usiwe unajibu hoja kama unapashana au upo uswahilini kwenye watu wasiostaharabika kabisa.
Unaanza kuja vizuri sasa. Labda waseme wanawaonea huruma kwa kupambana. Ndo namimi nawaomba sasa hawa wanaume waanze kuitisha seminars za kuwakazania kina baba kukaa kwenye mstari. Mwanaume lazima awe kiongozi wa familia. Awe ni decision maker asiyumbishwe na amuone mkewe kama support sio mshindani. Yani wanaume wote wakianza kuwa hivi nakwambia hata ufanisi huko makazini mtauona.
 
Well you have no idea.

All in all, rudi mkawashauri wanaume wenzenu wanaokazana kusema mwanamke anatakiwa akae nyumbani tu. No thank you
In modern world kuna kitu kinaitwa Agreeing to disagree. Jitahidi sana ujifunze hicho na uwe nacho. Wanaoishi na wewe kazi wanayo, you serious needs help. Yaani kwako wewe ni negatives tu, kila kitu kukosoa, kila kitu hakifai, kila kitu cha hovyo, hakiwezekani etc. Mungu akusaidie
 
Ashakhumu si matusi ila kuna msemo wa kiswahili usemao, "Aliwazalo mtu mpumbavu ndilo litakalo mtokea". Ukiwa na fikra za kufanyiwa ubaya na wanaume then utavutia wanaume wa aina hiyo hiyo sababu wazuri hautawaona hata wakikufikia utaona ni wa hovyo au unarubuniwa.
Mpumbavu humtambua mpumbavu mwenzake. Hata kama umetumia fumbo. Deal with weaker men who want to drown strong women wala hamtasikia hizi kelele
 
Muachishe huyo zombie wako kazi. Kwani walioko makazini nao ni wake zenu? Mbona mna uchungu nao sana!

Au mnatamani muwe mnavaa pedi pia maana sielewi hasira ni za nini!
Wewe ndie una project mambo yako kwa hasira na jazba plus unaonekana una history ya hovyo na Wanaume.

Mimi nakuotea hapa ukija pata Mwanaume Strong Tanzania iitwe ulaya. Utaishia kupata wanaume weak au abusive. Kama unabisha subiria uone. Huu uandishi wako inasema mengi sana kuhusu tabia yako kiuhalisia.
 
In modern world kuna kitu kinaitwa Agreeing to disagree. Jitahidi sana ujifunze hicho na uwe nacho. Wanaoishi na wewe kazi wanayo, you serious needs help. Yaani kwako wewe ni negatives tu, kila kitu kukosoa, kila kitu hakifai, kila kitu cha hovyo, hakiwezekani etc. Mungu akusaidie
Huo ni mtazamo wako na haubadilishi ukweli kwamba Men need to step up their game
 
Mkuu kama hujampata mleta uzi basi hivi unavyofoka hapa ndio hasa lengo la uzi wake...

Kwa nilivyomuelewa hajataka wanawake msifanye kazi, ila kufanya kwenu kazi kunawatesa wenyewe.

Si unaona hata wewe ulivyopanick hapa kwa reply ndefu ndefu, ndicho alichomaanisha. Kidogo tu tayari mshawaka, mnahisi mnadharaulika so mnajilinda kwa maneno makali mpaka matusi sometimes, wakati ni ishu ndogo tu hii.
Ana provide a living example ya alichoongelea mleta uzi. [emoji3][emoji3]
 
Wewe ndie una project mambo yako kwa hasira na jazba plus unaonekana una history ya hovyo na Wanaume.

Mimi nakuotea hapa ukija pata Mwanaume Strong Tanzania iitwe ulaya. Utaishia kupata wanaume weak au abusive. Kama unabisha subiria uone. Huu uandishi wako inasema mengi sana kuhusu tabia yako kiuhalisia.
I ain’t your mama darling. Sija fall kwenye category ya kupata mwanaume weak. Mimi nipo kwenye ndoa a decade and a few na ndugu zangu walikua kondoo kwenye ndoa zao yamewakuta and it really irritates me. Wamekuja kuanza kazi in their late 40’s baada ya kupoteza muda kumsikiliza mume
Yani sijui mniambie nini niwaelewe. It that’s ptsd then whatever ila
Mwanamke kazi afanye tu kwakweli wapumbavu ni wengi na humu nawaona.
 
Unaanza kuja vizuri sasa. Labda waseme wanawaonea huruma kwa kupambana. Ndo namimi nawaomba sasa hawa wanaume waanze kuitisha seminars za kuwakazania kina baba kukaa kwenye mstari. Mwanaume lazima awe kiongozi wa familia. Awe ni decision maker asiyumbishwe na amuone mkewe kama support sio mshindani. Yani wanaume wote wakianza kuwa hivi nakwambia hata ufanisi huko makazini mtauona.
Nashukuru umeanza kunielewa. Nimegundua tulichokuwa tunatofautiana na wewe ni kitu kidogo sana wala sio kikubwa. Btw, tupo katika liberty era, maswala ya freedom na nini. Me nadhani kama wanawake wengi wanaona kufanya kazi ndo a way forward na kwamba kazi zinawalipa basi tuwaache wafanye. Na kama wapo wanawake ambao wameamua kuwasikiliza wanaume zao wasifanye kazi na wao pia tuwaache.
 
Nina mengi sana ya kuchangia kuhusu hili ila naona uvivu kuandika, ila kiufupi wanawake wengi ni wabinafsi, wanataka wafanye kazi kama wanaume ila hawataki kugawana majukumu na mwanaume, wao wanataka wapokee tu na kuhudumiwa na mwanaume ila pesa zao wanafanyia mambo yao wanayoyajua wao.

Ushauri wangu kwa wanaume wenzangu, jijali mwenyewe kwanza, ukiamua kumhudumia mwanamke,mhudumie kulingana na uwezo wako, usikope ili kumfurahisha mwanamke au usiache kufanya mambo yako ya msingi kwa ajili ya kumfurahisha mwanamke, kuna wengine walienda mbali hadi kumsomesha mchumba na bado wakaachwa, pesa ambazo wangefanyia mambo yako ya msingi.

Ili kutia mkazo zaidi: "Focus on yourself, never go above and beyond for a woman"
Huko makazini kwenye ndani ya mwezi unakuta wapo active siku 8 au 10 tu. Hizi siku nyingine ni kugombana na wafanyakazi wenzao, kujibu wateja vibaya, kununia ofisi mzima sababu ya siku zao za mwezi, kuruka na mabosi zao, na kuharibu kazi kisha kuomba wanaume mabwege humo makazini wawasaidie kurekebisha kwa malipo ya kuwaita "baby" au "honey".
 
Wanaume tunaowataka ni wale wanaojiamini, sio hawa washinda vilabuni.

Alafu feminism sijui nyie mnaitafsiri vipi maana mi kwangu ni inapplicable kabisa.

Kikubwa wanaume kazaneni kwenye kukaa kwenye nafasi zenu. Hamjajua tu jinsi ya ku ishi na hao wanawake wasomi nadhani dunia haikuwaandaa.

Naona kama nguvu inayotumika kutaka kumshusha mwanamke ni kubwa kuliko iliyotumika kumuinua.
Hatimaye umenifikia. Karibu sana.

Hivi unajua Feminism ilipotokea? Na je unajua misingi yake? Na je una fahamu utofauti mkubwa uliopo baina ya feminism ya mababu zetu na hii yenu sasa? Je unatambua kuwa feminism hii ya sasa ambayo ninyi mnaitumia vibaya ndio ina madhara hususan kwa mwanamke mwenyewe?

Miongoni mwa wengi ikiwemo wewe kiongozi wao mnadhani kuambiwa kumnyenyekea mwanaume ni utumwa.
Huenda mafanikio yako yanakufanya usimame kifua mbele na kujiona unaweza kufanya vingi kuliko mwanaume au sambamba na mwanaume.
Lakin kwetu sisi wanaume hatuoni kifua mlichonacho zaidi ya chakula cha watoto zetu.

Ukiweza kuelewa utofauti wa feminism ya karne ya 19 na hii ya sasa basi utatumia jitihada zako kuwafunza wanawake wenzako kutovuka mipaka na sio kujibizana na wanaume

SIKUFUNDISHI NAKUKUMBUSHA.
🤣
 
Back
Top Bottom