Katikati ya harakati za 50/50 kinyume chake wanawake wengi siku hizi hawana furaha

Katikati ya harakati za 50/50 kinyume chake wanawake wengi siku hizi hawana furaha

Kuna kesi nyingi zinakuja soon utaona hao viumbe mwisho wao,
Kutakuja kuundwa jumuia huko mbeleni itakayosaidia kirudisha ule uanamke wa mwanamke maana mpaka sasa naona dalili mbaya kabisa za hao viumbe kupata frustrations zitakazo pelekea mental genocide,
Unajua hata wanaume wameanza kuwashtukia na vijana wa kiume hawataki ndoa wanawachovya kuwazalisha na kuwatelekeza kutoka na lifestyle walilojiwekea utafika muda watajikuta wamekua manginja nginja na wanaume hawapo wa kuwashobokea then kifuatacho ni

ITV inakuleteaaa kipindi maalumu cha wanawakeeeee!
Wanaotafuta wanaume wanaopumua tu!
[emoji16][emoji16]
Maduka ya dawa yajiandae kuagiza mzigo wa kutosha wa dawa za antidepressants na za usingizi na pia wale mnaokwenda vyuoni someeni maswala ya psychology itakuja kuwa a very paying careers especially kwa wanaume maana ndio huwa the best psychologists kwa wanawake, na milembe ijiandae kupokea patients wapya.

Pale Moshi na Arusha machizi wengi ni wanawake ndio utakutana nao wanaokota makopo, na takwimu za matumizi ya dawa za kulevya zinasomeka kuwa wanawake wanaongoza.

Hii sio nzuri na sio swala la kuchekea tutawapoteza hawa viumbe.
 
Tulikosea kuipokea hii sera ya usawa. Ni either tungeachana nayo kabisa au tungeifanyia marekebisho iendane na maisha yetu kimaadili na kiuchumi. Wanawake waweke ego pembeni waifanyie tathmini hii sera ya usawa kuona kama imejenga au kubomoa taswira na mustakabali wao kwenye jamii
Wameishikiria kwa nguvu ni ngumu kuwatenganisha nayo.
 
Af wenzie wanamtetea eti hajaongelea kwa ubaya🤣 tushawahi kupopoana kwenye mada na huyu jamaa mwaka 2022 alikua anatukana wanawake kinoma. Nahisi kaoa jitu gani sijui au bosi wake ni mwanamke basi anamsumbua

Af wenzie wanamtetea eti hajaongelea kwa ubaya🤣 tushawahi kupopoana kwenye mada na huyu jamaa mwaka 2022 alikua anatukana wanawake kinoma. Nahisi kaoa jitu gani sijui au bosi wake ni mwanamke basi anamsumbuaa
Ukiona hivyo ana chuki binafsi na wanawake . Pia inferiority complex.
 
Sasa swali langu linakuja. Wewe income yako ni kama GSM? Mimi nimetoka kwetu napata kila kitu, nikaanza kazi nijihudumie,
Umekuja kunioa ukasema niache kazi nilee watoto , nyumbani unaniachia elfu moja ya dagaa wanangu wale, wewe unaenda kukesha bar, kwakuwa mama yako hakusoma, baba yako alikupeleka shule ya kata unataka na wanangu wasome kata kwakuwa wewe huna uwezo, nakaa nyumbani nafubaa kama mzee wa miaka 60 kisa mume wangu hataki nifanye kazi nibaki nilee watoto,

Ukirudi nyumbani unanikuta nimefubaa huvutiwi tena na mimi ulienioa miaka 7 nyuma nilipokua najinunulia lotion ya 35,000. Saizi unanipakisha minara coconut oil. Unaenda kazini kwako unakutana na secretary anapaka lotion ya 20,000 anapendeza anawaka unamtamani unakaa ukimwambia mke wangu hana mvuto tena. Wanaume mna utindio si eti?

Nani aliwadanganya kuwa kupinga 50/50 ni lazima mwanamke abaki nyumbani? Personally huo ujinga wa 50/50 siutaki kwangu hata sukari ikiisha sinunui bila mahesabu. Nilishamtengenezea Mr kwamba mimi ni support yako. Pale unapotoa mimi ndo ntaongeza kama kuna ulazima. Gharama zangu za maisha ni kubwa, hujanioa ili u shrink my standards otherwise ungeenda kuoa kijijini kwenu sitimbi huko. Na kazi nafanya na wanangu nalea. Hivi mfano kazini umefukuzwa ghafla na akiba huna tunaishije nyumbani? Mwanaume huna uwezo wa kunitunza huna unakomalia nikae nyumbani nivae madera. Are you serious? Kazi nafanya kama kawa na familia yako utaihudumia maana wewe ndo baba.

Wanaume wengi mnataka mwanamke ambae anakaa nyumbani ili umnyanyase. Au sio.
Muwe na uwezo wa kuwahudumia basi sio mke anamiaka 30 anafanana na kabibi ka miaka 65.

50/50 ni kwenye fursa kwa sababu hawa waliosoma waende wapi? Kama wanaume mngekua that smart si mngekua mnaongoza peke yenu madarasani. Ndo maana kuna vilaza na kuna wanawake wanaongoza. Acheni ubinafsi.

Most of us submissive women tuko makazini na ndoa zetu wanaume tunawaheshimu vizuri tu.

Tena wanawake acheni leo niwape siri, ukitaka kumcontrol mwanaume kuwa submissive. Yani shingo ndo inazungusha kichwa. Sitawafundisha kila kitu. Mwanaume akirudi nyumbani muoneshe heshima zote, mkiwa public mtreat kama mfalme uone kama hato fall for your desires.

Hawa wa jamii forum wengi wanachuki za bure na wanawake na kuna mahali wanashindwa kuelezea wanachotaka. Chanzo cha wanawake kutokua na heshima sio kazi walizo nazo bali ni jinsi wanaume mlivyoshindwa ku play part zenu,yani mwanaume anashinda bar, ana shinda anabet, kila akirudi hana hela, watoto wanarudishwa ada. Na mke alisoma ana kadregree akae nyumbani kisa mume atajiskia vibaya? Stupid
Its like unawaongelea wanaume wenye character sita ndani ya mtu m'moja. Yaani huyo huyo ni abuser wa wanawake, huyo huyo ni masikini anayetokea familia au ukoo wa mafukara, huyo huyo ana kazi nzuri ambayo ofisini kwao anakutana na secretary pisi kali jambo ambalo ni ngumu kukutana nae kama mwanaume anafanya kazi kampuni ya zoa maji taka, huyo huyo mwanaume ni mbabe etc.

Sasa maswali yangu kwako nitakuuliza, hivi kwa uelewa wako, mwanaume wa kawaida ana asilimia ngapi za uhakika wa kumpata binti wa kishua akamuweka ndani kama mkewe wa ndoa so umeassume huyu binti anatoka tu kwao na kuanza maisha, hakuna process za mahari, posa, kuchunguza maisha ya mwanaume before hamjaanza ishi pamoja?

So kwenye hii imaginary scenario yako umeassume kuwa waume wanachotaka ni kumharibia mkewe maisha yaani wanaume hawa hawafikirii kabisa maendeleo yaani akirudi nyumbani hawazi hata kutazama tamthiria au kukaa na mkewe wapange maisha, anachowaza ni kumharibia maisha amuone amefeli kabisa, kweli hivi ndivyo inavyofikiria? [emoji848]

Kwahiyo umetengeneza mwanaume kwenye fikra zako kama kiumbe mwenye wazimu asiyejua maisha ni nini ila mwanamke ndie ana akili ya Maisha kwamba mwanamke atalosema na kuwaza ndilo litafanya maisha yasonge mbele ila mwanaume kila atakalo amua litakuwa na mwisho wa kufeli? Unaona akili za mabinti wa kisasa ambao kidogo mlipata fursa ya kujiendeleza kielimu? [emoji848]

Kwahiyo umeassume kuwa mwanaume kutotaka mkewe asifanye kazi basi imaanishe akae ndani kama yai, wanaume wa namna hiyo huwa mnakutana wapi hebu tuambie maana hata mimi nimesoma ulichoandika huwa nakiskia tu na kukiona kwa nadra sana kwenye jamii sio jambo la kusema ni prevalent kwenye maisha na jamii yetu, wewe mwenzetu haya unayaona wapi, au unatazama sana tamthiria za jua kali unahisi ndio maisha hali ya watu yale? [emoji848]

What if mwanamke anafanya kazi ambayo ni ya kusafiri sana na boss wake na wapo pamoja muda wote, mwanaume akitaka kuokoa ndoa yake na kumtaka mkewe kuacha hiyo kazi afanye biashara zao atakuwa anakosea? Kwako mkataba wa kazi ya miaka 20 ni kipaumbele kuliko mkataba wa ndoa wa kudumu? [emoji848]

Kuna vitu vingi umeongea na hoja imenyooka kwa maana maelezo yanasomeka ila umeongea vitu kinadharia sana unaonekana maisha unayatengeza kwa scenario za kutunga kichwani badala ya kuobserve kinachotokea kwenye uhalisia.

Acha kujitisha. Unaona mfano mimi nimekusoma tu nimeshajua kuwa haujui maisha yanaendaje sababu unawazungumzia watu kwa character tofauti ambazo huwa ni ngumu mtu azibebe zote kwapamoja kwasababu Maisha humshape mtu kuwa na tabia au haiba fulani ni ngumu mtu kubeba zaidi ya haiba moja. Huwezi kuwa mchoyo halafu tena uwe mkarimu, huwezi kuwa mnyanyasaji wa wanawake halafu uwe na mapenzi ya kweli, huwezi kuwa binti kutoka familia ya single mother ukawa na tabia za kufanana na binti aliyelelewa familia ya baba na mama, huwezi kulelewa na mama mdangaji halafu uje kuwa sista wa kanisani historia yako ya malezi na background yako vitakuhukumu utafeli mission ya usista.

Nadhani unahitaji exposure ya maisha kwasababu unaumba mtu kama director wa movie ila unasahau maisha sio movie. Nimalizie kwa kusema, women view life as fairytale male view life as practical physics and mathematics assignments.
 
Wewe ndo akili huna, perception yako imekukimbilisha kwenye kuolewa na mtu anayeacha buku nyumbani na sio mtu anayekuachisha kazi na ana hela ya kukupa huduma. Sitaki kujua maisha yako yalivyo lakini umeshaonyesha una maisha magumu sana.

Mwanaume anayekwambia kaa nyumbani usifanye kazi, kama ana akili timamu lazima awe anajua kwamba ukikaa nyumbani hela zake yeye zinawatosha wewe na yeye. Level ya GSM sio kila mmoja atafika ila level ya kuhudumia nyumbani mahitaji yote ya msingi yawepo, watoto waishi vizuri na maendeleo yafanyike, kila mwanaume mchakalikaji anaweza akaifikia kwa urahisi kabisa.

Tatizo lenu mnaonaga mnachelewa mkiambiwa mkae nyumbani mwanaume akatafute. Mnadhani mambo huwa yananyooka kwa urahisi sana. Saivi mnatoka kutafuta hampati, mental health zenu zimejaa makasiriko, hasira na a lot of hidden pain. Mkiangalia cha maana wengi wenu hampati na wengi zaidi ndo wanaishia kutia najisi their body in pursuit for good life, what a joke.
Akibishana na wewe atakuwa ndio wale wale wasiojua walisemalo.
 
Basi kila mtu abaki na perception yake. Kwa hali ilivyo saizi labda uolewe na mgane. Ila mwanaume ana miaka 30, kazi zenyewe za kusuasua hiyo hela ya kumfanya mwanamke anakaa nyumbani anahudumia kila kitu inatoka wapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanaume wenyewe wanataka wanawake wanaojiweza hata kifikra ili msaidiane. Utaskia tu, vipi mama jishughulishe basi kidogo. anawaza watoto wake wanalelewaje asipokuwepo. By the time
Namaliza kukuvumilia nna miaka 45 nimefubaa kwa miaka 15
Sina hata mia mbovu nakuja kuskia ulizaaga na secretary.
Yani achana kabisa na mimi
Kwenye hizo mada wanaume hamna maana . Acha kila mtu ajipambanie. Mwanamke anaeweza kujihudumia na kulea
Wanae afanye. Kuna wanawake wanakaa nyumbani ila bado watoto wao wanaharibiwa na mfano mzuri ni uswahilini. Kwenye wimbi la vibaka wa kila aina. Mama zao wanaenda ofisi zipi? Nyie vipi ebuuu

Nyinyi mnaotaka magoli kipa mna inferiority complex. Kubali kataa. Wenye mentality za kimaskini ndo hamtaki mwanamke afanye kazi mda wote unadhani UNAIBIWA
So watoto uliosema wa uswahili, umetazama wale wanawake au mama zao ni watu wa aina gani? [emoji848]Hata kama wangekuwa na kazi unahisi factor ya mtoto kuharibika kimaadili chanzo huwa ni nini?

Labda hauwafahamu vema wanawake wa uswazi ambao wengi wanatokea koo za kizaramo, kindengeleko, wamakonde, wakwere, walugulu, jamii za kufanana huwa zinakaa pamoja na kuelewana. We umkute mhaya au mchagga hayo maeneo?
 
Its like unawaongelea wanaume wenye character sita ndani ya mtu m'moja. Yaani huyo huyo ni abuser wa wanawake, huyo huyo ni masikini anayetokea familia au ukoo wa mafukara, huyo huyo ana kazi nzuri ambayo ofisini kwao anakutana na secretary pisi kali jambo ambalo ni ngumu kukutana nae kama mwanaume anafanya kazi kampuni ya zoa maji taka, huyo huyo mwanaume ni mbabe etc.

Sasa maswali yangu kwako nitakuuliza, hivi kwa uelewa wako, mwanaume wa kawaida ana asilimia ngapi za uhakika wa kumpata binti wa kishua akamuweka ndani kama mkewe wa ndoa so umeassume huyu binti anatoka tu kwao na kuanza maisha, hakuna process za mahari, posa, kuchunguza maisha ya mwanaume before hamjaanza ishi pamoja?

So kwenye hii imaginary scenario yako umeassume kuwa waume wanachotaka ni kumharibia mkewe maisha yaani wanaume hawa hawafikirii kabisa maendeleo yaani akirudi nyumbani hawazi hata kutazama tamthiria au kukaa na mkewe wapange maisha, anachowaza ni kumharibia maisha amuone amefeli kabisa, kweli hivi ndivyo inavyofikiria? [emoji848]

Kwahiyo umetengeneza mwanaume kwenye fikra zako kama kiumbe mwenye wazimu asiyejua maisha ni nini ila mwanamke ndie ana akili ya Maisha kwamba mwanamke atalosema na kuwaza ndilo litafanya maisha yasonge mbele ila mwanaume kila atakalo amua litakuwa na mwisho wa kufeli? Unaona akili za mabinti wa kisasa ambao kidogo mlipata fursa ya kujiendeleza kielimu? [emoji848]

Kwahiyo umeassume kuwa mwanaume kutotaka mkewe asifanye kazi basi imaanishe akae ndani kama yai, wanaume wa namna hiyo huwa mnakutana wapi hebu tuambie maana hata mimi nimesoma ulichoandika huwa nakiskia tu na kukiona kwa nadra sana kwenye jamii sio jambo la kusema ni prevalent kwenye maisha na jamii yetu, wewe mwenzetu haya unayaona wapi, au unatazama sana tamthiria za jua kali unahisi ndio maisha hali ya watu yale? [emoji848]

What if mwanamke anafanya kazi ambayo ni ya kusafiri sana na boss wake na wapo pamoja muda wote, mwanaume akitaka kuokoa ndoa yake na kumtaka mkewe kuacha hiyo kazi afanye biashara zao atakuwa anakosea? Kwako mkataba wa kazi ya miaka 20 ni kipaumbele kuliko mkataba wa ndoa wa kudumu? [emoji848]

Kuna vitu vingi umeongea na hoja imenyooka kwa maana maelezo yanasomeka ila umeongea vitu kinadharia sana unaonekana maisha unayatengeza kwa scenario za kutunga kichwani badala ya kuobserve kinachotokea kwenye uhalisia.

Acha kujitisha. Unaona mfano mimi nimekusoma tu nimeshajua kuwa haujui maisha yanaendaje sababu unawazungumzia watu kwa character tofauti ambazo huwa ni ngumu mtu azibebe zote kwapamoja kwasababu Maisha humshape mtu kuwa na tabia au haiba fulani ni ngumu mtu kubeba zaidi ya haiba moja. Huwezi kuwa mchoyo halafu tena uwe mkarimu, huwezi kuwa mnyanyasaji wa wanawake halafu uwe na mapenzi ya kweli, huwezi kuwa binti kutoka familia ya single mother ukawa na tabia za kufanana na binti aliyelelewa familia ya baba na mama, huwezi kulelewa na mama mdangaji halafu uje kuwa sista wa kanisani historia yako ya malezi na background yako vitakuhukumu utafeli mission ya usista.

Nadhani unahitaji exposure ya maisha kwasababu unaumba mtu kama director wa movie ila unasahau maisha sio movie. Nimalizie kwa kusema, women view life as fairytale male view life as practical physics and mathematics assignments.
Umechapa barua mzeee....
Nayeye anajipanga huko anakuja
 
Peace,

Itakushangaza lakini ndio ukweli, tupo katika zama za upendeleo na "kuinuliwa" kwa wanawake na fursa kede kede pasina shaka mimi na wewe tulitegemea ustawi wa wanamakae kiuchumi, kiroho, kijamii, kiakili na kua na furaha zaidi ila sasa hali ni tofauti kabisa.

Mazingira ya ajira na kazini yanamfanya mwanamke kua compititive na aggresive akipoteza kabisa ile setup na tone ya mwanamke.

Wanawake wengi japo utawaona katika vyeo tofauti na huko maofisini wakipewa promotions kede kede ila ukiwatizama usoni hakuna nuru wala furaha yoyote yani wamekua mangangari, madumejike fulani kisirani ile hali ya uanamke imewatoka wako na mastress full tank.

Kupishana na wanawake njiani wanaongea wenyewe imekua kawaida sana. Wamekua watu wa kupenda mabishano kila mara, visirani, jeuri na watu wa shari. Unaweza kumsalimia mwanamke kama hakukusikia vizuri akakujibu "kwa kufoka akijua ulimsema kw ubaya inshort wako aggresive mda wote ego iko juu zaidi za mawingu.


Kuna member mmoja humu jf wiki chache alipost uzi kua "wanaume siku hizi wamepunguza na hawatongozi tena kama zamani" nakubaliana nae kwa 100% hata mimi kutongoza kumepungua sana maana ule utamu wa mwanamke uliotupelekea kutongoza (sio wote) haupo tena njiani unapishana na madume jike tu yamefura visirani sasa nitongoze ligalagala la nini ?!


Hawana furaha tena wala utilivu wa akili na hata kiuchumi wanawake ndio wamekua wadangaji kuliko kipindi chochote katika historia ya mwanadamu yani mambo yamekua vice versa haki sawa imekua ni jabali linalowatesa wanawake wenyewe.

Ukikutana na hawa wanamake wa haki sawa hata mkizungumza wanapenda mbishane tu hawataki utulivu ghasia, mivutano na majibizano ni sifa yao kuu. Wamejaa negativities deep down their bones.

Zamani ulikua ukimuona mwanamke mwili unasisimka, sasa haya magalagala madumejike ya siku hizi unalitazama unaona kabisa uanamke haupo lidude limekaa hapo limekutolea macho pima kama fundi saa.

Nyie ni mashahidi hata masingle mother wanaongezeka kwa kasi ya 4G kwasababu hiki kizazi cha haki sawa hakina ile haiba ya mwanamke ni mangangari ngangari full jeuri.
Hili mbona kuna Mbunge alilizungumza mbungeni!?
Yule Mbunge jina nimemsahau ni mwanamke,alikua akiikosoa bajeti iliopangwa na waziri wa jinsia,wanawake na watoto.
Aligusia hili suala la wanawake kuharibiwa na feminism kiasi hata furaha pia hawana na wengi wao kuishia upweke.
Maana ujiko wa mwanaume wamejipa wao,na hakuna mwanaume anaeweza kuwa beneti na mwanamke-mwanaume.
Yule mama aliongea mengi sana.
KIUFUPI ULIYOZUNGUMZA MLETA MADA YANA UKWELI 10000%.
Hata wao wenyewe wanalithibitisha.
 
Basi kila mtu abaki na perception yake. Kwa hali ilivyo saizi labda uolewe na mgane. Ila mwanaume ana miaka 30, kazi zenyewe za kusuasua hiyo hela ya kumfanya mwanamke anakaa nyumbani anahudumia kila kitu inatoka wapi🤣🤣🤣 wanaume wenyewe wanataka wanawake wanaojiweza hata kifikra ili msaidiane. Utaskia tu, vipi mama jishughulishe basi kidogo. anawaza watoto wake wanalelewaje asipokuwepo. By the time
Namaliza kukuvumilia nna miaka 45 nimefubaa kwa miaka 15
Sina hata mia mbovu nakuja kuskia ulizaaga na secretary.
Yani achana kabisa na mimi
Kwenye hizo mada wanaume hamna maana . Acha kila mtu ajipambanie. Mwanamke anaeweza kujihudumia na kulea
Wanae afanye. Kuna wanawake wanakaa nyumbani ila bado watoto wao wanaharibiwa na mfano mzuri ni uswahilini. Kwenye wimbi la vibaka wa kila aina. Mama zao wanaenda ofisi zipi? Nyie vipi ebuuu

Nyinyi mnaotaka magoli kipa mna inferiority complex. Kubali kataa. Wenye mentality za kimaskini ndo hamtaki mwanamke afanye kazi mda wote unadhani UNAIBIWA
Hujaelewa mleta mada anagusia nini.
Kinachozungumziwa sio mwanamke kutokujipambanua kiuchumi.
Ila kinachozungumziwa ni mwanamke kufahamu nafasi yake katika jamii kama mwanamke ikoje pasi na kujalisha kipato wala cheo.
Wanawake wa kiAfrica wakishapata pesa ama cheo huwa wanajisahau wao ni kina nani na wana nafasi gani katika jamii.
Uwe na pesa uwe na cheo mwanamke itambue nafasi yako katika jamii and play your role.
Sasa hapa kwenye ku play role ndio mnajisahau.
Mbona wanawake wa wenzetu huko Asia Matajiri na wanaheshimu nafasi zao kama wanawake na wake na wana play role zao kama wanawake katika jamii!??
Ila kwanini ninyi mnajisahau nafasi zenu katika jamii??
Yani mkiweza kutengeneza 20k tu ni kelele aisee mnavimba na makisirani tu na kauli mbovu juu"usinitishe kama pesa na mimi natengeneza" LOL!!
Acheni kujisahau.
 
Telenovela unayosimulia haina director mzuri nenda katunge tena. Hiyo kitu haipo!

Tukirudi kwenye uhalisia, mwanaume hana kazi na anataka mwanamke amwabudu aache kazi walie wote njaa. Niite mbishi ila kazi huniachishi.

Kama story unayoisimulia ingekua kweli ningekuuliza hivi Ina maana wakati hamjaoana alikua anarudi saa tisa na nusu jioni ila ulipomuoa akawa anaongeza muda wa kuchelewa kurudi? Inferior men are scary. Mngekua mnawajali wanawake wenu mkiwaachisha kazi hamuendi kuchepuka na kuzalisha michepuko mbona fresh tu. Ila mwanamke anapambania future ya wanae anawatengenezea akiba kwasababu tunajua wanaume wengi nguvu za kiume hamna ila mko busy kutembeza hizo rungu kuonesha vilema
Vyenu mnasahau family kwa ulimbukeni
Mbona hoja zako una hama hama haueleweki kuwa unalenga kusema kitu gani in conclusion. Yaani kama ni umepewa nafasi ya kumtuhumu tu unakuwa kama wale watu waliomhukumu Yesu, wanaulizwa kosa lake ni lipi kila mtu anaongea hili mara lile anashindwa kujenga hoja ya msingi kwa kauli moja kuwa huyu mtu anashida moja mbili tatu na hizi shida mimi personally zinanidhuru hapa na hapa na hapa.

Wewe mleta mada ameweka hapa very clear kuwa issue ya 50/50 ina madhara haya na haya kwa wanawake, SIO KWA WANAUME KWA WANAWAKE. Wewe unakuja unasema mara sijui tukiacha kazi mnatunyanyasa, mara kuacha buku, mara kuzaa na wanawake nje, mara kutembea na secretary, mara kupauka sababu ya kukosa matunzo? [emoji848] Wewe mbona unaujengaji wa hoja kwa namna ya kitoto sana aiseeee.

Yaani umeacha kuona tatizo linalowadhuru wanawake wenzako unaanza kujadili changamoto zako za anxiety na insecurities kwenye mahusiano.

Acha kusteer na kuconfuse the conversation here kufit your narratives mbona unapenda sana kuchekecha mada ije kukaa kwenye meza yako na kufanya mjadala uache kulenga maudhui lengwa? [emoji848]

Grow up, i can smell your attitude and personality even ukiandika sentence za aya moja tu you have that childish signature attached with you. Hebu kua kwanza uende ukaolewe uexperience life katika uhalisia utibu hizo insecurities zako kwanza ndipo uwe unakuja kujadili mada za kiutu uzima na watu wazima sio unakuja na form six au secondary school girl perception on marriage kumbe you lack an ounce of knowledge about grownups relationships and marriage.
 
Its like unawaongelea wanaume wenye character sita ndani ya mtu m'moja. Yaani huyo huyo ni abuser wa wanawake, huyo huyo ni masikini anayetokea familia au ukoo wa mafukara, huyo huyo ana kazi nzuri ambayo ofisini kwao anakutana na secretary pisi kali jambo ambalo ni ngumu kukutana nae kama mwanaume anafanya kazi kampuni ya zoa maji taka, huyo huyo mwanaume ni mbabe etc.

Sasa maswali yangu kwako nitakuuliza, hivi kwa uelewa wako, mwanaume wa kawaida ana asilimia ngapi za uhakika wa kumpata binti wa kishua akamuweka ndani kama mkewe wa ndoa so umeassume huyu binti anatoka tu kwao na kuanza maisha, hakuna process za mahari, posa, kuchunguza maisha ya mwanaume before hamjaanza ishi pamoja?

So kwenye hii imaginary scenario yako umeassume kuwa waume wanachotaka ni kumharibia mkewe maisha yaani wanaume hawa hawafikirii kabisa maendeleo yaani akirudi nyumbani hawazi hata kutazama tamthiria au kukaa na mkewe wapange maisha, anachowaza ni kumharibia maisha amuone amefeli kabisa, kweli hivi ndivyo inavyofikiria? [emoji848]

Kwahiyo umetengeneza mwanaume kwenye fikra zako kama kiumbe mwenye wazimu asiyejua maisha ni nini ila mwanamke ndie ana akili ya Maisha kwamba mwanamke atalosema na kuwaza ndilo litafanya maisha yasonge mbele ila mwanaume kila atakalo amua litakuwa na mwisho wa kufeli? Unaona akili za mabinti wa kisasa ambao kidogo mlipata fursa ya kujiendeleza kielimu? [emoji848]

Kwahiyo umeassume kuwa mwanaume kutotaka mkewe asifanye kazi basi imaanishe akae ndani kama yai, wanaume wa namna hiyo huwa mnakutana wapi hebu tuambie maana hata mimi nimesoma ulichoandika huwa nakiskia tu na kukiona kwa nadra sana kwenye jamii sio jambo la kusema ni prevalent kwenye maisha na jamii yetu, wewe mwenzetu haya unayaona wapi, au unatazama sana tamthiria za jua kali unahisi ndio maisha hali ya watu yale? [emoji848]

What if mwanamke anafanya kazi ambayo ni ya kusafiri sana na boss wake na wapo pamoja muda wote, mwanaume akitaka kuokoa ndoa yake na kumtaka mkewe kuacha hiyo kazi afanye biashara zao atakuwa anakosea? Kwako mkataba wa kazi ya miaka 20 ni kipaumbele kuliko mkataba wa ndoa wa kudumu? [emoji848]

Kuna vitu vingi umeongea na hoja imenyooka kwa maana maelezo yanasomeka ila umeongea vitu kinadharia sana unaonekana maisha unayatengeza kwa scenario za kutunga kichwani badala ya kuobserve kinachotokea kwenye uhalisia.

Acha kujitisha. Unaona mfano mimi nimekusoma tu nimeshajua kuwa haujui maisha yanaendaje sababu unawazungumzia watu kwa character tofauti ambazo huwa ni ngumu mtu azibebe zote kwapamoja kwasababu Maisha humshape mtu kuwa na tabia au haiba fulani ni ngumu mtu kubeba zaidi ya haiba moja. Huwezi kuwa mchoyo halafu tena uwe mkarimu, huwezi kuwa mnyanyasaji wa wanawake halafu uwe na mapenzi ya kweli, huwezi kuwa binti kutoka familia ya single mother ukawa na tabia za kufanana na binti aliyelelewa familia ya baba na mama, huwezi kulelewa na mama mdangaji halafu uje kuwa sista wa kanisani historia yako ya malezi na background yako vitakuhukumu utafeli mission ya usista.

Nadhani unahitaji exposure ya maisha kwasababu unaumba mtu kama director wa movie ila unasahau maisha sio movie. Nimalizie kwa kusema, women view life as fairytale male view life as practical physics and mathematics assignments.
Aisee haya maelezo yamejitosheleza sana mkuu.
 
Nadhani tunachoshindwa kuelewana ni upande tuliposimama.

Mimi nasimama kwenye positive na negative wewe umeng’ang’ana kwenye positive na unanilazimisha niamini kwamba the world is only full of butterflies na unanilazimisha nijione kwamba sina hoja. Sawa. Uko sahihi. Acha nibaki na mtazamo wangu wa kwamba hii dunia haiko fair, baki na dhana kwamba hii dunia hata usipokua na kazi utaishi tu. Yote ni sawa na unaweza kuwa sawa zaidi yangu.

Naona ninachokiandika hukielewi, huo upande wa negative nimeuongelea pia ndio nikawa nakwambia wewe unajenga hoja upande wa uadhaifu na sio ukamilifu. Hii ikapelekea wewe kulifanya jambo likawa la ujumla wakati ukweli ni kinyume chake. Ulitakiwa ujenge hoja kwenye ukamilifu huku ukiwakosoa wanaokosea na hiki ndio nakifanya mimi.

Mpaka nakubali kwamba kuna udhaifu namaanisha watu wote sio wema, elewa maneno bibie.

Ndio hata usipokuwa na kazi ya kuingiza kipato pia unaishi, bibie mbona unajitia upofu wakati mambo yako wazi haya ?
 
Mwanaume akiwa hai anasaidiwa na nani? Umewahi kuona mwanaume gani anasaidiwa kila siku dunia hii? Akishasaidiwa analipaje huo msaada? Inamaana wanaume wote wanasaidiwa? Wale wasio saidiwa wanaishije?

Eti nikiwa na hoja nikustue. Sasa hapa ndo unanirudisha kwenye point kwamba acha wanawake wafanye kazi. Uwezo wa wanaume wengi wa kufikiri ya baadae una walakini kidogo.

Nikuage tena. Usiku mwema mkuu. Hoja yangu imeishia hapo

Ndio maana nikasema unadhani kusaidiwa ni kuomba omba ? Ulitakiwa usome na mtiririko wa hoja, hata kupata kazi nako ni kusaidiwa hata kupewa mawazo ya kufanya kazi kwa bidii ni kusaidiwa pia. Hoja yangu ya msingi huyo mwanaume anasaidiwa kwa namna moja au nyingine katika upambanaji.

Shida yenu mmepewa upofu na mkawa wajinga hata wa kuyafikiria mambo kwa undani badala yake mmekuwa watumwa wa kutafuta hela na kudhalilishwa.

Bibi kwa ufupi hamjazijua siri za kuishi kwa furaha katika dunia hii, japo mitihani ipo lakini sio kwa mitazamo yenu hasi.

Ukweli bado hujawa na hoja sababu ulipojengea hoja yako ni kwenye makosa.
 
Tulikosea kuipokea hii sera ya usawa. Ni either tungeachana nayo kabisa au tungeifanyia marekebisho iendane na maisha yetu kimaadili na kiuchumi. Wanawake waweke ego pembeni waifanyie tathmini hii sera ya usawa kuona kama imejenga au kubomoa taswira na mustakabali wao kwenye jamii
Acha wachapike na sera zao zinazotokana na FEMINISM
Wanaiga harakati za mataifa ya kimagharibi wanaishia kujitesa wakati mifumo yao ya kijamii na yetu haviendani.
Na kwenye hili siku hizi hawaongei kabisa vichwa chini aibu tupu. Na ukiona vimbelembele ujue vidada vya juzi. Navyo subiri vikutane na maji ya moto miaka kadhaa tu mbele unavikuta vimenyweaaaa
Hawatakuja kuelewa maana ya UANAUME hata siku moja, wameutaka sasa unawatesa, walihisi tunafaidi 🤣
 
Acha wachapike na sera zao zinazotokana na FEMINISM
Wanaiga harakati za mataifa ya kimagharibi wanaishia kujitesa wakati mifumo yao ya kijamii na yetu haviendani.
Na kwenye hili siku hizi hawaongei kabisa vichwa chini aibu tupu. Na ukiona vimbelembele ujue vidada vya juzi. Navyo subiri vikutane na maji ya moto miaka kadhaa tu mbele unavikuta vimenyweaaaa
Hawatakuja kuelewa maana ya UANAUME hata siku moja, wameutaka sasa unawatesa, walihisi tunafaidi 🤣
Hata huko Magharibi mkuu hii feminism inawatesa sana.
Maana imewapa uhuru kiasi wakachupa mipaka ya ule uhuru stahiki,wanaishi ishi tu ila sio yale maisha ya furaha kama itakikanavyo.
Mie huwa nafuatilia vipindi vyao sana kwenye vyombo vya habari na kwingineko.
Hata Ulaya na America haijawaacha salama hii kitu.
 
Utajua mwenyewe. Inferior set of human beings[emoji1787] I have dreams too. Yani maisha ya mwanamke hayawezi ku revolve around a man’s world. Over
Utajua haujui endelea kukimbiza ndoto. Ukifika 30 hapo utaanza kupata sasa joto lenyewe, utaufyata hautaamini. Wenzako walikuwa na mdomo wewe cha mtoto. Saa hii wapole kama paka kamwagiwa maji.

Uzuri ni kwamba kwenye movie unazozitengeneza unaweza kuedit ila kwenye uhalisia hakuna kitu utaedit.
 
Ndio maana nikasema unadhani kusaidiwa ni kuomba omba ? Ulitakiwa usome na mtiririko wa hoja, hata kupata kazi nako ni kusaidiwa hata kupewa mawazo ya kufanya kazi kwa bidii ni kusaidiwa pia. Hoja yangu ya msingi huyo mwanaume anasaidiwa kwa namna moja au nyingine katika upambanaji.

Shida yenu mmepewa upofu na mkawa wajinga hata wa kuyafikiria mambo kwa undani badala yake mmekuwa watumwa wa kutafuta hela na kudhalilishwa.

Bibi kwa ufupi hamjazijua siri za kuishi kwa furaha katika dunia hii, japo mitihani ipo lakini sio kwa mitazamo yenu hasi.

Ukweli bado hujawa na hoja sababu ulipojengea hoja yako ni kwenye makosa.
Kwa bahati mbaya sana, mwanaume ana uwezo wa kufanya maamuzi na kutoa ahadi akiwa juu ya kiuno. Na huwa mnakiri kabisa huo ni udhaifu wenu unawapelekea hadi kutelekeza familia zenu. katika hilo haitakaa ije itokee siku nikasikiliza maoni ya kiumbe wa aina hiyo! Sio lazima uioje hiyo hoja ila my take is not all men are men. Wengine mnavaa suruali tu maamuzi mengi wanafanya mama zenu. Bye
 
Back
Top Bottom